Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #41
Ni watu safi, waadilifu, wazalendo na wachapakazi sana.Upuuzi mtupu katika wateule wake wote nani muadilifu? Makonda anauadilifu upi? Majariwa anauadilifu upi? Chalamilla anauadilifu upi? Tulia anauandilifu upi? Mpina na mwiguru nani mwenye uadlifu zaidi?
Labda wewe ndiye huna mvuto.lakini CCM inaaminika sana kwa watanzaniahuo msemo kwa sasa hauna nafasi,CCM kaeni chini mjipange upya muone wapi mmekosea kwa wananchi hamna mvuto kabisa mmechokwa
Ni Mama yetu Watanzania wote.Mnamuitaje mama wakati ni bibi?
Ana wajukuu rika lako... Hebu acha ujinga ..
Sema bibi..........
Hivi wewe ulishawahi kukemea kuhusu utekaji?au ubadhirifu wa mali za uma,unyanyasaji wa polisi kwa rai wema,mauwaji na kero nyinginyingi tu huwa huzioni?Ndugu zangu watanzania,
Haya ni Maneno ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hoja yako ni ipi unayotaka nipate?Hivi wewe ulishawahi kukemea kuhusu utekaji?au ubadhirifu wa mali za uma,unyanyasaji wa polisi kwa rai wema,mauwaji na kero nyinginyingi tu huwa huzioni?
Umeandika uzushi na uongo mtupu. Kila mmoja anafahamu kazi kubwa iliyofanywa na serikali yetu katika wilaya ya chunya chini ya mheshimiwa ItundaPre GE2025 - Ujumbe Muhimu kwa Rais Samia Kutoka Majimbo ya Uchaguzi Chunya na Lupa Mkoa wa Mbeya.
Ninatoa wito kwa Rais Samia na serikali yake kuchukua hatua za haraka kuhusu hali ya maendeleo katika Jimbo la Chunya na Lupa, Mkoa wa Mbeya, kulingana na ilani ya CCM ya 2020-2025. Ni jambo la kusikitisha kwamba, licha ya kuwa na madiwani wote na wabunge wawili kutoka CCM, hakuna miradi ya...www.jamiiforums.com
Umeandika uzushi na uongo mtupu. Kila mmoja anafahamu kazi kubwa iliyofanywa na serikali yetu katika wilaya ya chunya chini ya mheshimiwa Itunda
Actions speak louder than words.Mama ni muadilifu na mzalendo wa kiwango cha juu sana.
Hilo nalo neno😂Kama Personal secretary Waziri Rajabu vyeo vimefuata kwa uadilifu wake.
Utahangaika sana na huwezi ukazuia chochote kile katika kukubali na kupendwa kwa Rais Samia katika Nchi hiiHilo nalo neno😂
Nendeni Mkalitizame😳
Kupeana na wala sio uadilifu.Ndugu zangu watanzania,
Haya ni Maneno ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Muadilifu ni mungu pekee. Hawa binadamu wanafiki tu.Ndugu zangu watanzania,
Haya ni Maneno ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Utahangaika sana na huwezi ukazuia chochote kile katika kukubali na kupendwa kwa Rais Samia katika Nchi hiiView attachment 3111370
We mbona cheo hakikufuati chawa wa mbwa.Ndugu zangu watanzania,
Haya ni Maneno ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mbona Mimi nilikuwa muadilifu kweri kweri lakini nikaachwa kwenye mataa ?? 😳🙄 !Ndugu zangu watanzania,
Haya ni Maneno ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Uadilifu ni pamoja na Uchawa hapo ndipo unaweza Ukaonekana !Hivi uadilifu ni maneno au vitendo?