WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Msomali na kilimo wapi na wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masha KIBOKO YA WACHAWI.MASHA ALIMSAFISHA KITAMBO, UNAKUMBUKA HII...
Msomali baada ya kupiga mzigo wa sukari maza ulimfikia vizuriLabda Kilimo cha Mirungi 😄
Nationality, creed, tribe.Tanzania kuna kabila la wasomali ?
Bashe ana imani ( creed ) ya kisomali siyo raia wa Tanzania .Nationality, creed, tribe.
heheNo kweli !kazi iendelee kivyovyote vile!!
80% ya Wasomali ni wakulima, 70% ya GDP yao inatokana na kilimo, ingawa kwao ni ukame na wanategemea mito miwili tu kwa kilimo nchi nzima.Msomali ni mfugaji au mkulima!
Kinana kaliongelea hilo lakini CCM ni Genge la walarushwa.Msomali anatembeza rushwa mpk juu wengine wanaishia chini chini
CCM ni kusanyiko la wala rushwa wakubwaKinana kaliongelea hilo lakini CCM ni Genge la walarushwa.
Hakuna watu wavivu duniani kama wasomali, tunaishi nao kitaa tuna wajua, labda wanalima mirungi pekee80% ya Wasomali ni wakulima, 70% ya GDP yao inatokana na kilimo, ingawa kwao ni ukame na wanategemea mito miwili tu kwa kilimo nchi nzima.
Pia wapo wafugaji na wapo wavuvi.
Wako vizuri sana kwa kuchapa kazi.
Raia wa Tanzania maana yake nini na unathibitishaje huyu ni raia wa Tanzania na huyu si raia wa Tanzania?Bashe ana imani ( creed ) ya kisomali siyo raia wa Tanzania .
Msomali ni mfanyabiashara na pia ndiye mgaidi wa kwanza duniani.80% ya Wasomali ni wakulima, 70% ya GDP yao inatokana na kilimo, ingawa kwao ni ukame na wanategemea mito miwili tu kwa kilimo nchi nzima.
Pia wapo wafugaji na wapo wavuvi.
Wako vizuri sana kwa kuchapa kazi.
Sikutegemea kusikia hili, yaani kasema Rais, kumbe Lissu husema ukweli. Yaani sisi tupo kwenye Keyboards na Waarabu na Wasomali ndiyo wanaendesha NCHI!Mteka Meli.
Kwahiyo hizo hela zao ni za Majini?!Hakuna watu wavivu duniani kama wasomali
Hao ni wavuvi na wafanya biashara.Twende Kisimayu,tukawachukue wa kutosha sasa....
haaaaaaaaa haaaaaaaaa haaaaaMteka Meli.
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa!Kilimo kimefanikiwa sehemu gani hapo sasa?