Aaronrweumbiza
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 577
- 711
Kunywa soda nakuja kulipa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... kudra = nasibu. Waswahili wanakuambia jitihada hazishindi kudra! Kudra ni jambo ambalo hutokea kwa nasibu (bahati) tu pasi na mhusika/wahusika kuweka jitihada zozote! Kwa mfano, ni kwa kudra tu Tanzania iliepushwa na kimbunga Jobo; hakuna lolote tulilofanya kikapita mbali ila ni kwa nasibu tu!Samahani, nini maana ya “ kudra”?
Shida pia wiki chache zilizopita alisema sasa hivi ni mapema sana kuzungumzia uraisi wa 2025.Mwache ajipigie chapuo. Ni rais mzuri .
... kwake kutangaza nia ya kugombea na kuwaomba wanawake wamchague ni muhimu kuliko suala la Katiba Mpya ambayo alisema isubiri asimamishe uchumi kwanza! Maajabu hayaishi nchi hii.Shida pia wiki chache zilizopita alisema sasa hivi ni mapema sana kuzungumzia uraisi wa 2025.
Pia hakuwa na sababu ya kufikiria Sana uraisi kwa Sasa ikiwa ana mengi ya kufanya kwa kuwa alisema anataka kusimamisha uchumi.
Anapaswa kujiamini, afanye kazi watu watamchagua tu
Hama uwezo wa kuwa Rais.Simple and clear.Kwenye hotuba zake amekuwa akijichanganya sana
Anajichanganya mno, alikataza wenzake waachane na mambo ya 2025 lakini yeye ameshajipitisha kuwa atagombea, anasema vigazeti vinamsemea lakini ukweli ni gazeti la chama chake mwenyewe liliandika habari hizi.Shida pia wiki chache zilizopita alisema sasa hivi ni mapema sana kuzungumzia uraisi wa 2025.
Pia hakuwa na sababu ya kufikiria Sana uraisi kwa Sasa ikiwa ana mengi ya kufanya kwa kuwa alisema anataka kusimamisha uchumi.
Anapaswa kujiamini, afanye kazi watu watamchagua tu
Well saidHama uwezo wa kuwa Rais.Simple and clear.
Huko mbele utaona watavyomwajibisha kwa kauli za kibaguzi na kuthibitisha kilichompata mtangulizi wake lakini akawaficha watanzania kwa mgongo wa taarifa ya daktari ambayo inawezekana ilipangwa.huyu anajua kilichokuwa kinaendelea juu ya magufuri kufariki
Bila Mungu kumchukua bosi wake asingefika hapo...Kuwa rais kwa kudra za mungu anamaanisha nini?
Shida kwa Hayati Magufuli kulikuwa na parallel government ambayo iliongozwa na kinana. Magufuli akawa anaipinga nakusema sipangiwi..Ingawa watu hawakuelewa sasa wanaelewa kiasi.Pia alijiamini sasa Samia naona anaona kama kuwa mwanamke basi anadharaulika..Inferiority complex.Aisee...
Shida za Magufuli, matatizo ya Magufuli naona ndiyo hayo hayo aneyarithi huyu mama...
Ni kauli si nzuri kabisa, yaani kifo cha bosi ni baraka kwake?Kuwa rais kwa kudra za mungu anamaanisha nini?