BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
So what she did unaona ni sawa?Tanua ubongo kaka fikiria kwa kina, uweze kuziona faida nyingi zinazoambatana na ukuaji wa kiwango cha soka.
Kwani walimu si mliongezewa mshahara na kupandishwa madaraja au!!!!! [emoji15] [emoji15] [emoji15]Atuguse na sisi walimu jamani tuna maisha magumu sana GENTAMYCINE
Ni sawa kwa sababu anahamasisha michezo kwa vitendo na Tanzania ikiweza kwenda AFCON mwakani huko Ivory Coast italitangaza taifa letu vizuri zaidi.So what she did unaona ni sawa?
Brazil soka ndio tunu yao ya Taifa.Ni sawa kwa sababu anahamasisha michezo kwa vitendo na Tanzania ikiweza kwenda AFCON mwakani huko Ivory Coast italitangaza taifa letu vizuri zaidi.
Tunachosahau ni ukweli kuwa ule ushawishi unaokuwemo katika mafanikio ya michezo unagusa moja kwa moja sekta nyinginezo.
Hivi unajisikiaje kuiga user I'd ya mtu? ndio maana idadi ya machoko inaongezeka.Jibu mada sio maneno ya chokochoko za barazani
Hii nchi ngumu sana bro. Kuna ujinga unaendekezwa sanaKwa sasa ni rasmi kuwa ukitaka Kumlipia Mwanao Bima yake ya Afya kwa Mwezi ni Tsh 160,000/ na ya Familia ni Tsh 600,000 huna hizo Pesa ukiugua subiria tu Kufa na tukakuzike.
Hivyo basi GENTAMYCINE (Zanaki and Makuwa Think Tank) namuomba Mheshimiwa Rais Samia kuwa kwakuwa kumbe kuna Hela za Kuchezea za Kununua Magoli ya Simba, Yanga na Taifa Stars hata Wakiyafunga 1000 tunaomba kwa Upendo na Utayari wake huo huo atulipie / awalipie Watanzania Wote hii / hiyo Tsh 600,000/ ya Bima ya Afya ya mwaka.
Na kiukweli tutamshukuru na hata pengine kumuomba awe Rais wetu wa Milele / Maisha.
Nonsensical.Nani amekwambia nimeiga ikiwa ingekuwa imeigwa isinge kubali kusajiliwa hapa JF
Acha kuongea utopolo
Hii ya 160k na 600k umeitoa wapi mkuu na sisi tujisomee?Kwa sasa ni rasmi kuwa ukitaka Kumlipia Mwanao Bima yake ya Afya kwa Mwezi ni Tsh 160,000/ na ya Familia ni Tsh 600,000 huna hizo Pesa ukiugua subiria tu Kufa na tukakuzike.
Hivyo basi GENTAMYCINE (Zanaki and Makuwa Think Tank) namuomba Mheshimiwa Rais Samia kuwa kwakuwa kumbe kuna Hela za Kuchezea za Kununua Magoli ya Simba, Yanga na Taifa Stars hata Wakiyafunga 1000 tunaomba kwa Upendo na Utayari wake huo huo atulipie / awalipie Watanzania Wote hii / hiyo Tsh 600,000/ ya Bima ya Afya ya mwaka.
Na kiukweli tutamshukuru na hata pengine kumuomba awe Rais wetu wa Milele / Maisha.
Jibu hoja kwa hoja acha kutumia lugha hizo za kibabe...umeleta Uzi mzuri Sana Sasa jadiliana na watu kwa hoja.Huna Akili.
Tatizo ni Ccm, Mama yeye ndio NHIF? Mama ndio waziri wa fedha? Mama ndio waziri wa Nishati? Mama ndio waziri wa kilimo?
Namna ya kutibu tatizo kwa usahihi ni kuipumzisha Ccm waje watu wapya na maarifa mapya.
So influence nzuri kwa upande wako ni hii anayofanya ya kutoa promise za millions of money kwa wachezaji? wakati huo huo kuna umma unalalamika kwa kuchangishwa mchango ambao serikali ilikuwa na uwezo wa kuumudu?Ni sawa kwa sababu anahamasisha michezo kwa vitendo na Tanzania ikiweza kwenda AFCON mwakani huko Ivory Coast italitangaza taifa letu vizuri zaidi.
Tunachosahau ni ukweli kuwa ule ushawishi unaokuwemo katika mafanikio ya michezo unagusa moja kwa moja sekta nyinginezo.
Nchi ngumu sana hii.Hivi kumbe mwenge kuna watu wanachangishwa...
Sio mchezo.
Hakuna serikali inayokamilisha ahadi zote, huko USA kuna ombaomba wanalala nyumba za kwenye maboksi lakini hawachoki kusaidia kilimo na afya bara la afrika. Si wangeanza kwanza na maskini wa mitaa ya Baltimore, Mississipi na New Orleans?.So influence nzuri kwa upande wako ni hii anayofanya ya kutoa promise za millions of money kwa wachezaji? wakati huo huo kuna umma unalalamika kwa kuchangishwa mchango ambao serikali ilikuwa na uwezo wa kuumudu?
HUyuHivi unajisikiaje kuiga user I'd ya mtu? ndio maana idadi ya machoko inaongezeka.
Hao ni wanasimba waliokasirika baada ya Kapombe na Tshabalala kuachwa kikosi Cha Taifa StarsHakuna serikali inayokamilisha ahadi zote, huko USA kuna ombaomba wanalala nyumba za kwenye maboksi lakini hawachoki kusaidia kilimo na afya bara la afrika. Si wangeanza kwanza na maskini wa mitaa ya Baltimore, Mississipi na New Orleans?.
Hakuna serikali inayoweza kukamilisha kila kitu, tupunguze hizi nongwa zisizo na msingi eti rais anatumia pesa nyingi kwenye michezo, tujaribu kuweka uhusiano kati ya pesa hizo na ushawishi wa Tanzania kimataifa, naamini upo tena mkubwa tu.
Watulie tu makocha wanaipenda Tanzania kama wao wanavyoipenda. Kocha hawezi kumsikiliza kila mtu kila wakati, atapoteza hadhi ya kuitwa kocha mkuu wa Stars.HUyu
Hao ni wanasimba waliokasirika baada ya Kapombe na Tshabalala kuachwa kikosi Cha Taifa Stars
Vipi kuhusu Rwanda iliyoweka jina lake katika jezi ya Arsenal na PSG na yenyewe soka ni tunu yao ya Taifa?.Brazil soka ndio tunu yao ya Taifa.