Rais Samia: Ukiwa Muadilifu Vyeo Vitakufuata Ulipo

Rais Samia: Ukiwa Muadilifu Vyeo Vitakufuata Ulipo

Haikutakiwa kuwa: Rais Samia: Ukiwa Muadilifu Vyeo Vitakufuata Ulipo.
Bali inatakiwa kuwa: Rais Samia: Ukiwa Chawa Vyeo Vitakufuata Ulipo
 
Sa
Ndugu zangu watanzania,
Haya ni Maneno ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sahihi kabisa hii
 
Mwamba ni Mzalendo na muadilifu sana.ndio maana amefanikiwa kuaminiwa na Marais Takribani watatu kuanzia wakati wa Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete mpaka sasa wakati wa Jemedari wetu Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hasssan
!
Unajua maana ya Neno “Jemadari “ wewe ?
Au unajiandikia tu?
Usione ninavyomwita Tundu Lisu Jemadari ukaiga.
Tafuta kujua huwa linatumika ktk vigezo na masharti gani?
Huyo Rais unaweza kumwita Amiri Jeshi Mkuu ikaeleweka lakini usiige maana usizozijua wajuvi watakuona kituko.
 
!
Unajua maana ya Neno “Jemadari “ wewe ?
Au unajiandikia tu?
Usione ninavyomwita Tundu Lisu Jemadari ukaiga.
Tafuta kujua huwa linatumika ktk vigezo na masharti gani?
Huyo Rais unaweza kumwita Amiri Jeshi Mkuu ikaeleweka lakini usiige maana usizozijua wajuvi watakuona kituko.
Embu peleka huko ujinga wako.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya uadilifu na uzalendo nadhani tujikite kwenye uzalendo tu waungwana.
 
Ndugu zangu watanzania,
Haya ni Maneno ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Aache utapeli, vyeo vinatolewa kwa machawa. Yeye ameona vyeo ni kitu cha maana sana? Yeye ana uadilifu gani zaidi ya kuwa mtekaji na muuaji?
 
Ndugu zangu watanzania,
Haya ni Maneno ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Uadilifu wa akina basite na mavwele ni upi
 
Ndugu zangu watanzania,
Haya ni Maneno ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mbona Mwashambwa cheo hakijamkimbilia?
Sijapenda!
Nimebubujikwa na machozi.
 
Back
Top Bottom