MussaMsami
Member
- Mar 24, 2024
- 45
- 38
Tatzo Na uchungu n pale wahusika wanajulikana lkn maneno hayasaidii hakuna Hatua stahiki kwahyo n waz muhusika ameshindwa, Sungura wajanja kuliko Muwindaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Posho tuu? Mbona vihela vidogo hivyo? Kwa vimishahara vya Watumishi posho ni sawa wakilipanaSoma thread yangu iliyopita nimeanisha jana/juzi PM alikuwa anahoji watumishi kulipana posho/honoraria pesa kedekede
Wakwepa Kodi na Maofisa wasio waaminifuMwizi ni nani sasa?
Kama ni "ntu ya dili" kwanini serikali isiwawajibishe...it takes a thief to catch a thiefWakwepa Kodi na Maofisa wasio waaminifu
Rais Samia Suluhu akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi, amesema kuwa kodi tunayokusanya hailingani na idadi ya watu.
“Uchumi wetu unakua sana, lakini haulingani na tunachokikusanya. Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu. Shughuli za kiuchumi zinazoendelea nchini na idadi ya watu hailingani na mapato tunayoyapata.”
My Take: Naunga mkono hoja, na huu ndio ukweli. Ukiangalia utajiri wa Watu na miradi wanayofanya na kile tunapata ni vitu 2 tofauti.
Serikali inawaonea Watumishi tuu ambao hawawezi kukwepa Mapato lakini huko Mitaani wafanyabiashara wanalipa robo ya wanachostahili au wanakwepa kabisa.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DAsmS5qq-x9/?igsh=aG50bzc5ajJ2dGZm
Pamoja na Kulalamikia kwamba watu ni wengi ila hawalipi Kodi ni lazima ujue kati ya hao watu mil.65 ,,ukiondoa under 18 na maskini,wanafunzi,wazee Je Nguvu kazi halisi ni kiasi gani?
View: https://www.instagram.com/p/DAsoqL_KoP5/?igsh=aHlmaGJlMWlmMXE0
Soma hapa: LIVE - Rais Samia akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Ikulu - Dar, Oktoba 4, 2024
Mnawazaga kijinga sana,Kwa hiyo idadi ya watu 65m walipe Kodi?,vipi kuhusu wategemezi kama watoto na wazee?Ndio vinaongeza Kodi vikipungua? Kinachotakiwa Kila mtu alipe.kodi stahiki
Jua,Asante mwanga/Nuru,mwenye macho anaonazina tumika vibaya . so no point
Awaambie Wabunge nao walipe kodiKazi iendelee
Watu hawalipi kwasababu wanaona kuna watu wanajipendelea.Ndio vinaongeza Kodi vikipungua? Kinachotakiwa Kila mtu alipe.kodi stahiki
Ndio maana hatutaki kulipa!Juzi nilimsikia pm akihoji makatibu kuchota posho ya 44 m kwa siku moja ka honoraria nikataka kuzimia nikadhani pm kakosea lakini ukweli kodi za wananchi zinatumka vibaya na viongozi