and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Mnamuitaje mama wakati ni bibi?Mama ni muadilifu na mzalendo wa kiwango cha juu sana.
Ana wajukuu rika lako... Hebu acha ujinga ..
Sema bibi..........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnamuitaje mama wakati ni bibi?Mama ni muadilifu na mzalendo wa kiwango cha juu sana.
Wakati sisi tunafikiria dona la jioni na watoto wetu, wenzetu mnawaza kugawana vyeo na watoto wenu.Ndugu zangu watanzania,
Haya ni Maneno ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mimi Sitafuti vyeo hapa jukwaaniKwahiyo wewe huna sifa hata moja ktk hizo na ndio maana umebaki kuwa chawa tu humu,Ili uonewe Huruma.
Kamtaja kwa kuweka ushahidi upi? Yule ni mropokaji tukiongozi wa upinzani kamtaja Mkuu wa Mkoa Arusha kua ndio aliongoza genge lililomshambulia kwa risasi 17 mwilini Bado RC yupo kazini /mamlaka ya uteuzi haijataka kumtoa kupisha uchunguzi........UADILIFU
Havigawiwi vyeo bali majukumu.Wakati sisi tunafikiria dona la jioni na watoto wetu, wenzetu mnawaza kugawana vyeo na watoto wenu.
kwanini RC hajakanusha?Kamtaja kwa kuweka ushahidi upi? Yule ni mropokaji tu
Upuuzi mtupu katika wateule wake wote nani muadilifu? Makonda anauadilifu upi? Majariwa anauadilifu upi? Chalamilla anauadilifu upi? Tulia anauandilifu upi? Mpina na mwiguru nani mwenye uadlifu zaidi?Ndugu zangu watanzania,
Haya ni Maneno ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Chapa kazi Mwashambwa. Mama anakuonaUadilifu wako na uchapakazi wako ndio utakao kupatia vyeo.
Wewe ndiye msemaji wake! panya buku wewe. Mimi ninamzungumzia Samia ambaye ni rais, simzungumzii Samia mwenyekiti wa CCM. Nakushauri ujifunze kujua mipaka yako kwenye uchawa, Samia anazo pande mbili za maisha ya kila siku, mmoja ni rais yaani kiongozi wa watanzania wote na mwingine ni kiongozi wa wanaccm tu.Havigawiwi vyeo bali majukumu.
Shika adabu yako, heshima yake kitaifa ipo juu, tatizo kwa upumbavu wako unadhani Tanzania ni mali ya CCM.Kamtaja kwa kuweka ushahidi upi? Yule ni mropokaji tu
Hivi kichaa akichukua nguo zako wakati unaoga unaweza kuanza kufukuzana naye?kwanini RC hajakanusha?
mshaurini Mama ampige chini
Wewe ndiye uwe na adabu.Shika adabu yako, heshima yake kitaifa ipo juu, tatizo kwa upumbavu wako unadhani Tanzania ni mali ya CCM.
Peleka ujinga wako huko.Wewe ndiye msemaji wake! panya buku wewe. Mimi ninamzungumzia Samia ambaye ni rais, simzungumzii Samia mwenyekiti wa CCM. Nakushauri ujifunze kujua mipaka yako kwenye uchawa, Samia anazo pande mbili za maisha ya kila siku, mmoja ni rais yaani kiongozi wa watanzania wote na mwingine ni kiongozi wa wanaccm tu.
huo msemo kwa sasa hauna nafasi,CCM kaeni chini mjipange upya muone wapi mmekosea kwa wananchi hamna mvuto kabisa mmechokwaHivi kichaa akichukua nguo zako wakati unaoga unaweza kuanza kufukuzana naye?