Rais Samia ukimaliza kuchezea Pesa kuisaidia Taifa Stars tunakuomba uwasaidie na Watanzania wote kwenye jambo hili la Muhimu

Rais Samia ukimaliza kuchezea Pesa kuisaidia Taifa Stars tunakuomba uwasaidie na Watanzania wote kwenye jambo hili la Muhimu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa sasa ni rasmi kuwa ukitaka Kumlipia Mwanao Bima yake ya Afya kwa Mwezi ni Tsh 160,000/ na ya Familia ni Tsh 600,000 huna hizo Pesa ukiugua subiria tu Kufa na tukakuzike.

Hivyo basi GENTAMYCINE (Zanaki and Makuwa Think Tank) namuomba Mheshimiwa Rais Samia kuwa kwakuwa kumbe kuna Hela za Kuchezea za Kununua Magoli ya Simba, Yanga na Taifa Stars hata Wakiyafunga 1000 tunaomba kwa Upendo na Utayari wake huo huo atulipie / awalipie Watanzania Wote hii / hiyo Tsh 600,000/ ya Bima ya Afya ya mwaka.

Na kiukweli tutamshukuru na hata pengine kumuomba awe Rais wetu wa Milele / Maisha.
 
Faida nchi inayoingiza kutokana na Mechi izo za kimataifa ni Kubwa Timu Moja tu kuhudumiwa apa kiwango Cha chini kabisa ni milioni 100 apo Bado Mashabiki zao wanaokuja kwaiyo nchi inaingizaga pesa ndefu kadri hizo timu zinavyozidi Kufika mbali kwaiyo milioni 5 Sijui Kumi ni kiasi kidogo sana kulingana pesa nch inayoingiza.

Sasa apa labda uulizie zinaenda wapi lakini kusema eti awalipie apo hamna Hoja ya msingi Kila wizara isimamie wizara zake kwa pesa zake mama Ile anayotoa ni hamasa tu na imelipa Simba na Yanga zinavyozidi kwenda mbele Kila mtu amefurahi ata wewe pia umefurahi na Sasa ni Starts.
 
Faida nchi inayoingiza kutokana na Mechi izo za kimataifa ni Kubwa Timu Moja tu kuhudumiwa apa kiwango Cha chini kabisa ni milioni 100 apo Bado Mashabiki zao wanaokuja kwaiyo nchi inaingizaga pesa ndefu kadri hizo timu zinavyozidi Kufika mbali kwaiyo milioni 5 Sijui Kumi ni kiasi kidogo sana kulingana pesa nch inayoingiza Sasa apa labda uulizie zinaenda wapi lakini kusema eti awalipie apo hamna Hoja ya msingi Kila wizara isimamie wizara zake kwa pesa zake mama Ile anayotoa ni hamasa tu na imelipa Simba na Yanga zinavyozidi kwenda mbele Kila mtu amefurahi ata wewe pia umefurahi na Sasa ni Starts
Huna Akili.
 
Naona Agenda za Depopulation zinashika kasi kupandisha gharama za bima ni kutaka kuwaua watanzania. Rais hana habari kabisa, she doesn’t care [emoji119][emoji119]
Halafu tukimkumbuka Hayati Magufuli tunabatizwa Jina la Kiubaguzi la SUKUMA GANG wakati Wengine ni Wazanaki ( Mara ) na Wamakuwa ( Mtwara ) Kimakabila.
 
Naona Agenda za Depopulation zinashika kasi kupandisha gharama za bima ni kutaka kuwaua watanzania. Rais hana habari kabisa, she doesn’t care [emoji119][emoji119]
Upo sahihi, na hata pension reforms zilizoleta maandamano ufaransa zinalenga kuwapa watu ugumu wa maisha huku pia zikilenga kupunguza idadi ya watu kutoka milioni 2 hadi milioni 1.2 kufikia mwaka 2030. Haya mambo yako engineered lengo likiwa kuwafanya binadamu kuwa mateka......​
 
Kwa sasa ni rasmi kuwa ukitaka Kumlipia Mwanao Bima yake ya Afya kwa Mwezi ni Tsh 160,000/ na ya Familia ni Tsh 600,000 huna hizo Pesa ukiugua subiria tu Kufa na tukakuzike.

Hivyo basi GENTAMYCINE ( Zanaki and Makuwa Think Tank ) namuomba Mheshimiwa Rais Samia kuwa kwakuwa kumbe kuna Hela za Kuchezea za Kununua Magoli ya Simba, Yanga na Taifa Stars hata Wakiyafunga 1000 tunaomba kwa Upendo na Utayari wake huo huo atulipie / awalipie Watanzania Wote hii / hiyo Tsh 600,000/ ya Bima ya Afya ya mwaka.

Na kiukweli tutamshukuru na hata pengine kumuomba awe Rais wetu wa Milele / Maisha.
Pa1 sana.
 
Atuguse na sisi walimu jamani tuna maisha magumu sana GENTAMYCINE
Hongera Mkuu naona baada ya Watu kuja na Parodies za GENTAMYCIME, Rapa Gentamycine na GENTAMYPINE na Kutofanikiwa Kusafiria Nyota yangu Kali Kimvuto na Uwasilishaji hapa JamiiForums Wewe sasa umeamua Kujiita Jenter ambacho ni Kifupisho cha ID yangu ambapo Members wengi hupenda Kufupisha na Kuniita Genta.

Natabiri sasa Siku si nyingi kuna Mtu hapa hapa JamiiForums atajiita Genta au GENTA.

Jamani kuna GENTAMYCINE Mmoja tu hapa JamiiForums ambaye ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Mimi na mnaoiga ID Kutwa mnapoteza muda kwani hamjabarikiwa na Mwenyezi Mungu kwa Shani / Tunu zake nyingi alizonipa pamoka na hii Natural Charm niliyonayo.

Kazi kweli kweli.....!!!!!!
 
Hongera Mkuu naona baada ya Watu kuja na Parodies za GENTAMYCIME, Rapa Gentamycine na GENTAMYPINE na Kutofanikiwa Kusafiria Nyota yangu Kali Kimvuto na Uwasilishaji hapa JamiiForums Wewe sasa umeamua Kujiita Jenter ambacho ni Kifupisho cha ID yangu ambapo Members wengi hupenda Kufupisha na Kuniita Genta.

Natabiri sasa Siku si nyingi kuna Mtu hapa hapa JamiiForums atajiita Genta au GENTA.

Jamani kuna GENTAMYCINE Mmoja tu hapa JamiiForums ambaye ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Mimi na mnaoiga ID Kutwa mnapoteza muda kwani hamjabarikiwa na Mwenyezi Mungu kwa Shani / Tunu zake nyingi alizonipa pamoka na hii Natural Charm niliyonayo.

Kazi kweli kweli.....!!!!!!
Naomba Rais atuongezee mshahara ha sisi walimu tunashindia dagaa
 
Faida nchi inayoingiza kutokana na Mechi izo za kimataifa ni Kubwa Timu Moja tu kuhudumiwa apa kiwango Cha chini kabisa ni milioni 100 apo Bado Mashabiki zao wanaokuja kwaiyo nchi inaingizaga pesa ndefu kadri hizo timu zinavyozidi Kufika mbali kwaiyo milioni 5 Sijui Kumi ni kiasi kidogo sana kulingana pesa nch inayoingiza.

Sasa apa labda uulizie zinaenda wapi lakini kusema eti awalipie apo hamna Hoja ya msingi Kila wizara isimamie wizara zake kwa pesa zake mama Ile anayotoa ni hamasa tu na imelipa Simba na Yanga zinavyozidi kwenda mbele Kila mtu amefurahi ata wewe pia umefurahi na Sasa ni Starts.


hebu tuwekee fedha ambazo nchi inapata kutokana na hayo mashindano ili tujue na sisi.tukikijua tutaanza kuhoji sasa hizo pesa huwa zinaenda wapi.
 
Hongera Mkuu naona baada ya Watu kuja na Parodies za GENTAMYCIME, Rapa Gentamycine na GENTAMYPINE na Kutofanikiwa Kusafiria Nyota yangu Kali Kimvuto na Uwasilishaji hapa JamiiForums Wewe sasa umeamua Kujiita Jenter ambacho ni Kifupisho cha ID yangu ambapo Members wengi hupenda Kufupisha na Kuniita Genta.

Natabiri sasa Siku si nyingi kuna Mtu hapa hapa JamiiForums atajiita Genta au GENTA.

Jamani kuna GENTAMYCINE Mmoja tu hapa JamiiForums ambaye ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Mimi na mnaoiga ID Kutwa mnapoteza muda kwani hamjabarikiwa na Mwenyezi Mungu kwa Shani / Tunu zake nyingi alizonipa pamoka na hii Natural Charm niliyonayo.

Kazi kweli kweli.....!!!!!!
Hizo talent ulizobarikiwa nazo,

Unaonaje ukizitumia kuanzisha asasi ya kibinafsi kukusanya michango Kwa Watanzania ndani na nje ya nchi Ili kusaidia watoto kupata bima za AFYA nchini?
 
Sometimes it’s good to lift the national spirit and football is good at that, when the team wins.

Kwa nchi ambayo ina rank amongst least ya watu wenye furaha; walau hizi jitihada za kujaribu ku motivate ushindi zipongezwe ata kama zinaleta furaha ya muda mfupi tu.

Taifa linahitaji wananchi kuwa pamoja, patriotic na kupata furaha; mechi za kimataifa zinafanya kazi hiyo vizuri team inaposhinda. Kwa hapa Bi Tozo kaona kitu.
 
Kwa sasa ni rasmi kuwa ukitaka Kumlipia Mwanao Bima yake ya Afya kwa Mwezi ni Tsh 160,000/ na ya Familia ni Tsh 600,000 huna hizo Pesa ukiugua subiria tu Kufa na tukakuzike.

Hivyo basi GENTAMYCINE (Zanaki and Makuwa Think Tank) namuomba Mheshimiwa Rais Samia kuwa kwakuwa kumbe kuna Hela za Kuchezea za Kununua Magoli ya Simba, Yanga na Taifa Stars hata Wakiyafunga 1000 tunaomba kwa Upendo na Utayari wake huo huo atulipie / awalipie Watanzania Wote hii / hiyo Tsh 600,000/ ya Bima ya Afya ya mwaka.

Na kiukweli tutamshukuru na hata pengine kumuomba awe Rais wetu wa Milele / Maisha.
Kuna wakati unaleta mada zenye akili sana. Kwa kweli nikiwa kama elder brother wako, ninajivunia sana kuwa na mdogo genius na intellectual kama wewe.
 
Sometimes it’s good to lift the national spirit and football is good at that, when the team wins.

Kwa nchi ambayo ina rank amongst least ya watu wenye furaha; walau hizi jitihada za kujaribu ku motivate ushindi zipongezwe ata kama zinaleta furaha ya muda mfupi tu.

Taifa linahitaji wananchi kuwa pamoja, patriotic na kupata furaha; mechi za kimataifa zinafanya kazi hiyo vizuri team inaposhinda. Kwa hapa Bi Tozo kaona kitu.
Hizo hela anazochezea kununua hayo magoli, si angewapa wasaidizi wake wakakimbize mwenge pasipo kuwachangisha watumishi wa umma, na wananchi wanyonge mtaani!
 
Kwa sasa ni rasmi kuwa ukitaka Kumlipia Mwanao Bima yake ya Afya kwa Mwezi ni Tsh 160,000/ na ya Familia ni Tsh 600,000 huna hizo Pesa ukiugua subiria tu Kufa na tukakuzike.

Hivyo basi GENTAMYCINE (Zanaki and Makuwa Think Tank) namuomba Mheshimiwa Rais Samia kuwa kwakuwa kumbe kuna Hela za Kuchezea za Kununua Magoli ya Simba, Yanga na Taifa Stars hata Wakiyafunga 1000 tunaomba kwa Upendo na Utayari wake huo huo atulipie / awalipie Watanzania Wote hii / hiyo Tsh 600,000/ ya Bima ya Afya ya mwaka.

Na kiukweli tutamshukuru na hata pengine kumuomba awe Rais wetu wa Milele / Maisha.
Familia zao zinatibiwa India kwa fedha za umma
 
Back
Top Bottom