Rais Samia, unapoingia mkoani Mara fuatilia kuna chembechembe za watu kula kwa urefu wa kamba pale Musoma Airport

Rais Samia, unapoingia mkoani Mara fuatilia kuna chembechembe za watu kula kwa urefu wa kamba pale Musoma Airport

Na hawa anaowakata kila uchao si ndiyo hao unaosema amewaruhusu wale kwa urefu wa kamba?.

So kwa nini waliwe kichwa?, huko musoma kawala kichwa wengine tena wakae pembeni kwa kula urefu wa kamba.
Kawala kichwa kwa sababu wamevimbiwa🐒🐒🐒

Msimamo wa Samia anataka viongozi wajipimie bila ya kuvimbiwa.
 
Kawala kichwa kwa sababu wamevimbiwa🐒🐒🐒
Msimamo wa Samia anataka viongozi wajipimie bila ya kuvimbiwa.
Ni ngumu sana unaona mwenzako anakula, anasanza hata kwa kutupa ukoko nje alafu wewe ule huku unajipima!.
 
Tatizo ni lile lile kuchanganya taaluma na chama ndio maana tunakuwa na yote aya. Vyeo vya kisiasa ni adui kwa taifa
 
Back
Top Bottom