Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanateuliwa wenye shughuli zao ili kukwamisha wanayosimamia.Tangu Mjema ateuliwe kua mwenez wa CCM, mkoa hauna mkuu wa mkoa, badalayake RC Simiyu ana kaimu,hii ya kukaimu muda mrefu ina chelewesha mambo, mipango ya maendeleo na utekelezaj wake.
Teua mama, majembe yako mengi tu mtaani hayana kazi.
Sasa mkuu wa mkoa ana impact gani? Anaweza asiwepo miaka 5 na kazi zikaenda kama kawaidaTangu Mjema ateuliwe kua mwenez wa CCM, mkoa hauna mkuu wa mkoa, badalayake RC Simiyu ana kaimu,hii ya kukaimu muda mrefu ina chelewesha mambo, mipango ya maendeleo na utekelezaj wake.
Teua mama, majembe yako mengi tu mtaani hayana kazi.
Tangu Sophia Mjema ateuliwe kuwa Mwenezi wa CCM, mkoa hauna mkuu wa mkoa, badala yake RC Simiyu anakaimu. Hii ya Kukaimu muda mrefu inachelewesha mambo, mipango ya maendeleo na utekelezaj wake.
Teua mama, majembe yako mengi tu mtaani hayana kazi.
RC anatekeleza mpango gani wa maendeleo? yeye ndiyo anatoa fedha? Yeye ni DED/Diwani?Tangu Sophia Mjema ateuliwe kuwa Mwenezi wa CCM, mkoa hauna mkuu wa mkoa, badala yake RC Simiyu anakaimu. Hii ya Kukaimu muda mrefu inachelewesha mambo, mipango ya maendeleo na utekelezaj wake.
Teua mama, majembe yako mengi tu mtaani hayana kazi.
Unataka kusemaje vyeo vya rc vifutwe ama? inabidi katba ibadilike maana wanateuliwa kwa mujibu wa katba tuliyo nayo iv sasa.na kama mikoa mingine wapo bas na shy aletwe.RC anatekeleza mpango gani wa maendeleo? yeye ndiyo anatoa fedha? Yeye ni DED/Diwani?
Wiki hii haishi tulieniTangu Sophia Mjema ateuliwe kuwa Mwenezi wa CCM, mkoa hauna mkuu wa mkoa, badala yake RC Simiyu anakaimu. Hii ya Kukaimu muda mrefu inachelewesha mambo, mipango ya maendeleo na utekelezaj wake.
Teua mama, majembe yako mengi tu mtaani hayana kazi.
mimi binafs kazi ya mkuu wa mkoa/wilaya sioni wala siijui sababu watu wachini yao waalibu wanawaona bila kuwakemeaTangu Sophia Mjema ateuliwe kuwa Mwenezi wa CCM, mkoa hauna mkuu wa mkoa, badala yake RC Simiyu anakaimu. Hii ya Kukaimu muda mrefu inachelewesha mambo, mipango ya maendeleo na utekelezaj wake.
Teua mama, majembe yako mengi tu mtaani hayana kazi.