kafuta ambele
Senior Member
- Aug 7, 2017
- 184
- 515
Wewe gari za serikali plate namba STM zimeisha chapu na hizi STN zinaenda mwishoni ndani ya miaka mitatu tu si balaa hili matumizi ni makubwa sana ukijumlisha na wizi ndo balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zimeisha au zinanunuliwa nyingine? Mahitaji ya vitendea kazi ni makubwa Kila taasisi.Wewe gari za serikali plate namba STM zimeisha chapu na hizi STN zinaenda mwishoni ndani ya miaka mitatu tu si balaa hili matumizi ni makubwa sana ukijumlisha na wizi ndo balaa
Hii hesabu ya kuwa ni only 2% ndiyo wanazolipa Kodi nchini, mimi naipingaRais Samia Suluhu akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi, amesema kuwa kodi tunayokusanya hailingani na idadi ya watu.
“Uchumi wetu unakua sana, lakini haulingani na tunachokikusanya. Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu. Shughuli za kiuchumi zinazoendelea nchini na idadi ya watu hailingani na mapato tunayoyapata.”
My Take: Naunga mkono hoja, na huu ndio ukweli. Ukiangalia utajiri wa Watu na miradi wanayofanya na kile tunapata ni vitu 2 tofauti.
Serikali inawaonea Watumishi tuu ambao hawawezi kukwepa Mapato lakini huko Mitaani wafanyabiashara wanalipa robo ya wanachostahili au wanakwepa kabisa.👇👇
Pamoja na Kulalamikia kwamba watu ni wengi ila hawalipi Kodi ni lazima ujue kati ya hao watu mil.65 ,,ukiondoa under 18 na maskini,wanafunzi,wazee Je Nguvu kazi halisi ni kiasi gani?
Soma hapa: LIVE - Rais Samia akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Ikulu - Dar, Oktoba 4, 2024
Tin registeredHii hesabu ya kuwa ni only 2% ndiyo wanazolipa Kodi nchini, mimi naipinga
Hivi hii VAT ya 18% ya bidhaa zote nchini, Kila raia analipa.
Vile vile Kila muamala ya simu, Kila raia analipa.
Hivi hiyo siyo 100% a wananchi wote nchini wanalipa Kodi hapa nchini??
Kwa hiyo napinga hiyo "fix" anayotupiga Rais Samia kuwa only 2% ya watu nchini, ndiyo wanaolipa Kodi hapa nchini
Kama mliwaweka si muwaondoe!Shida sio raisi Samia
Shida ni wapumbavu tuliowaweka kumshauri raisi.
Tume ya marekebisho (where on earth umewahi ona kitu kama hiko) kwa jinsi budget ya nchi inavyopangwa na maamuzi ya wizara ya fedha.
Huu ujinga wa watu mnaopeleka Ikulu is beyond me.
Tume ya kodi 😂😂😂
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Dar es Salaam, leo tarehe 04 Oktoba, 2024.
RAIS SAMIA: UCHUMI WETU UNAKUA LAKINI HAUAKISI TUNACHOKIPATA
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi lakini hauakisi mapato ambayo Wananchi wanayapata, amesema hayo wakati akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Dar es Salaam, leo Oktoba 4, 2024.
RAIS SAMIA: UCHUMI WETU UNAKUA LAKINI HAUAKISI TUNACHOKIPATA
Akizungumza wakati akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Dar es Salaam, leo Oktoba 4, 2024, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mchakato wa ulipaji kodi unatakiwa kuwa rafiki ili kumwezesha mlipa kodi kukamilisha zoezi hilo ikiwemo mifumo inayotumika.
Amesema kuna umuhimu wa kutoa elimu zaidi kwa walipa kodi ili wajue wanamlipa nani na kiwango gani, akitoa mfano amesema alikutana na changamoto Mkoani Ruvuma ambapo alisema kuna Mama Lishe waliokuwa wakilalamika kuhusu kulipishwa kodi na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Yale yale ya DramaTatzo Na uchungu n pale wahusika wanajulikana lkn maneno hayasaidii hakuna Hatua stahiki kwahyo n waz muhusika ameshindwa, Sungura wajanja kuliko Muwindaji
Acha kujipa hasira na matusi ya bure. Wezi wanajulikana kama walivyo watekaji na watesaji.Shida sio raisi Samia
Shida ni wapumbavu tuliowaweka kumshauri raisi.
Tume ya marekebisho (where on earth umewahi ona kitu kama hiko) kwa jinsi budget ya nchi inavyopangwa na maamuzi ya wizara ya fedha.
Huu ujinga wa watu mnaopeleka Ikulu is beyond me.
Tume ya kodi 😂😂😂
HahaNi vizuri kama amejua kwamba hela ziko kwa mchwa waliomzunguka ambao wengi wametengeneza machawa 😂.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Dar es Salaam, leo tarehe 04 Oktoba, 2024.
RAIS SAMIA: UCHUMI WETU UNAKUA LAKINI HAUAKISI TUNACHOKIPATA
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi lakini hauakisi mapato ambayo Wananchi wanayapata, amesema hayo wakati akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Dar es Salaam, leo Oktoba 4, 2024.
RAIS SAMIA: UCHUMI WETU UNAKUA LAKINI HAUAKISI TUNACHOKIPATA
Akizungumza wakati akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Dar es Salaam, leo Oktoba 4, 2024, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mchakato wa ulipaji kodi unatakiwa kuwa rafiki ili kumwezesha mlipa kodi kukamilisha zoezi hilo ikiwemo mifumo inayotumika.
Amesema kuna umuhimu wa kutoa elimu zaidi kwa walipa kodi ili wajue wanamlipa nani na kiwango gani, akitoa mfano amesema alikutana na changamoto Mkoani Ruvuma ambapo alisema kuna Mama Lishe waliokuwa wakilalamika kuhusu kulipishwa kodi na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Acha wivu na uvivu wewe kwa wafanyabiashara pambana na watumishi wa umma hasa wanaokusanya mapato hao ndio tatizo.Rais Samia Suluhu akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi, amesema kuwa kodi tunayokusanya hailingani na idadi ya watu.
“Uchumi wetu unakua sana, lakini haulingani na tunachokikusanya. Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu. Shughuli za kiuchumi zinazoendelea nchini na idadi ya watu hailingani na mapato tunayoyapata.”
My Take: Naunga mkono hoja, na huu ndio ukweli. Ukiangalia utajiri wa Watu na miradi wanayofanya na kile tunapata ni vitu 2 tofauti.
Serikali inawaonea Watumishi tuu ambao hawawezi kukwepa Mapato lakini huko Mitaani wafanyabiashara wanalipa robo ya wanachostahili au wanakwepa kabisa.👇👇
Pamoja na Kulalamikia kwamba watu ni wengi ila hawalipi Kodi ni lazima ujue kati ya hao watu mil.65 ,,ukiondoa under 18 na maskini,wanafunzi,wazee Je Nguvu kazi halisi ni kiasi gani?
Soma hapa: LIVE - Rais Samia akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Ikulu - Dar, Oktoba 4, 2024
Hakuna kitu unajua shida ya Tanzania mmesoma lakini vitu mnavyoongea ni toafuti na Elimu zenu Wazambia,Zimbabwe na SA hata Botswana kurekebisha kodi walitumia Tume kama hii pana vitu inatakiwa Mama apingwe kwa hoja sio tunapinga kila kitu na sasa SA wanarekebisha kodi pana Tume ilifanya hivyo baadhi ya mapendekezo wanayafanyia kazi baada ya hapo wanapeleka mapendekezo Bungeni huyu waziri kila kukicha anakuja na Tozo mpya ataweza kufanya mapendekezo yaliyo bora kutoka kwa Watanzania na si wale wabunge wachache.Ujinga mtupu
Unawezaje kuwa na tume ya marekebisho ya kodi?
Msingi wa kodi ni maamuzi ya dira ya uchumi na mipango ya budget ya serikali.
Hakuna mtu anaeweza amua maswala ya kodi zaidi ya waziri fedha.
Na maamuzi yake (yaani, viwango vya kodiz) ni sera za nchi inataka ku-achieve nini.
Hakika mkuu,unajua watu wengine wakivimbiwa kande wanakuja na post za kujipendekeza.Hv we jamaa unajikutaga nani? Kwanza hzo tunazo lipa kama wangekuwa wanazitumia vzr tungekuwa mbali sana.
Ukweli ndiyo huo.Na hiicho kinachokusanywa nacho kinaishia mifukoni mwa majizi ndani ya serikali ya CCM...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Dar es Salaam, leo tarehe 04 Oktoba, 2024.
RAIS SAMIA: UCHUMI WETU UNAKUA LAKINI HAUAKISI TUNACHOKIPATA
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi lakini hauakisi mapato ambayo Wananchi wanayapata, amesema hayo wakati akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Dar es Salaam, leo Oktoba 4, 2024.
RAIS SAMIA: UCHUMI WETU UNAKUA LAKINI HAUAKISI TUNACHOKIPATA
Akizungumza wakati akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Dar es Salaam, leo Oktoba 4, 2024, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mchakato wa ulipaji kodi unatakiwa kuwa rafiki ili kumwezesha mlipa kodi kukamilisha zoezi hilo ikiwemo mifumo inayotumika.
Amesema kuna umuhimu wa kutoa elimu zaidi kwa walipa kodi ili wajue wanamlipa nani na kiwango gani, akitoa mfano amesema alikutana na changamoto Mkoani Ruvuma ambapo alisema kuna Mama Lishe waliokuwa wakilalamika kuhusu kulipishwa kodi na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Inasikitisha mtu mzima unakuja na post za kijinga jinga.Acha wivu na uvivu wewe kwa wafanyabiashara pambana na watumishi wa umma hasa wanaokusanya mapato hao ndio tatizo.
Ukweli ndiyo huoviongozi wetu wana ignorance...