Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅🤣kafaulu Ujinga huyu bibiZiyada ❌
Ziada✔️
Hivi huko Canada ulienda kusomea ujinga?
Msamehe bure, umri haudanganyi!Ziyada ❌
Ziada✔️
Hivi huko Canada ulienda kusomea ujinga?
Basi ndio maana Al Shababu wanawashambulia Wakenya kila mara.CDF wa Kenya alikuwa ni Msomali.
Hao alshabab wenyewe ni wakenya.Basi ndio maana Al Shababu wanawashambulia Wakenya kila mara.
Tena hilo ndiyo wanalijuwa zaidi mashoga wale.Marekani wana uwezo wa kukuchonganisha wewe na mumeo?
Hahaha... sio kweli hiyo ni chai bila sukari.Hao alshabab wenyewe ni wakenya.
Wewe utamuelewa vipi na haulimi wala hausafirishi mahindi?Sasa kama yeye hawezi kuelezea wahusika (walengwa) na wanaomuelewa sio wahusika basi ameshindwa kazi..., after all more than anything lazima aeleweke ili watu waende sawa na sio confusion na kupiga siasa kwenye mambo muhimu...
Kwahio alivyosema mwanzo mkulima auze popote pale bila shida na wakulima wakashangalia na kuona walaji ni wapenda dezo regulations ziliingia kapuni ?
Na pale chakula kilipopungua wakasema watu watunze na Bashe akasema wauze tu lakini wauze wakiwa na vibali ni kwamba hizo regulations zili creep from where ? (In short ni mkulima gani mwenye vibali au tunarudi pale pale kwamba wafanyabiashara ndio wanunuzi which was the case hata kabla hajaleta siasa zake)?
Ukisoma huelewi basi hata picha huoni?Kamsimamia nani ?
Kwahiyo ikiwa wanauwezo wa kukugombanisha wewe na mumeo hauoni kuwa wewe na mumeo ni wajinga? Kumbe mashoga wana akili nyingi kiasi hikiTeba hilo ndiyo wanalijuwa zaidi mashoga wale.
Hizo ni lahaja tu za Kiswahili kijana.Ziyada ❌
Ziada✔️
Hivi huko Canada ulienda kusomea ujinga?
Akili za kufitini watu? Bora tusiwe zazo.Kwahiyo ikiwa wanauwezo wa kukugombanisha wewe na mumeo hauoni kuwa wewe na mumeo ni wajinga? Kumbe mashoga wana akili nyingi kiasi hiki
Unapenda kugombana na mumeo?Akili za kufitini watu? Bora tusiwe zazo.
Sasa kijana umekosa hoja, unaanza kutaka kuyajuwa mambo ya nyumbani kwa watu?Unapenda kugombana na mumeo?
Kwasababu umekiri kuwa mmarekani anauwezo wa kugombanisha kwenye familia yenu,kwahiyo inaonyesha anaweza kukufanya chechote kile na wewe ukawa unamwangalia tu kwasababu kakuzidi akiliSasa kijana umekosa hoja, unaanza kutaka kuyajuwa mambo ya nyumbani kwa watu?
Au ni walewale?
Acha fix bibi..Hizo ni lahaja tu za Kiswahili kijana.
Usiwe na hofu.