Rais Samia unadanganywa, DP World hajaleta tija yoyote kwenye Bandari ya Dar es Salaam

Nchi hii inaongozwa na vilaza!! Hili swala la kutoa magawio ni mapicha tuu! Enzi ya mwenda Magu alipokea cheki mifano huku nyuma tukiambiwa na mkaguzi mkuu wa Serikali kuwa mashirika yaleyale yameendeshwa kwa hasara!! Inq maana wanapotoa ni kufurahisha waTanzania na kuonyesha kuwa wametoa hela!!

Ndio maana hili Taifa limeishia kuwa na mkopo wa juu kupindukia!
Tuendelee kupiga mwingi
 
Unatenda kama robot
 
Nafikiri kumbuka kutofautisha,gawio na makusanyo jumla,ninavyo kumbuka gawio liliasisiwa kama sii kuhimizwa na Magu,ila kusanyo jumla ni malengo ya taasisi zile zinazozalisha,tofauti na zilezinazo jiendesha kwa ruzuku kutoka sirikaliniπŸ€”
 
CCM ndo ile ile ya kutumia mitutu na silaha za moto kuua na kutesa Ili kuiba kura so hakuna mabadiliko yoyote Yale utasha ngaa huyo mother anarudi tena 2025.
Sijui kama inawezekana Ntu kuuliza uwepo wa ndevu kwenye fuvu la kichwaπŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ€Έβ€β™‚οΈ
 
Nafikiri kumbuka kutofautisha,gawio na makusanyo jumla,ninavyo kumbuka gawio liliasisiwa kama sii kuhimizwa na Magu,ila kusanyo jumla ni malengo ya taasisi zile zinazozalisha,tofauti na zilezinazo jiendesha kwa ruzuku kutoka sirikalini[emoji848]

Unatetea ujinga kwa nguvu sana
 
Nenda kapande SGR, huenda akili ikakukaa sawa
binafsi sichochewi na mihemko bali ukweli mtupu....

na daima siwezi kuvumilia upotoshaji wa aina yoyote kwa viongozi, chama na serikali, hata kama ni dhaifu na wa uongo duni kama huu wako, na daima nita deal nao tu vizuri na kutoa wito kwa jamii wa kupuzwa kwa upotoshaji huo πŸ’
 
 
eti EUNICE amekua kama version mpya ya majoyce nini?πŸ’
Waliliwekea maspika na motor zile za kwenye feni, linainua mikono kama yale mavijiko ya kuchimbia barabara, kila part ya mwili ina rangi yake. Yaani wali replace yale makamba ya kwenye Joyce WOWOWO na hivyo vimota uchwara. Mdomo umeziba lakini linatoa sauti kupitia speaker zilizowekwa masikioni.
 
Good kwa kumbukumbu hizi wale machawa sasa waje tuwaumbue
Hi nchi Ina tatizo kubwa sana

Mapata yasiyo ya Kodi ni makubwa sana yanatosha kuendesha nchi

Lakini yamekaliwa na makada

Alafu raisi anashindwa kuwagusa kwa aibu anakimbilia nje kukopa
 
Magufuli naye hakuwa na jipya alikuwa anaenda kukopa kimya kimya kujenga sgr
 
Mkuu, huyo Jamaa ni mmojawapo wa wafoji vyeti na form4 feria
 
Etwege unamchukia sana Mama samia, Ila elewa sana Kila kiongozi ana watu wake
 
Kiongozi unaojibishana nao umewaacha mbali sana,.....unyumbu tu ndo unawafanya wajifanye hawaelewi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…