FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hata Nyerere alifanya hivyo.Wizara ya hela apewe mhindi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Nyerere alifanya hivyo.Wizara ya hela apewe mhindi
Ruto laana ya kuwaabudu wazungu inamtesa.Ndio maana Ruto ana hali mbaya sana, intelligence imefeli vibaya mno, ulinzi wa hovyo hadi bunge linachomwa Moto na vibaka. Upuuzi wa kuwaamini wasomali
Tuwawachie wachaga.Kwa hiyo,ni vema tuikodishe nchi kwa wasomali?
Kauliza swali, unachokisoma hukielewi?Sidhani na sijaona kwenye uzi wako kama hao CHADEMA na wao umewataja.Ngoja nirudie kuubukua.
Wewe kwenu wapi?Huyu waziri sio raia wa JMT
Ambae na waziri wake wa kilimo Hussein Bashe, kwa mara ya kwanza Tanzania ina surplus ya chakula, hao wazima mbona hawajawahi kuyafanya hayo?Tuna rais wa ovyo
Ommba omba hata akiwa na chakula ni lazima aombe tu, ni tabia za kitumwa.Kwahio tuna surplus ambayo imeshindwa ku-satisfy mahitaji ya hata omba omba wa Dodoma ? By the way chakula ni kwa ajili ya Serikali (kama mapambo na data) au ni kwa ajili ya wananchi kitaa ambao wanalalamika bei za vyakula haziendani na purchasing power yao ?
Kuakikisa Taifa lipo salama.Hivi hao usalama wa taifa kazi yao nini?
We are fucked as JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala.
20% ya Wakenya ni Wasomali.kenya mkuu wa intelijensia waliweka msomali ili wasomali wakibinywa wasilalamike, ionekane wanabinywa na msomali mwenzao. upande wa mandela na kule kupakana na somalia, al shabab wanawasumbua sana, na ukiweka intelijensia ya mkristo watasema tunapigana na kafiri, wao wakaweka ndugu yao.
CDF wa Kenya alikuwa ni Msomali.Mkuu?! Hi ni Chai ya Sukari ya Bashe.
Hamna ila wapo,Tanzania kuna kabila la wasomali ?
Ikiwa mmeshindwa kumuelewa Bashe kuhusu regulations za export, hamtoweza kuelewa chochote kingine.Na hao wanaolalamika mfumuko wa bei za vyakula wapo nchi gani ?
Haikuwa Tanzania baada ya Bashe kusema hapangii wakulima sehemu ya kuuza na baadae yeye na Samia wakaja na U Turn kwamba hakumaanisha wauze tu ]
Unataka tuongee kichaga?Naona umeamua kutufanya wote tuongee Kipemba kwa nguvu sana.
Nami najua ameelewa jibu langu vizuri.Kauliza swali, unachokisoma hukielewi?
Hilo nalo ni wazo lako kama ambavyo hakuna mpaka wa kufikiri aliochorewa mtu.Tuwawachie wachaga.
TanzaniaWewe kwenu wapi?