CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
CDFkuna mtu alisema hii nchi tumekabidhi watu sio raia. Nani vile?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CDFkuna mtu alisema hii nchi tumekabidhi watu sio raia. Nani vile?
Huwa situngi uongo kufurahisha genge bossMkuu?! Hi ni Chai ya Sukari ya Bashe.
Stereo typing, dunia in a kwenda kisayansi, kila kitu kinafundishika.Nakazia tu umuhimu wa Bashe pale Wizara ya Kilimo, amefanya mambo makubwa
Mlale Unono 😀
Yaani hata Jina la huyo "Msomali" wa Kenya?!mapinduzi yalifeli maana walitaka na msomali ashiriki na vikosi vyake wapindue
Spirit 😃Stereo typing, dunia in a kwenda kisayansi, kila kitu kinafundishika, sio kwamba ni wachaga tu ndio wanajua biashara, au sio wahaya tu ndio wasomi, sifa zao zinafundishika vzr tu hata kwa wengine, sekta nyeti za uchumi, zinahitaji sayansi na tekinolojia, sio kabila LA mtu
Hakuna kitu kama hicho, wameishi na wabantu lakini sio WabantuMbona nimesoma humu kuwa kuna Wasomali Wabantu?!
Au unaongelea Wabantu wa Tanzania?!Hakuna kitu kama hicho, wameishi na wabantu lakini sio Wabantu
Mabantu utayajua tu
Maj General Mahamud Mahamed, The deputy Army CommanderYaani hata Jina la huyo "Msomali" wa Kenya?!
Ngoja nimgoogle...Maj General Mahamud Mahamed, The deputy Army Commander
Hapana, wabantu wa Africa kwa ujumlaAu unaongelea Wabantu wa Tanzania?!
NGoja nikustahi tuHizo zinaitwa "conspiracy theories", hata Nyerere kuna waliwahi kusema ni Mnyarwanda.
Mkapa walisema ni mtu wa Msumbiji.
Lisikutishe sana, wengi wameshutumiwa kuwa siyo raia. Lakini mpaka mtu kama mwendazake ampe uwaziri! Bora ingekuwa uwaziri kauanzia kwa mama Samia wangesema "Muislam mwenzake, mama kishaiuza nchi kwa wasomali".
Acha tu mkuu anasikitisha sana kibaya zaidi ni mfia diniAkili ya huyo Ajuza anaijua mwenyewe tu.
Dharau hizi.Nakazia tu umuhimu wa Bashe pale Wizara ya Kilimo, amefanya mambo makubwa
Mlale Unono 😀
Wa zamani sana enzi za MoiNgoja nimgoogle...
Nimemsoma aisee!!Maj General Mahamud Mahamed, The deputy Army Commander
Mimi nilikuwa najua Wasomali wako Loyal kwenye Clan zao tu.?!Wa zamani sana enzi za Moi
Ninajua hasira zako lakini huwezi kuifananisha Somalia na Botswana au Ethiopia na Kongo Waafrika ni NDUGU.Hapana, wabantu wa Africa kwa ujumla
Ngoja nimgoogle...
Thank you very muchNimemsoma aisee!!
Mimi nilikuwa najua Wasomali wako Loyal kwenye Clan zao tu.?!
Point yangu ni kuwa Wabantu ni jamii ya watu hovyo, hata wakiwa na rasilimali nyingi kiasi gani...ndio watazidi kuuana hata ndugu kwa nduguNinajua hasira zako lakini huwezi kuifananisha Somalia na Botswana au Ethiopia na Kongo Waafrika ni NDUGU.
Lakini mbona Wasomali ndio wanauana sana huko Somalia?!Wasio wabantu hawana hulka hizo na kama yupo aliyonayo basi ni mmoja au wawili katika 100