Rais Samia: Uchumi wetu unakua lakini tunachokusanya kingi kinaingia mifukoni kwa Watu

Rais Samia: Uchumi wetu unakua lakini tunachokusanya kingi kinaingia mifukoni kwa Watu

Rais Samia Suluhu akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi, amesema kuwa kodi tunayokusanya hailingani na idadi ya watu.

“Uchumi wetu unakua sana, lakini haulingani na tunachokikusanya. Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu. Shughuli za kiuchumi zinazoendelea nchini na idadi ya watu hailingani na mapato tunayoyapata.”

My Take: Naunga mkono hoja, na huu ndio ukweli. Ukiangalia utajiri wa Watu na miradi wanayofanya na kile tunapata ni vitu 2 tofauti.

Serikali inawaonea Watumishi tuu ambao hawawezi kukwepa Mapato lakini huko Mitaani wafanyabiashara wanalipa robo ya wanachostahili au wanakwepa kabisa.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DAsmS5qq-x9/?igsh=aG50bzc5ajJ2dGZm


Pamoja na Kulalamikia kwamba watu ni wengi ila hawalipi Kodi ni lazima ujue kati ya hao watu mil.65 ,,ukiondoa under 18 na maskini,wanafunzi,wazee Je Nguvu kazi halisi ni kiasi gani?

View: https://www.instagram.com/p/DAsoqL_KoP5/?igsh=aHlmaGJlMWlmMXE0

Soma hapa: LIVE - Rais Samia akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Ikulu - Dar, Oktoba 4, 2024

Halmashauri nyingi hazikusanyi mapato ipasavyo.Makadirio/maoteo yao yapo chini ya nusu.Waache wizi.
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Dar es Salaam, leo tarehe 04 Oktoba, 2024.


RAIS SAMIA: UCHUMI WETU UNAKUA LAKINI HAUAKISI TUNACHOKIPATA
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi lakini hauakisi mapato ambayo Wananchi wanayapata, amesema hayo wakati akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Dar es Salaam, leo Oktoba 4, 2024.

RAIS SAMIA: UCHUMI WETU UNAKUA LAKINI HAUAKISI TUNACHOKIPATA
Akizungumza wakati akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Dar es Salaam, leo Oktoba 4, 2024, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mchakato wa ulipaji kodi unatakiwa kuwa rafiki ili kumwezesha mlipa kodi kukamilisha zoezi hilo ikiwemo mifumo inayotumika.

Amesema kuna umuhimu wa kutoa elimu zaidi kwa walipa kodi ili wajue wanamlipa nani na kiwango gani, akitoa mfano amesema alikutana na changamoto Mkoani Ruvuma ambapo alisema kuna Mama Lishe waliokuwa wakilalamika kuhusu kulipishwa kodi na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Kwahiyo!!!??? Yaani inakera sanavkuona wezi wa kuku huku mitaani wanashughulikiwa ipasavyo na vyombo vya dola. Lakini unajiuliza wezi kama hawa kwanini hawachukuliwi hatua? Mh Rais hadi akatamka maana yake ushahidi anao kulingana na taarifa zinazotolewa na wasaidizi wake. Tutegemee kuona anawachukulia hatu stahiki.
 
Rais Samia Suluhu akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi, amesema kuwa kodi tunayokusanya hailingani na idadi ya watu.

“Uchumi wetu unakua sana, lakini haulingani na tunachokikusanya. Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu. Shughuli za kiuchumi zinazoendelea nchini na idadi ya watu hailingani na mapato tunayoyapata.”

My Take: Naunga mkono hoja, na huu ndio ukweli. Ukiangalia utajiri wa Watu na miradi wanayofanya na kile tunapata ni vitu 2 tofauti.

Serikali inawaonea Watumishi tuu ambao hawawezi kukwepa Mapato lakini huko Mitaani wafanyabiashara wanalipa robo ya wanachostahili au wanakwepa kabisa.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DAsmS5qq-x9/?igsh=aG50bzc5ajJ2dGZm


Pamoja na Kulalamikia kwamba watu ni wengi ila hawalipi Kodi ni lazima ujue kati ya hao watu mil.65 ,,ukiondoa under 18 na maskini,wanafunzi,wazee Je Nguvu kazi halisi ni kiasi gani?

View: https://www.instagram.com/p/DAsoqL_KoP5/?igsh=aHlmaGJlMWlmMXE0

Soma hapa: LIVE - Rais Samia akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Ikulu - Dar, Oktoba 4, 2024

Ningelitamani walipa Kofi ndiyo wangalipewa haki ya kuchagua Raid na wabunge maana ndio wenye uchungu na nchi yao
 
Rais Samia Suluhu akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi, amesema kuwa kodi tunayokusanya hailingani na idadi ya watu.

“Uchumi wetu unakua sana, lakini haulingani na tunachokikusanya. Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu. Shughuli za kiuchumi zinazoendelea nchini na idadi ya watu hailingani na mapato tunayoyapata.”

My Take: Naunga mkono hoja, na huu ndio ukweli. Ukiangalia utajiri wa Watu na miradi wanayofanya na kile tunapata ni vitu 2 tofauti.

Serikali inawaonea Watumishi tuu ambao hawawezi kukwepa Mapato lakini huko Mitaani wafanyabiashara wanalipa robo ya wanachostahili au wanakwepa kabisa.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DAsmS5qq-x9/?igsh=aG50bzc5ajJ2dGZm


Pamoja na Kulalamikia kwamba watu ni wengi ila hawalipi Kodi ni lazima ujue kati ya hao watu mil.65 ,,ukiondoa under 18 na maskini,wanafunzi,wazee Je Nguvu kazi halisi ni kiasi gani?

View: https://www.instagram.com/p/DAsoqL_KoP5/?igsh=aHlmaGJlMWlmMXE0

Soma hapa: LIVE - Rais Samia akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Ikulu - Dar, Oktoba 4, 2024

Mwigulu analiwa kichwa vere soon.

Pole mkuu
 
I
Punguzeni mishahara, posho na marupurupu ya wanasiasa (wabunge) na baneni matumizi kwa kupunguza safari zisizo na ulazima na kuondoa makongamano yasiyoisha kila uchao
Hili likitekelezwa ndilo tiba. Ila sasa ni Nani ataagiza hivyo !
 
Rais Samia Suluhu akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi, amesema kuwa kodi tunayokusanya hailingani na idadi ya watu.

“Uchumi wetu unakua sana, lakini haulingani na tunachokikusanya. Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu. Shughuli za kiuchumi zinazoendelea nchini na idadi ya watu hailingani na mapato tunayoyapata.”

My Take: Naunga mkono hoja, na huu ndio ukweli. Ukiangalia utajiri wa Watu na miradi wanayofanya na kile tunapata ni vitu 2 tofauti.

Serikali inawaonea Watumishi tuu ambao hawawezi kukwepa Mapato lakini huko Mitaani wafanyabiashara wanalipa robo ya wanachostahili au wanakwepa kabisa.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DAsmS5qq-x9/?igsh=aG50bzc5ajJ2dGZm


Pamoja na Kulalamikia kwamba watu ni wengi ila hawalipi Kodi ni lazima ujue kati ya hao watu mil.65 ,,ukiondoa under 18 na maskini,wanafunzi,wazee Je Nguvu kazi halisi ni kiasi gani?

View: https://www.instagram.com/p/DAsoqL_KoP5/?igsh=aHlmaGJlMWlmMXE0

Soma hapa: LIVE - Rais Samia akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Ikulu - Dar, Oktoba 4, 2024

"Kuleni kila mtu kulingana ulefu wa kamba Yako."
 
Ndio vinaongeza Kodi vikipungua? Kinachotakiwa Kila mtu alipe.kodi stahiki
Havitaongeza lakini itapunguza sana fungu la matumizi ya kawaida ambalo hutumika kulipa mishahara, posho na mengineyo tofauti na mafungu ya mfano maendeleo. Huku tukitafakari namna ya kupanua wigo wa walipa kodi nafikiri watunga sera/sheria hawana budi kuja na mikakati kabambe kama vile kupunguza viwango vya kodi (VAT, Kodi ya makampuni-Corporate tax nk) ili kila mtu aweze kumudu kingine nafikiri ni kutafuta namna ya kuwajumuisha wafanyabiashara wadogo (machinga) hata kama watalina kidogo lakini kwa idadi Yao wataongeza mapato kuliko kutolipa kabisa hapa inabidi watafutiwe utaratibu wa kulipia kila tuseme miezi 6 au kwa mwaka.
 
Juzi nilimsikia pm akihoji makatibu kuchota posho ya 44 m kwa siku moja ka honoraria nikataka kuzimia nikadhani pm kakosea lakini ukweli kodi za wananchi zinatumka vibaya na viongozi
Hakika zinachotwa kweli sio kipolepole sasa kamą nidhamu hakuna kwenye matumizi ya serikali lazima fuko liishiwe tu
 
Havitaongeza lakini itapunguza sana fungu la matumizi ya kawaida ambalo hutumika kulipa mishahara, posho na mengineyo tofauti na mafungu ya mfano maendeleo. Huku tukitafakari namna ya kupanua wigo wa walipa kodi nafikiri watunga sera/sheria hawana budi kuja na mikakati kabambe kama vile kupunguza viwango vya kodi (VAT, Kodi ya makampuni-Corporate tax nk) ili kila mtu aweze kumudu kingine nafikiri ni kutafuta namna ya kuwajumuisha wafanyabiashara wadogo (machinga) hata kama watalina kidogo lakini kwa idadi Yao wataongeza mapato kuliko kutolipa kabisa hapa inabidi watafutiwe utaratibu wa kulipia kila tuseme miezi 6 au kwa mwaka.
Matumizi mabaya ni kama yapi?
 
TRA na ZRA si juzi tu hapa wamejinasibu kuwa wamevuka Target ya ya Makusanyo kwa Quarter ya kwanza ya Mwaka mpya wa fedha, Tena wakaenda mbali kwa kudai kuwa Model ya ukusanyaji Kodi ni Favourable na Inamfanya Kila mtu afurahie Kulipa Kodi
Infact hakuna Mfanyabiashara anaependa Kulipa Kodi kwenye Swala la Kodi hapataki Politics wala Sarakasi Ni Mkono wa Chuma tu utumike kukusanya Izo Kodi kipindi Cha mzee Baba tuliona mpaka Uundwaji wa Task Force ili kudeal na businessmen ambao wana Skip taxes, Wafanyabiashara Ni Kama Ngedere ukicheka nao tu unavuna Mabua zile Sarakasi za Kariakoo walikuwa wanatafuta sympathy tu, Mkono wa Chuma utumike tu kwenye kufanya Collection
Hadithi za kuvuka malengo huwa ni kisiasa zaidi ili kupambisha lakini ukweli wa mambo unajulikana pesa haipo wazabuni/wakandarasi hasa wa ndani wengi wao wamekopwa hawajalipwa mpaka hivi leo na haijulikani watalipwa lini unajiuliza wanaendeshaje makampuni yao na kodi watalipa vipi ikiwa hawalipwi?
 
Back
Top Bottom