Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #61
Ulikuwa unafanya shughuli ganiMbona Mimi nilikuwa muadilifu kweri kweri lakini nikaachwa kwenye mataa ?? 😳🙄 !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa unafanya shughuli ganiMbona Mimi nilikuwa muadilifu kweri kweri lakini nikaachwa kwenye mataa ?? 😳🙄 !
Acha kunitukana bila sababu ya msingi.We mbona cheo hakikufuati chawa wa mbwa.
Wauaji wanajuana kwa vilemba
Ni vitendo kama ilivyo kwa Mama yetu na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mzalendo wa kweli wa Taifa letu.Hivi uadilifu ni maneno au vitendo?
Acha upotoshaji wako hapa.Haikutakiwa kuwa: Rais Samia: Ukiwa Muadilifu Vyeo Vitakufuata Ulipo.
Bali inatakiwa kuwa: Rais Samia: Ukiwa Chawa Vyeo Vitakufuata Ulipo
Upo wapi upotoshaji!??Acha upotoshaji wako hapa.
Kwa hayo yote uliyoyaandikaUpo wapi upotoshaji!??
Sahihi kabisa hiiNdugu zangu watanzania,
Haya ni Maneno ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
!Mwamba ni Mzalendo na muadilifu sana.ndio maana amefanikiwa kuaminiwa na Marais Takribani watatu kuanzia wakati wa Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete mpaka sasa wakati wa Jemedari wetu Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hasssan
Kumbe wewe huna hivyo ndio maana umebaki kupiga mapambio hapa JFUadilifu wako na uchapakazi wako ndio utakao kupatia vyeo.
Embu peleka huko ujinga wako.!
Unajua maana ya Neno “Jemadari “ wewe ?
Au unajiandikia tu?
Usione ninavyomwita Tundu Lisu Jemadari ukaiga.
Tafuta kujua huwa linatumika ktk vigezo na masharti gani?
Huyo Rais unaweza kumwita Amiri Jeshi Mkuu ikaeleweka lakini usiige maana usizozijua wajuvi watakuona kituko.
Mimi ni muadilifu na mchapakazi kazi sana.Kumbe wewe huna hivyo ndio maana umebaki kupiga mapambio hapa JF
Kazi kubwa ya kukifagilia Chama na kuipamba Serikali na kuzipangua hoja za wapinzani 😳😀👍Ulikuwa unafanya shughuli gani
Embu peleka huko ujinga wako.
Kwamba na wewe una akili?Huo sio ujinga ni akili kubwa hiyo huifikii hata chembe wewe maamuma!
Aache utapeli, vyeo vinatolewa kwa machawa. Yeye ameona vyeo ni kitu cha maana sana? Yeye ana uadilifu gani zaidi ya kuwa mtekaji na muuaji?Ndugu zangu watanzania,
Haya ni Maneno ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Uadilifu wa akina basite na mavwele ni upiNdugu zangu watanzania,
Haya ni Maneno ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mbona Mwashambwa cheo hakijamkimbilia?Ndugu zangu watanzania,
Haya ni Maneno ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kutembea na misafara ya boda kibabe kama maninja😂Uadilifu wa akina basite na mavwele ni upi