Rais Samia umeanza kutuangusha kabla ya siku 100 za uongozi wako

Rais Samia umeanza kutuangusha kabla ya siku 100 za uongozi wako

Watanzania ambao wanafanya kazi za kubangaiza nje ya tanzania mfano huo umachinga unawaathiri vipi watu wa nchi hizo ?

Bado hujanielewesha hawa wachache wanadhambi gani ya kuja kumiliki maeneo hapa tanzania kwa kufuata taratibu za hapa badala yake uwahusishe na hao wachache ?



Bargain item inakuwaje ?
Unakumbuka xenophobia
 
Nimesema Tanzania ina Mabilionea wengi kuliko Kenya (Dollar Millionaires wengi), Kwa nini hawa tusiwasisitize.

Unatakiwa uwe na mtaji wa zaidi ya TSH Billioni 500 ndio uhesabiwe wewe ni Mwekezaji mkubwa wa Madini
Kama wa kwetu hawataki tufanyeje
 
Nimesikiliza Hotuba ya mama huko Kenya naweza kusema.

Mama sio mzuri wa hoja nzito, ni mwepesi wa Ku Give In.

Anasema Wakenya waje Tanazania kuwekeza kwenye madini, Mkenya Gani anamtaji wa kuja kuwekeza kwenye Madini, Kama Mwekezaji mkubwa wa madini?

Mama anadanganywa na watu wake wa Karibu kwa udhaifu wake wa ndiyo ndiyo, Hivi ina maana mama hasomagi Takwimu za Dunia kuwa Tanzania kuna Mabilionea(USD Millionaires) wengi kuliko Kenya?

Mama anasema Tanzania ina ardhi Kubwa ana wakaribisha Wakenya, Je anajua uhaba wa Ardhi Kenya ni kwa sababu ya familia chache zenye nguvu kisiasa kuhodhi ardhi?
Mama anajua kuwa Wakenya zaidi ya asilimia 80 hawana ndoto wala hawataweza kabisa kujenga wala kumiliki Nyumba zao kipindi chote cha maisha yao?,

Mama anasahau hoja kuwa Tanzania ina watu wengi (Soko Kubwa), Huduma za Kijamii na mahitaji yote ya msingi kufanya biashara ni conducive Tanzania kuliko Kenya?

Mana anasahau au aliona aibu kusema mazingira mazuri yaliyopo kenya kwa wafanya biashara ni urahisi wao kutoa Rushwa kuliko Tanzania?

Mzee Mangula tunaomba Mlisisitize Bunge limchunge huyu Mama, na 2025 mfanye uchaguzi upya.
Wewe acha NGEBE zako!! Kuna box la maoni pale chamwino peleka maoni yako ikiwezekana apply ikulu ili upate kaz ya kua mshaur wake mkuu wa masuala ya uchumi. BTW acha hasira pindi unapoandika bandiko lako.
 
Sijui chochote kuhusu xenophobia.
.
Naomba unielimishe juu ya maswali yangu
Biashara lazima iwe Win Win.

for whatever value you give you must get something of the same value.

Sisi tunaweza kuwakaribisha Wachina, Waturuki, Wajapan waje kutujengea barabara kwa sababu tutapata barabara na tutapata ujuzi, sasa sisi tukiwaita watu waje kufanya kitu kwenye ardhi yetu ambacho sisi wenyewe tunaweza kufanya, inakuwa ujinga au utoto?
 
Nimesema Tanzania ina Mabilionea wengi kuliko Kenya (Dollar Millionaires wengi), Kwa nini hawa tusiwasisitize.

Unatakiwa uwe na mtaji wa zaidi ya TSH Billioni 500 ndio uhesabiwe wewe ni Mwekezaji mkubwa wa Madini
Mama anahimiza Wakenya waje wawekeze kwenye madini maana yuko kikazi huko Kenya, na alikuwa anaongea na wafanyabishara. Unataka ahimize hao matajiri hapa kwani nani kawazuia mpaka awahimize? Kwahiyo ulitaka awahimize matajiri wa Tanzania akiwa kwenye mkutano na wafanyabishara wa Kenya? Je kama matajiri wa Tanzania hawataki hiyo biashara huyo mama awashikie mtutu wa bunduki?
 
Nimesikiliza Hotuba ya mama huko Kenya naweza kusema.

Mama sio mzuri wa hoja nzito, ni mwepesi wa Ku Give In.

Anasema Wakenya waje Tanazania kuwekeza kwenye madini, Mkenya Gani anamtaji wa kuja kuwekeza kwenye Madini, Kama Mwekezaji mkubwa wa madini?

Mama anadanganywa na watu wake wa Karibu kwa udhaifu wake wa ndiyo ndiyo, Hivi ina maana mama hasomagi Takwimu za Dunia kuwa Tanzania kuna Mabilionea(USD Millionaires) wengi kuliko Kenya?

Mama anasema Tanzania ina ardhi Kubwa ana wakaribisha Wakenya, Je anajua uhaba wa Ardhi Kenya ni kwa sababu ya familia chache zenye nguvu kisiasa kuhodhi ardhi?
Mama anajua kuwa Wakenya zaidi ya asilimia 80 hawana ndoto wala hawataweza kabisa kujenga wala kumiliki Nyumba zao kipindi chote cha maisha yao?,

Mama anasahau hoja kuwa Tanzania ina watu wengi (Soko Kubwa), Huduma za Kijamii na mahitaji yote ya msingi kufanya biashara ni conducive Tanzania kuliko Kenya?

Mana anasahau au aliona aibu kusema mazingira mazuri yaliyopo kenya kwa wafanya biashara ni urahisi wao kutoa Rushwa kuliko Tanzania?

Mzee Mangula tunaomba Mlisisitize Bunge limchunge huyu Mama, na 2025 mfanye uchaguzi upya.
Wewe acha NGEBE zako!! Kuna box la maoni pale chamwino peleka maoni yako ikiwezekana apply ikulu ili upate kaz ya kua mshaur wake mkuu wa masuala ya uchumi. BTW acha hasira pindi unapoandika bandiko lako.
 
Wewe acha NGEBE zako!! Kuna box la maoni pale chamwino peleka maoni yako ikiwezekana apply ikulu ili upate kaz ya kua mshaur wake mkuu wa masuala ya uchumi. BTW acha hasira pindi unapoandika bandiko lako.
Haya
 
H
1. Moja Wakenya hawana uwezo kuliko Watanzania kuwekeza kwenye miradi mikubwa kuliko Tanzania, hoja ni takwimu za Dollar millionares ni Wengi Tanzania kuliko Kenya, Hawajaenda Kenya sababu Tanzania na SADC kuna Soko ni sehemu nzuri kuliko Kuelekea Juu ya Tanzania.

Hapa mama anawaita wakenya kuja kufanya kazi za umachinga na mama ntilie, anatujazia mizigo

Kuhusu Ardhi, Ardhi ndio msingi wa Uhuru na Kielelezo cha Taifa, Kama watu wachache wanamiliki Ardhi maana yake wanamiliki msingi wa uchumi wa Taifa, Sisi Ardhi yetu ni kwa ajili ya Watanzania Kwanza, Kwa nini utoe Ardhi yako kama bargain item?
Hayo bwana ni mawazo yaliyopitwa na wakati, ambapo Williamson alipofika kule Mwadui na kuwakuta babu zetu wakicheza bao kwa kutumia almasi...kama unashindwa kujua thamani ya ulichonacho,basi afadhali wengine waje wakionyeshwa na kukupa angalau faida ya kitu hicho na kusaidia kizazi chako na cha baadae... badala ya kuendelea kung'ang'ania kuogelea kwenye kundi la umaskini....
 
Mleta mada wewe ni mpuuzi usiyepaswa kusikilizwa! Nyie ni washamba mliompoteza Hayati Magufuli akajiona ana maarifa ya kuongoza Nchi kuliko watangulizi wake akiwemo hadi Mwl.Nyerere!
Mama anampoteza/anamfunika Magufuli asubuhi na mapema sababu ya kulewa sifa za wajinga wachache wasioona mbele! Watanzania sasa wamepata Rais anayejua Dunia inavyo operate.
Sisi " wasukuma" sasa tuache ushamba na kujimwambafy tutulie tuache watu wenye maarifa waongoze Tanzania.
Wivu na husuda kwa Mama Samia hakutatusaidia na chuki zetu.
"Wasukuma" tulipewa Nchi tukaongoza kwa jeuri,ukatili,majivuno na uchoyo! sasa tukae kimya na tujue itachukua miongo mingi sana kwa "_msukuma" mwingine kuongoza Tanzania, ukweli mchungu sana huo.
Hongera sana Mama Samia umeanza vizuri na uko juu sana!!!
Punguza hasira ndugu, jibu kwa hoja [emoji23][emoji23][emoji23]
 
tuchape kazi tuwe aggressive tutafute hela tuache kudeka na kudemka
Huwezi ukawa Aggresive bila kujiwazia

Nakumbusha tu

Trump Threatened Then-WTO Chief With U.S. Withdrawal​

Trump demanded that Roberto Azevedo, who was the WTO’s director-general, designate the U.S. a “developing nation” like China and India in order to get more favourable trading terms, Trump told Woodward in a Jan. 22 interview.
 
H

Hayo bwana ni mawazo yaliyopitwa na wakati, ambapo Williamson alipofika kule Mwadui na kuwakuta babu zetu wakicheza bao kwa kutumia almasi...kama unashindwa kujua thamani ya ulichonacho,basi afadhali wengine waje wakionyeshwa na kukupa angalau faida ya kitu hicho na kusaidia kizazi chako na cha baadae... badala ya kuendelea kung'ang'ania kuogelea kwenye kundi la umaskini....
Maendeleo lazima yawe jumuishi.

Sisi kitugani tutaenda kufata Kenya?

Almasi?
 
Back
Top Bottom