Rais Samia: Uchumi wetu unakua lakini tunachokusanya kingi kinaingia mifukoni kwa Watu

Rais Samia: Uchumi wetu unakua lakini tunachokusanya kingi kinaingia mifukoni kwa Watu

Rais Samia Suluhu akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi, amesema kuwa kodi tunayokusanya hailingani na idadi ya watu.

“Uchumi wetu unakua sana, lakini haulingani na tunachokikusanya. Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu. Shughuli za kiuchumi zinazoendelea nchini na idadi ya watu hailingani na mapato tunayoyapata.”

My Take: Naunga mkono hoja, na huu ndio ukweli. Ukiangalia utajiri wa Watu na miradi wanayofanya na kile tunapata ni vitu 2 tofauti.

Serikali inawaonea Watumishi tuu ambao hawawezi kukwepa Mapato lakini huko Mitaani wafanyabiashara wanalipa robo ya wanachostahili au wanakwepa kabisa.👇👇


Pamoja na Kulalamikia kwamba watu ni wengi ila hawalipi Kodi ni lazima ujue kati ya hao watu mil.65 ,,ukiondoa under 18 na maskini,wanafunzi,wazee Je Nguvu kazi halisi ni kiasi gani?


Soma hapa: LIVE - Rais Samia akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Ikulu - Dar, Oktoba 4, 2024
 
Rais Samia Suluhu akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi, amesema kuwa kodi tunayokusanya hailingani na idadi ya watu.

“Uchumi wetu unakua sana, lakini haulingani na tunachokikusanya. Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu. Shughuli za kiuchumi zinazoendelea nchini na idadi ya watu hailingani na mapato tunayoyapata.”

My Take: Naunga mkono hoja, na huu ndio ukweli. Ukiangalia utajiri wa Watu na miradi wanayofanya na kile tunapata ni vitu 2 tofauti.

Serikali inawaonea Watumishi tuu ambao hawawezi kukwepa Mapato lakini huko Mitaani wafanyabiashara wanalipa robo ya wanachostahili au wanakwepa kabisa.👇👇


Pamoja na Kulalamikia kwamba watu ni wengi ila hawalipi Kodi ni lazima ujue kati ya hao watu mil.65 ,,ukiondoa under 18 na maskini,wanafunzi,wazee Je Nguvu kazi halisi ni kiasi gani?


Soma hapa: LIVE - Rais Samia akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Ikulu - Dar, Oktoba 4, 2024
Yeye analipa Kodi, kiasi gani? Nyani haoni kundule!
 
Maamuzi magumu yafanyike
i kweli pesa nyingi zinaishia mifukoni mwa watu ,
Yule aliyekuwa na majumba mangapi vile tuliambiwa. ??!
Na yule je alikutwa na ma B kibao home ??!
Au ilikuwa anasingiziwa tu. ???!!
Je na yule tuliambiwa alijitengenezea kamtandao kake zikawa zinaingia milioni 7 kila dakika kipindi cha Anko JPM ??!
Au naye ilikuwa sio kweli ??
 
Punguzeni mishahara, posho na marupurupu ya wanasiasa (wabunge) na baneni matumizi kwa kupunguza safari zisizo na ulazima na kuondoa makongamano yasiyoisha kila uchao

Halmashauri nyingi hazikusanyi mapato ipasavyo.Makadirio/maoteo yao yapo chini ya nusu.Waache wizi.
Wanaopiga zilizokusanywa tayari ziko hazina kwa kisingizio cha miradi etc hawa ndio hatari zaidi,hawana tofauti na magaidi.
 
Wanasiasa nao walipe kodi. Nimeona screenshot ya spika wa bunge akimtumia mtu hela kumbe hakatwi chochote.
 
Mama kamaanisha pesa zinakusanywa lakin maboss wa tra wanachukua kama zao,wanaacha kidogo
Kwani yeye anafanya tofauti na hao tra?

Wanatupanga

Biashara za magendo zimerudi kwa Kasi.

Acha wananchi wajineemeshe kwani kodi wana faida wachache. So hapa imebalance

Waendelee na blablakblagggg nchi iendelee kutym ukiwa. Halafu mpo kusema uchumi unakua then wachangiaji kodi ni mil 2 tuuuu sasa lipi ni lipi?
 
Back
Top Bottom