Elewa swali. Ana pasipoti ya Somalia?Ni msomali na ni Mtanzania, Kama wangoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elewa swali. Ana pasipoti ya Somalia?Ni msomali na ni Mtanzania, Kama wangoni
Wangoni Wana passport ya Africa kusini?Elewa swali. Ana pasipoti ya Somalia?
Elewa swali. Kwa hiyo wangoni ni wa-Afrika kusini?Wangoni Wana passport ya Africa kusini?
Hujui walitoka wapi?..hao ni WA southElewa swali. Kwa hiyo wangoni ni wa-Afrika kusini?
Kamsimamia nani ?Mipango na usimamizi mwema, kabla ya ujio wa Bashe, hekta moja ilikuwa inakutolea tani moja na nusu ya mpunga, baada ya Bashe kuanza kuweka mipango sawa mwaka huu tumeanza kupa tani 4 kwa hekta hiyohiyo, na bado haitoshi, anataka kuna siku ifike 10.
Hahah we jau kweli yaani!Hapana bana, wapewe wachaga. Mtoto wa Mbowe apewe aiendeshe mwendokasi.
Hivi unaelewa swali kweli?Hujui walitoka wapi?..hao ni WA south
Sasa kama yeye hawezi kuelezea wahusika (walengwa) na wanaomuelewa sio wahusika basi ameshindwa kazi..., after all more than anything lazima aeleweke ili watu waende sawa na sio confusion na kupiga siasa kwenye mambo muhimu...Ikiwa mmeshindwa kumuelewa Bashe kuhusu regulations za export, hamtoweza kuelewa chochote kingine.
gaidi wa kingazija huyoNaona umeamua kutufanya wote tuongee Kipemba kwa nguvu sana.
Na Idara za Maji wapewe Wahaya?! Kwenye Maji wako vizuri.Taasisi za usafirishaji wapewe Waarabu mfano Mwendokasi
Huyu Waziri aendelee kubaki kwenye Wizara hii hadi 2030.RAIS SAMIA SULUHU HASSAN amezungumzia utendaji kazi wa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe na kusisitiza kuwa ukitaka kufanikiwa kwenye Kilimo mpe jukumu hilo Msomali.
Mpaka Nchi ifilisike?!Huyu Waziri aendelee kubaki kwenye Wizara hii hadi 2030.
Nitaendelea kumuombea kwa Mungu aendelee kubaki kwenye nafasi hii na kwenye Wizara hii
Huwezi elewa inakuzidi upeo bosi.Acheni ukabila na hakuna kitu kama hicho ulichoandika
Marekani wana uwezo wa kukuchonganisha wewe na mumeo?Hapana, wae siyo Wasomali ni Wahabashi (Ethiuopia).
Wasomali waliondoka sana zamani wakati wana vita ya wenyewe kwa wenyewe iliyochochewa na Wamarekani, na vibaraka wao wa Afrika kama Kenya wakajifanya ni vita yao kwa kununuliwa na Wamarekani.
Sasa machafuko yamekwisha Somalia, wanaenda spidi ya ajabu.
Kila kwenye dalili za mafanikio Afrika, marekani na mashoga wengine wa magharibi, lazima waingize fitna.
Kama nani?Wangoni Wana passport ya Africa kusini?
Ziyada ❌Kwa mara ya kwanza Tanzania, katika Uwaziri wa Bashe, Tanzania tunajitosheleza chakula mapema sana katika mwaka na tuna ziyada (surplus) ya chakula kwa asilimia 20.