Rais Samia umeanza kutuangusha kabla ya siku 100 za uongozi wako

Rais Samia umeanza kutuangusha kabla ya siku 100 za uongozi wako

Mleta mada wewe ni mpuuzi usiyepaswa kusikilizwa! Nyie ni washamba mliompoteza Hayati Magufuli akajiona ana maarifa ya kuongoza Nchi kuliko watangulizi wake akiwemo hadi Mwl.Nyerere!
Mama anampoteza/anamfunika Magufuli asubuhi na mapema sababu ya kulewa sifa za wajinga wachache wasioona mbele! Watanzania sasa wamepata Rais anayejua Dunia inavyo operate.
Sisi " wasukuma" sasa tuache ushamba na kujimwambafy tutulie tuache watu wenye maarifa waongoze Tanzania.
Wivu na husuda kwa Mama Samia hakutatusaidia na chuki zetu.
"Wasukuma" tulipewa Nchi tukaongoza kwa jeuri,ukatili,majivuno na uchoyo! sasa tukae kimya na tujue itachukua miongo mingi sana kwa "_msukuma" mwingine kuongoza Tanzania, ukweli mchungu sana huo.
Hongera sana Mama Samia umeanza vizuri na uko juu sana!!!
Kwanza huyu mleta uzi hajawahi kufanya na hajui biashara yoyote,yeye ni bora liende

Ova
 
Yaani watu mna chuki kwa raisi kipenzi cha watu, kamfufue sasa mwendazake ili aje kuwadanganya na takwimu za uongo mara samaki wapo milion kadhaa, sijui dagaa bilion kadhaa hesabu za kiendawazimu kabisa hizi
 
Liwalo na liwe mama amerudisha furaha kwenye mioyo yetu ..Kama alivyosema Nyalandu!
Mengine baadaye!
Mkuu hilo ndilo la muhimu kuliko yote, watu walikuwa wakiishi kama wako jela tena jela yenyewe ya ugenini!!maisha gani hayo, hao wote ni MASALIA YA MEKO, bado hayaamini.yaani utadhania meko alikuwa maraika , mfano mzuri hiyo may mosi hajaongeza mshahara lakini kauli zake tu, na hayo aliyofanya watu wanaamani!!kuliko lile jamaa kila kitu kufokeana tu!!
 
Nimesikiliza Hotuba ya mama huko Kenya naweza kusema.

Mama sio mzuri wa hoja nzito, ni mwepesi wa Ku Give In.

Anasema Wakenya waje Tanazania kuwekeza kwenye madini, Mkenya Gani anamtaji wa kuja kuwekeza kwenye Madini, Kama Mwekezaji mkubwa wa madini?

Mama anadanganywa na watu wake wa Karibu kwa udhaifu wake wa ndiyo ndiyo, Hivi ina maana mama hasomagi Takwimu za Dunia kuwa Tanzania kuna Mabilionea(USD Millionaires) wengi kuliko Kenya?

Mama anasema Tanzania ina ardhi Kubwa ana wakaribisha Wakenya, Je anajua uhaba wa Ardhi Kenya ni kwa sababu ya familia chache zenye nguvu kisiasa kuhodhi ardhi?
Mama anajua kuwa Wakenya zaidi ya asilimia 80 hawana ndoto wala hawataweza kabisa kujenga wala kumiliki Nyumba zao kipindi chote cha maisha yao?,

Mama anasahau hoja kuwa Tanzania ina watu wengi (Soko Kubwa), Huduma za Kijamii na mahitaji yote ya msingi kufanya biashara ni conducive Tanzania kuliko Kenya?

Mana anasahau au aliona aibu kusema mazingira mazuri yaliyopo kenya kwa wafanya biashara ni urahisi wao kutoa Rushwa kuliko Tanzania?

Mzee Mangula tunaomba Mlisisitize Bunge limchunge huyu Mama, na 2025 mfanye uchaguzi upya.
Hilo la ardhi hapana labda wakenya waende kuwekeza Tanzania Zanzibar lakini siyo Tanzania Bara
 
Pumbavu kabisa wewe,unajua Furaha aliyotupa Mama na Mateso tuliyopitia kwa miaka 5?Una chuki Binafsi Mama anavyopambana kuleta Uwekezaji unaleta Makundi yako ya Kikabila hapa?Kafie mbele huko **nge wewe na Gang yenu,sisi tuko na Mama hamtuambii kitu.
 
Kwa hiyo ulitaka aseme wakenya wasije kuwekeza kwa kuwa hawana uwezo ?

Yani mimi nikikuambia karibu uje ununue magari kwangu kwa kuwa huna uwezo wa kununua gari utaona nimekosea sana kusema karibu ati kwa kuwa uwezo huna ?

Mama amesema yuko sahihi mlango kaufungua kwa mwenye uwezo atakuja kuwekeza,

Hapa unataka kusema kuwa mama amewakataza matajiri wa tanzania wasiwekeze kwenye madini kwa kuwa amesema kenya waje kuwekeza ?

Kama hujakusudia kusema hivyo naomba niambie umekusudia nini ?

Kwa maana wakenya wakija tanzania wasipate ardhi kwa sababu kuna familia chache kule kenya zimehodhi ardhi ?

Sasa hiyo 20% iliyobaki kama ndio ambayo inaweza kuja tanzania kunufaika na ardhi wasikaribishwe ?

Tuwanyime hawa 20% wanaoweza kwa sababu ya 80% wasiojiweza ?


Shida kubwa hujamwelewa mwandishi alichokikusudia,lkn unajaribu kumlisha maneno yasiyo yake,
 
Kwa hiyo wewe uko kwenye mifuko ya wakenya? Hayo mabenki yao yaliyojaa humu wewe ndio mtoa mitaji au?

Watu wa bwana yule mnahangaika na mtayeseka Sana kumbuka hapo ni hadi 2030 ,,aidha uhame nchi au uungane
 
Nimesema Tanzania ina Mabilionea wengi kuliko Kenya (Dollar Millionaires wengi), Kwa nini hawa tusiwasisitize.

Unatakiwa uwe na mtaji wa zaidi ya TSH Billioni 500 ndio uhesabiwe wewe ni Mwekezaji mkubwa wa Madini
Uwasisitize wao hawaoni? Jiwe aliwasisitiza wangapi?
 
Liwalo na liwe mama amerudisha furaha kwenye mioyo yetu ..Kama alivyosema Nyalandu!
Mengine baadaye!
hahahah......... hivi we jamaa mungu unasema hawezi kwa sababu kashindwa au kwa sababu kaamua kuwaacha muwe huru kufikiria
 
Nimesikiliza Hotuba ya mama huko Kenya naweza kusema.

Mama sio mzuri wa hoja nzito, ni mwepesi wa Ku Give In.

Anasema Wakenya waje Tanazania kuwekeza kwenye madini, Mkenya Gani anamtaji wa kuja kuwekeza kwenye Madini, Kama Mwekezaji mkubwa wa madini?

Mama anadanganywa na watu wake wa Karibu kwa udhaifu wake wa ndiyo ndiyo, Hivi ina maana mama hasomagi Takwimu za Dunia kuwa Tanzania kuna Mabilionea(USD Millionaires) wengi kuliko Kenya?

Mama anasema Tanzania ina ardhi Kubwa ana wakaribisha Wakenya, Je anajua uhaba wa Ardhi Kenya ni kwa sababu ya familia chache zenye nguvu kisiasa kuhodhi ardhi?
Mama anajua kuwa Wakenya zaidi ya asilimia 80 hawana ndoto wala hawataweza kabisa kujenga wala kumiliki Nyumba zao kipindi chote cha maisha yao?,

Mama anasahau hoja kuwa Tanzania ina watu wengi (Soko Kubwa), Huduma za Kijamii na mahitaji yote ya msingi kufanya biashara ni conducive Tanzania kuliko Kenya?

Mana anasahau au aliona aibu kusema mazingira mazuri yaliyopo kenya kwa wafanya biashara ni urahisi wao kutoa Rushwa kuliko Tanzania?

Mzee Mangula tunaomba Mlisisitize Bunge limchunge huyu Mama, na 2025 mfanye uchaguzi upya.

Tuna ardhi kubwa ambayo haisaidii nchi yetu! Hebu kaangalie kuna vichaka vingapi Tanzania!! Mawazo ya kimasikini😂
 
Nimesikiliza Hotuba ya mama huko Kenya naweza kusema.

Mama sio mzuri wa hoja nzito, ni mwepesi wa Ku Give In.

Anasema Wakenya waje Tanazania kuwekeza kwenye madini, Mkenya Gani anamtaji wa kuja kuwekeza kwenye Madini, Kama Mwekezaji mkubwa wa madini?

Mama anadanganywa na watu wake wa Karibu kwa udhaifu wake wa ndiyo ndiyo, Hivi ina maana mama hasomagi Takwimu za Dunia kuwa Tanzania kuna Mabilionea(USD Millionaires) wengi kuliko Kenya?

Mama anasema Tanzania ina ardhi Kubwa ana wakaribisha Wakenya, Je anajua uhaba wa Ardhi Kenya ni kwa sababu ya familia chache zenye nguvu kisiasa kuhodhi ardhi?
Mama anajua kuwa Wakenya zaidi ya asilimia 80 hawana ndoto wala hawataweza kabisa kujenga wala kumiliki Nyumba zao kipindi chote cha maisha yao?,

Mama anasahau hoja kuwa Tanzania ina watu wengi (Soko Kubwa), Huduma za Kijamii na mahitaji yote ya msingi kufanya biashara ni conducive Tanzania kuliko Kenya?

Mana anasahau au aliona aibu kusema mazingira mazuri yaliyopo kenya kwa wafanya biashara ni urahisi wao kutoa Rushwa kuliko Tanzania?

Mzee Mangula tunaomba Mlisisitize Bunge limchunge huyu Mama, na 2025 mfanye uchaguzi upya.
Ningekuunga mkono ila umejaa. Chuki
 
Back
Top Bottom