SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 1,213
- 1,918
Kwahiyo mama kaja kutushitakia 😂😂.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais Samia Suluhu akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi, amesema kuwa kodi tunayokusanya hailingani na idadi ya watu.
“Uchumi wetu unakua sana, lakini haulingani na tunachokikusanya. Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu. Shughuli za kiuchumi zinazoendelea nchini na idadi ya watu hailingani na mapato tunayoyapata.”
My Take: Naunga mkono hoja, na huu ndio ukweli. Ukiangalia utajiri wa Watu na miradi wanayofanya na kile tunapata ni vitu 2 tofauti.
Serikali inawaonea Watumishi tuu ambao hawawezi kukwepa Mapato lakini huko Mitaani wafanyabiashara wanalipa robo ya wanachostahili au wanakwepa kabisa.👇👇
Pamoja na Kulalamikia kwamba watu ni wengi ila hawalipi Kodi ni lazima ujue kati ya hao watu mil.65 ,,ukiondoa under 18 na maskini,wanafunzi,wazee Je Nguvu kazi halisi ni kiasi gani?
Soma hapa: LIVE - Rais Samia akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Ikulu - Dar, Oktoba 4, 2024
Tatizo elimu na ufahamu wake!34b kutumia kwenye ujenzi wa makubusho ya maraisi.
Yeye analipa Kodi, kiasi gani? Nyani haoni kundule!Rais Samia Suluhu akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi, amesema kuwa kodi tunayokusanya hailingani na idadi ya watu.
“Uchumi wetu unakua sana, lakini haulingani na tunachokikusanya. Tunakusanya kidogo sana, kingi kinaingia mifukoni kwa watu bure bure tu. Shughuli za kiuchumi zinazoendelea nchini na idadi ya watu hailingani na mapato tunayoyapata.”
My Take: Naunga mkono hoja, na huu ndio ukweli. Ukiangalia utajiri wa Watu na miradi wanayofanya na kile tunapata ni vitu 2 tofauti.
Serikali inawaonea Watumishi tuu ambao hawawezi kukwepa Mapato lakini huko Mitaani wafanyabiashara wanalipa robo ya wanachostahili au wanakwepa kabisa.👇👇
Pamoja na Kulalamikia kwamba watu ni wengi ila hawalipi Kodi ni lazima ujue kati ya hao watu mil.65 ,,ukiondoa under 18 na maskini,wanafunzi,wazee Je Nguvu kazi halisi ni kiasi gani?
Soma hapa: LIVE - Rais Samia akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi Ikulu - Dar, Oktoba 4, 2024
Ndio vinaongeza Kodi vikipungua? Kinachotakiwa Kila mtu alipe.kodi stahiki
Umeshadhibiti ufisadi na ubadhirifu? au unaongea tu kama laymanNdio vinaongeza Kodi vikipungua? Kinachotakiwa Kila mtu alipe.kodi stahiki
Ni suala endelevuUmeshadhibiti ufisadi na ubadhirifu? au unaongea tu kama layman
Na wewe umeanza kuogopa ???!! 😳😂😂Mungu aepushe Vita Mashariki ya Kati
Ukimtoa Dr Mwigullu PhD unamuweka nani?Mwigulu analiwa kichwa vere soon.
Pole mkuu
CCM imeshajichokea kilichobaki ikae pembeni iangalie vyama vingine vikiingia madarakani vitafanyajeKazi iendelee
Acha kuweweseka hapa.CCM ndio iliyobeba matumaini ya mamilioni ya watanzaniaCCM imeshajichokea kilichobaki ikai pembeni uangalie chama vingine nikiingia madarakani vitafanyaje
i kweli pesa nyingi zinaishia mifukoni mwa watu ,Maamuzi magumu yafanyike
Sasa kama wanachama wake ni machawa hawafanyikazi kutwa kusifia tu kama wewe unategemea niniAcha kuweweseka hapa.CCM ndio iliyobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania
Punguzeni mishahara, posho na marupurupu ya wanasiasa (wabunge) na baneni matumizi kwa kupunguza safari zisizo na ulazima na kuondoa makongamano yasiyoisha kila uchao
Wanaopiga zilizokusanywa tayari ziko hazina kwa kisingizio cha miradi etc hawa ndio hatari zaidi,hawana tofauti na magaidi.Halmashauri nyingi hazikusanyi mapato ipasavyo.Makadirio/maoteo yao yapo chini ya nusu.Waache wizi.
Kwani yeye anafanya tofauti na hao tra?Mama kamaanisha pesa zinakusanywa lakin maboss wa tra wanachukua kama zao,wanaacha kidogo
Mimi nafanya kazi sana ndugu yangu.Sasa kama wanachama wake ni machawa hawafanyikazi kutwa kusifia tu kama wewe unategemea nini