Rais Samia: Uchumi wetu unakua lakini tunachokusanya kingi kinaingia mifukoni kwa Watu

Ni ruksa kula kwa urefu wa kamba zao.Alisema mchungaji wao,kwa maana hiyo hakuna kushitakiwa mtu hapa.
 
Hata tukiongeza tax base bado mapato yatakuwa kiduchu maana tatizo lipo kwenye ukusanyaji mapato na si vingine.
 
Yeye mwenye na CCM wenzake ni wakwepa kodi, mshahara wake haukatwi kodi? nilitegemea awe mfano
 
 

Attachments

  • IMG-20241004-WA0041.jpg
    46.1 KB · Views: 0
Lini ulimchagua au kuteua washauri wa Rais?
 
Anasema hivi ,juhudi za kukusanya ziongezwe zaidi na kuwabana majizi.

Namuamini bwana Mwenda maana Kwa robo ya kwanza amevuka malengo na haijawahi tokea kabla.

Huyu bwana hana Ubabe lakini anachat na wafanyabiashara so Kwa mara ya kwanza TRA itavuka lengo la Kukusanya Mapato ya Serikali ya Trilioni 30.3 yaliyopangwa.
 
Kama Kodi inaishia mifukoni mwa watu binafsi, Viongozi wahusika wanafanya kazi gani? Mbona hawachukuliwi hatua?
 
Nimeshindwa kumuelewa Rais anaposema nchi ina watu milioni 65 ila wanaolipa kodi ni watu milioni 2 tu!

Najiuliza sipati jibu!

Anataka WENDAWAZIMU, VICHAA, WASIO NA KAZI, WATOTO, VICHANGA walipe kodi!
 
Mtu anayeangalia watu kwanza kuwa hawalipi kodi badala ya kuangalia makampuni makubwa km makampuni ya simu..fahamu hajui analoongea!! hata afanye vipi hatapata jibu..
 
Come 2025 wananchi wafanyanye maamuzi magumu.
Haiwezekani mtu vyombo vyote vya ulinzi na usalama vipo chini yako kisha wahuni wanachota mapesa badala ya kuja kusema nimenyonga kadhaa kwasababu wamedokoa kiasi fulani unalalamika!
Aibu kabisa hii.
 
Come 2025 wananchi wafanyanye maamuzi magumu.
Haiwezekani mtu vyombo vyote vya ulinzi na usalama vipo chini yako kisha wahuni wanachota mapesa badala ya kuja kusema nimenyonga kadhaa kwasababu wamedokoa kiasi fulani unalalamika!
Aibu kabisa hii.
Yeye kwanza ndiyo anatakiwa anyongwe kwa kushindwa kusimamia na kushiriki kwenye wizi wa mali za umma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…