Rais Samia: Uchumi wetu unakua lakini tunachokusanya kingi kinaingia mifukoni kwa Watu

Rais Samia: Uchumi wetu unakua lakini tunachokusanya kingi kinaingia mifukoni kwa Watu

Rais Samia Suluhu akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi, amesema kuwa kodi tunayokusanya hailingani na idadi ya watu.

“Uchumi wetu unakua sana, lakini haulingani na tunachokikusanya. Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu. Shughuli za kiuchumi zinazoendelea nchini na idadi ya watu hailingani na mapato tunayoyapata.”

My Take: Naunga mkono hoja, na huu ndio ukweli. Ukiangalia utajiri wa Watu na miradi wanayofanya na kile tunapata ni vitu 2 tofauti.

Serikali inawaonea Watumishi tuu ambao hawawezi kukwepa Mapato lakini huko Mitaani wafanyabiashara wanalipa robo ya wanachostahili au wanakwepa kabisa.👇👇


Pamoja na Kulalamikia kwamba watu ni wengi ila hawalipi Kodi ni lazima ujue kati ya hao watu mil.65 ,,ukiondoa under 18 na maskini,wanafunzi,wazee Je Nguvu kazi halisi ni kiasi gani?


Soma hapa: LIVE - Rais Samia akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Ikulu - Dar, Oktoba 4, 2024
Nanukuu...
Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu.
Mwisho wa kunukuu...!!!

Wananchi walalamika
Rais analalamika
Viongozi wote wanalalamika

Sasa sijui nani atatatua tatizo linalolalamikiwa
 
Rais Samia Suluhu akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi, amesema kuwa kodi tunayokusanya hailingani na idadi ya watu.

“Uchumi wetu unakua sana, lakini haulingani na tunachokikusanya. Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu. Shughuli za kiuchumi zinazoendelea nchini na idadi ya watu hailingani na mapato tunayoyapata.”

My Take: Naunga mkono hoja, na huu ndio ukweli. Ukiangalia utajiri wa Watu na miradi wanayofanya na kile tunapata ni vitu 2 tofauti.

Serikali inawaonea Watumishi tuu ambao hawawezi kukwepa Mapato lakini huko Mitaani wafanyabiashara wanalipa robo ya wanachostahili au wanakwepa kabisa.👇👇


Pamoja na Kulalamikia kwamba watu ni wengi ila hawalipi Kodi ni lazima ujue kati ya hao watu mil.65 ,,ukiondoa under 18 na maskini,wanafunzi,wazee Je Nguvu kazi halisi ni kiasi gani?


Soma hapa: LIVE - Rais Samia akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Ikulu - Dar, Oktoba 4, 2024
Nayeye analalamika
 
Rais Samia Suluhu akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi, amesema kuwa kodi tunayokusanya hailingani na idadi ya watu.

“Uchumi wetu unakua sana, lakini haulingani na tunachokikusanya. Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu. Shughuli za kiuchumi zinazoendelea nchini na idadi ya watu hailingani na mapato tunayoyapata.”

My Take: Naunga mkono hoja, na huu ndio ukweli. Ukiangalia utajiri wa Watu na miradi wanayofanya na kile tunapata ni vitu 2 tofauti.

Serikali inawaonea Watumishi tuu ambao hawawezi kukwepa Mapato lakini huko Mitaani wafanyabiashara wanalipa robo ya wanachostahili au wanakwepa kabisa.👇👇


Pamoja na Kulalamikia kwamba watu ni wengi ila hawalipi Kodi ni lazima ujue kati ya hao watu mil.65 ,,ukiondoa under 18 na maskini,wanafunzi,wazee Je Nguvu kazi halisi ni kiasi gani?


Soma hapa: LIVE - Rais Samia akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Ikulu - Dar, Oktoba 4, 2024
Asisahau kutuambia pia kuwa hata kodi zinazokusanywa zinaishia kwenye kula bata kwenye matamasha hapo Kizimkazi, kule Songea na kulipa Yanga na Simba milion 5 kila goli wanalofunga. Shubaaamit
 
Asisahau kutuambia pia kuwa hata kodi zinazokusanywa zinaishia kwenye kula bata kwenye matamasha hapo Kizimkazi, kule Songea na kulipa Yanga na Simba milion 5 kila goli wanalofunga. Shubaaamit
Una uhakika?
 
Nanukuu...
Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu.
Mwisho wa kunukuu...!!!

Wananchi walalamika
Rais analalamika
Viongozi wote wanalalamika

Sasa sijui nani atatatua tatizo linalolalamikiwa
Rais halalamiki bali anatoa hadhari Kwa wahusika waache.
 
Kazi iendelee
Ndio Kazi iendelee ya kukusanya kodi na kwenda kula nazo bata kwenye matamasha hapo Kizimkazi, kule Songea na kulipa Yanga na Simba milion 5 kila goli wanalofunga wakati kuna shule kijijini huko hazina madawati. Shubaaamit
 
Ulivyoongea utadhani wameanza jana kufanya huo wizi..!! Unatahadharisha mara ngapi?

Ripoti za CAG ngapi zimepita na zinataja madudu?
Hatua zinachukuliwa na wizi mwingine sio wa directly eg bargain ya mfanyabiashara na Afisa wa TRA amkadirie Kodi ndogo unadhibitije hapo ?
 
Hatua zinachukuliwa na wizi mwingine sio wa directly eg bargain ya mfanyabiashara na Afisa wa TRA amkadirie Kodi ndogo unadhibitije hapo ?
Acha kudanganya bwana...!!! Mara ngapi wamekuwa wanampinga CAG kwa taarifa anazotoa? Si unamkumbua Prof Assad?? Zile 1.5T ambazo matumizi yake hayakujulikana, mwenzetu umeyajua? Wana CCM wengi walisimama kidete kutetea ishu ya Tshs. 1.5T lakini hakuna aliyekuwa akisema zipo wapi..!! Ujinga mtupu.

Halmashauri zenye HATI CHAFU umeshawahi sikia mtu kashitakiwa?
 
Acha kudanganya bwana...!!! Mara ngapi wamekuwa wanampinga CAG kwa taarifa anazotoa? Si unamkumbua Prof Assad?? Zile 1.5T ambazo matumizi yake hayakujulikana, mwenzetu umeyajua? Wana CCM wengi walisimama kidete kutetea ishu ya Tshs. 1.5T lakini hakuna aliyekuwa akisema zipo wapi..!! Ujinga mtupu.

Halmashauri zenye HATI CHAFU umeshawahi sikia mtu kashitakiwa?
Sidhani kama CAG anapingwa,Hilo la Assad ilikuwa ni spesho case ya awamu ya 5,wale walikuwa hawataki uswazi na kukosolewa
 
Waulize wale Wazalendo wa awamu ya 5
Tukifika awamu ijayo, hii iliyopo sasa nayo itakuwa inatajwa kwa wizi. Ila itakayokuwepo wakati huo, waimba mapambio ya ndiyo mzee/mama anatosha watakuwa wengi sana kama mfanyavyo hivi leo. Kwenu, aliyepita ndiye mbaya na aliyeko madarakani ni mzuri siku zote za muda wa awamu yake..!! Naye muda ukimuishia, mtarudi kule kule kwenye kumsema..!!
 
Tukifika awamu ijayo, hii iliyopo sasa nayo itakuwa inatajwa kwa wizi. Ila itakayokuwepo wakati huo, waimba mapambio ya ndiyo mzee/mama anatosha watakuwa wengi sana kama mfanyavyo hivi leo. Kwenu, aliyepita ndiye mbaya na aliyeko madarakani ni mzuri siku zote za muda wa awamu yake..!! Naye muda ukimuishia, mtarudi kule kule kwenye kumsema..!!
Kila mtu atabeba msalaba wake
 
Rais Samia Suluhu akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi, amesema kuwa kodi tunayokusanya hailingani na idadi ya watu.

“Uchumi wetu unakua sana, lakini haulingani na tunachokikusanya. Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu. Shughuli za kiuchumi zinazoendelea nchini na idadi ya watu hailingani na mapato tunayoyapata.”

My Take: Naunga mkono hoja, na huu ndio ukweli. Ukiangalia utajiri wa Watu na miradi wanayofanya na kile tunapata ni vitu 2 tofauti.

Serikali inawaonea Watumishi tuu ambao hawawezi kukwepa Mapato lakini huko Mitaani wafanyabiashara wanalipa robo ya wanachostahili au wanakwepa kabisa.👇👇


Pamoja na Kulalamikia kwamba watu ni wengi ila hawalipi Kodi ni lazima ujue kati ya hao watu mil.65 ,,ukiondoa under 18 na maskini,wanafunzi,wazee Je Nguvu kazi halisi ni kiasi gani?


Soma hapa: LIVE - Rais Samia akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Ikulu - Dar, Oktoba 4, 2024
Tunakusanya kodi Abdul na mama yake wanazifuja watakavyo
 
Rais Samiah ananisikitisha Sana. Ni juzi tu alitoka kusema kwamba inteligensia ya serikali imejaa ndani ya chama Cha CHADEMA na kila kikao wanachofanya serikali inapokea taarifa.

Cha kuchekesha Leo analalmika na kulia kuwa walipa Kodi ndani ya Tanzania ni wachache na hata kinachokuaanywa kinaishia kwenye mifuko ya wajanja. Yani Rais anakili kwamba inteligensia yote ipo CHADEMA ila kwenye mambo ya msingi ya kiuchumi hakuna inteligensia.

Kama Rais anatuma mashushu kwenye vikao vya CHADEMA anashindwaje kutumia mashushu kwenye kujua nani halipo Kodi na nani anakula pesa za Kodi.
 
Back
Top Bottom