Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Ruto ana akili sana 😃Ruto alichofanya ni mchawi mpe mtoto akulele..
Kwakuwa wasomali ni wasumbufu kiusalama wa nchi kwahiyo ofisi nyeri ikabidi awakabidhi wenyewe.
Mtu mbishi ni wa kumuacha maana 🙌😎.Raia wa Tanzania maana yake nini na unathibitishaje huyu ni raia wa Tanzania na huyu si raia wa Tanzania?
Unathibitishaje Bashe si raia wa Tanzania?
Imani ya Kisomali maana yake ni nini na unathibitishaje Bashe ana imani ya Kisomali?
sio akili ni uoga tu..Kumbe Ruto ana akili sana 😃
Ungeandika hivyo tangu awali.Sasa wewe ukawakumbuka CHADEMA.Hapa tunazungumzia uchapakazi bwashee
Tatizo si ubishi.Mtu mbishi ni wa kumuacha maana 🙌😎.
Gachagua Ndio anawapiga Vita wasomali kwa sababu walimzuia kutumia Chopa ya Jeshisio akili ni uoga tu..
Sasa wanamfelisha.
Kazaliwa NzegaBashe sio raia wa JMT hili jambo hata CDF aliliweka sawa ila bado linapuuzwa
Bashe sio raia wa JMT hili jambo hata CDF aliliweka sawa ila bado linapuuzwa
Bashe ni Mtanzania labda tuongelee Scandal zake za Sukari.Huyu waziri sio raia wa JMT
Kinana tu kamaliza Tembo wetu, hebu Imagine Mama akienda kuwaleta Jahazi zima hizi Mbuga si zitabaki bila Tembo na Vinyama vingine vya Mwitu?!Kwa hiyo,ni vema tuikodishe nchi kwa wasomali?
Gachagua huwa nikumuona nahisi kama hamnazo jinsi anavyoongea na ile morphology yake.Gachagua Ndio anawapiga Vita wasomali kwa sababu walimzuia kutumia Chopa ya Jeshi
Hii Kesi ni siku nyingi Bashe kazaliwa Nzega na Rostam kazaliwa Mwisi.Kazaliwa Nzega
Ruto kafunzwa hadi kula Mirungi na Wasomali.Kumbe Ruto ana akili sana 😃
Zilikuwa Fitna za Mr TukutukuHii Kesi ni siku nyingi Bashe kazaliwa Nzega na Rostam kazaliwa Mwisi.
Halafu kila Uchaguzi ukikaribia hii issue ya Uraia wa Bashe na Hamisi Kigwa huwa lazima zije hapa Jukwaani.Zilikuwa Fitna za Mr Tukutuku