Rais Samia, unapotulalamikia sisi kuwa kinachokusanywa kama kodi kinaibiwa, je unataka sisi tufanyaje ? Wewe si ndio Rais

Rais Samia, unapotulalamikia sisi kuwa kinachokusanywa kama kodi kinaibiwa, je unataka sisi tufanyaje ? Wewe si ndio Rais

Nadhani kauli yake hiyo, inatuma ujumbe kwa wahusika wa kudhibiti wizi huo wa Kodi wafanye kazi. Nadhani ndilo lengo la ujumbe wake huo. Ulitaka afute mtu kazi hadharani wakati Yeye alishasema si Rais wa namna hiyo? Haki yake mpeni, Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan.
Kumbe UNADHANI, haya we endelea tu kudhani!!.
Hatuna Rahisi, tuna mfano wake tuu!
 
Sasa Rais akilalamika nani atawawajibisha wasiowajibika vema?
 
Kuna mambo yanasikitisha kwenye Taifa la TZ Na bila katiba mpya hatutotoboa.

Katiba ya mchongo imekupa power ya kufanya chochote yet unasimama mbele za watu na kutuambia kinachokusanywa kinaingia kwenye mifuko ya watu , wengine hawalipi kodi ; wewe kama Rais unalalamika, je wananchi wakusaidiaje ?

Tukusaidie majukumu yako?

Mshahara wa mil 100 na ushee kwa mwezi na perdiem ya 10 M with benefits unazokula, malipo yote hayo ni kwa ajili ya kutupa info au kuchukua action penye madhaifu?

I expected rais uje na action words , Nimefanya moja mbili tatu baada ya kubaini asilimia kubwa ya kinachokusanywa kinaingia mifukoni kwa watu . Badala yake Rais nae anageuka kuwa Millard Ayo , just info with no action.

Juzi nilimsikia Majaliwa nae akitoa info kuhusu maafisa waliopiga hela , just info with no action . Jamaa wanakula national keki kweli kweli but kazi yao kubwa wanayofanya haina tofauti na Millard ayo.

Utaona action zao pale watu wanapotaka kuandamana , Ila kulinda mali za nchi aaah !

2025 watanzania msizingue, MOST of CCM akiwemo yeye hawalipi kodi lakini wanawabana nyie mlipe. CCM wakitaka kutoa mizigo yao bandarini ni wanapiga simu tu tena hata watoto wa viongozi wa juu ikiwemo wanae ndio kabisa hawalipi kodi.

Pesa zote za kodi zinazolipwa na raia mnaenda nunua mashangingi, safari za nje za Rais zinakula billions of money , watu wanalipa kodi but ukiangalia miradi ya barabara hapo hapo Dar mjini tangu 2020 haijawahi kukamilika.vikilomita vichache tu vinachukua miaka 4 na hakuna anaefuatilia utekelezaji, kuna ufisadi mkubwa sana sana kwenye ujenzi wa hizo barabara za mwendokasi zinazojengwa mji mzima na zisizokamilika mwaka wa 4 sasa.

TAKUKURU ni kama pambio kwenye nchi , muafrica wa Africa hajawahi kuwa mtu makini. For as long as matumbo yao na familia zao wanakula benefit zote and thinking they are better than others, kwao inatosha.

Black people have no legecy, kazi yao kubwa ni kuiba fedha, kuoa wanawake wengi, na kufanya shopping za nje . That is all they have. Shame

#Katibampya # mandatory #CCM Out #UkomboziwaTaifa #2025#Samia hana uwezo wa Usimamizi wa mali za nchi, # Maamuzi ni 2025. # Taifa limeyumba na kupoteza dira
Rais analalamika tena dah
 
Kuna mambo yanasikitisha kwenye Taifa la TZ Na bila katiba mpya hatutotoboa.

Katiba ya mchongo imekupa power ya kufanya chochote yet unasimama mbele za watu na kutuambia kinachokusanywa kinaingia kwenye mifuko ya watu , wengine hawalipi kodi ; wewe kama Rais unalalamika, je wananchi wakusaidiaje ?

Tukusaidie majukumu yako?

Mshahara wa mil 100 na ushee kwa mwezi na perdiem ya 10 M with benefits unazokula, malipo yote hayo ni kwa ajili ya kutupa info au kuchukua action penye madhaifu?

I expected rais uje na action words , Nimefanya moja mbili tatu baada ya kubaini asilimia kubwa ya kinachokusanywa kinaingia mifukoni kwa watu . Badala yake Rais nae anageuka kuwa Millard Ayo , just info with no action.

Juzi nilimsikia Majaliwa nae akitoa info kuhusu maafisa waliopiga hela , just info with no action . Jamaa wanakula national keki kweli kweli but kazi yao kubwa wanayofanya haina tofauti na Millard ayo.

Utaona action zao pale watu wanapotaka kuandamana , Ila kulinda mali za nchi aaah !

2025 watanzania msizingue, MOST of CCM akiwemo yeye hawalipi kodi lakini wanawabana nyie mlipe. CCM wakitaka kutoa mizigo yao bandarini ni wanapiga simu tu tena hata watoto wa viongozi wa juu ikiwemo wanae ndio kabisa hawalipi kodi.

Pesa zote za kodi zinazolipwa na raia mnaenda nunua mashangingi, safari za nje za Rais zinakula billions of money , watu wanalipa kodi but ukiangalia miradi ya barabara hapo hapo Dar mjini tangu 2020 haijawahi kukamilika.vikilomita vichache tu vinachukua miaka 4 na hakuna anaefuatilia utekelezaji, kuna ufisadi mkubwa sana sana kwenye ujenzi wa hizo barabara za mwendokasi zinazojengwa mji mzima na zisizokamilika mwaka wa 4 sasa.

TAKUKURU ni kama pambio kwenye nchi , muafrica wa Africa hajawahi kuwa mtu makini. For as long as matumbo yao na familia zao wanakula benefit zote and thinking they are better than others, kwao inatosha.

Black people have no legecy, kazi yao kubwa ni kuiba fedha, kuoa wanawake wengi, na kufanya shopping za nje . That is all they have. Shame

#Katibampya # mandatory #CCM Out #UkomboziwaTaifa #2025#Samia hana uwezo wa Usimamizi wa mali za nchi, # Maamuzi ni 2025. # Taifa limeyumba na kupoteza dira
Anaupiga mwingi
 
Kuna mambo yanasikitisha kwenye Taifa la TZ Na bila katiba mpya hatutotoboa.

Katiba ya mchongo imekupa power ya kufanya chochote yet unasimama mbele za watu na kutuambia kinachokusanywa kinaingia kwenye mifuko ya watu , wengine hawalipi kodi ; wewe kama Rais unalalamika, je wananchi wakusaidiaje ?

Tukusaidie majukumu yako?

Mshahara wa mil 100 na ushee kwa mwezi na perdiem ya 10 M with benefits unazokula, malipo yote hayo ni kwa ajili ya kutupa info au kuchukua action penye madhaifu?

I expected rais uje na action words , Nimefanya moja mbili tatu baada ya kubaini asilimia kubwa ya kinachokusanywa kinaingia mifukoni kwa watu . Badala yake Rais nae anageuka kuwa Millard Ayo , just info with no action.

Juzi nilimsikia Majaliwa nae akitoa info kuhusu maafisa waliopiga hela , just info with no action . Jamaa wanakula national keki kweli kweli but kazi yao kubwa wanayofanya haina tofauti na Millard ayo.

Utaona action zao pale watu wanapotaka kuandamana , Ila kulinda mali za nchi aaah !

2025 watanzania msizingue, MOST of CCM akiwemo yeye hawalipi kodi lakini wanawabana nyie mlipe. CCM wakitaka kutoa mizigo yao bandarini ni wanapiga simu tu tena hata watoto wa viongozi wa juu ikiwemo wanae ndio kabisa hawalipi kodi.

Pesa zote za kodi zinazolipwa na raia mnaenda nunua mashangingi, safari za nje za Rais zinakula billions of money , watu wanalipa kodi but ukiangalia miradi ya barabara hapo hapo Dar mjini tangu 2020 haijawahi kukamilika.vikilomita vichache tu vinachukua miaka 4 na hakuna anaefuatilia utekelezaji, kuna ufisadi mkubwa sana sana kwenye ujenzi wa hizo barabara za mwendokasi zinazojengwa mji mzima na zisizokamilika mwaka wa 4 sasa.

TAKUKURU ni kama pambio kwenye nchi , muafrica wa Africa hajawahi kuwa mtu makini. For as long as matumbo yao na familia zao wanakula benefit zote and thinking they are better than others, kwao inatosha.

Black people have no legecy, kazi yao kubwa ni kuiba fedha, kuoa wanawake wengi, na kufanya shopping za nje . That is all they have. Shame

#Katibampya # mandatory #CCM Out #UkomboziwaTaifa #2025#Samia hana uwezo wa Usimamizi wa mali za nchi, # Maamuzi ni 2025. # Taifa limeyumba na kupoteza dira
Anayependa watu walipwe Kodi Alisha nyosha mambo, akaja mwingine akasema hataki Kodi za maguvu, sasa wanalia nini tena
 
Kuna mambo yanasikitisha kwenye Taifa la TZ Na bila katiba mpya hatutotoboa.

Katiba ya mchongo imekupa power ya kufanya chochote yet unasimama mbele za watu na kutuambia kinachokusanywa kinaingia kwenye mifuko ya watu , wengine hawalipi kodi ; wewe kama Rais unalalamika, je wananchi wakusaidiaje ?

Tukusaidie majukumu yako?

Mshahara wa mil 100 na ushee kwa mwezi na perdiem ya 10 M with benefits unazokula, malipo yote hayo ni kwa ajili ya kutupa info au kuchukua action penye madhaifu?

I expected rais uje na action words , Nimefanya moja mbili tatu baada ya kubaini asilimia kubwa ya kinachokusanywa kinaingia mifukoni kwa watu . Badala yake Rais nae anageuka kuwa Millard Ayo , just info with no action.

Juzi nilimsikia Majaliwa nae akitoa info kuhusu maafisa waliopiga hela , just info with no action . Jamaa wanakula national keki kweli kweli but kazi yao kubwa wanayofanya haina tofauti na Millard ayo.

Utaona action zao pale watu wanapotaka kuandamana , Ila kulinda mali za nchi aaah !

2025 watanzania msizingue, MOST of CCM akiwemo yeye hawalipi kodi lakini wanawabana nyie mlipe. CCM wakitaka kutoa mizigo yao bandarini ni wanapiga simu tu tena hata watoto wa viongozi wa juu ikiwemo wanae ndio kabisa hawalipi kodi.

Pesa zote za kodi zinazolipwa na raia mnaenda nunua mashangingi, safari za nje za Rais zinakula billions of money , watu wanalipa kodi but ukiangalia miradi ya barabara hapo hapo Dar mjini tangu 2020 haijawahi kukamilika.vikilomita vichache tu vinachukua miaka 4 na hakuna anaefuatilia utekelezaji, kuna ufisadi mkubwa sana sana kwenye ujenzi wa hizo barabara za mwendokasi zinazojengwa mji mzima na zisizokamilika mwaka wa 4 sasa.

TAKUKURU ni kama pambio kwenye nchi , muafrica wa Africa hajawahi kuwa mtu makini. For as long as matumbo yao na familia zao wanakula benefit zote and thinking they are better than others, kwao inatosha.

Black people have no legecy, kazi yao kubwa ni kuiba fedha, kuoa wanawake wengi, na kufanya shopping za nje . That is all they have. Shame

#Katibampya # mandatory #CCM Out #UkomboziwaTaifa #2025#Samia hana uwezo wa Usimamizi wa mali za nchi, # Maamuzi ni 2025. # Taifa limeyumba na kupoteza dira
Wanatuchosha tu na hizo kauli. Kama Raisi wa Nchi alipaswa kuwa tayari na orodha ya wahusika wa kuzitafuna hizo pesa then ndiyo atuletee kauli hiyo na hatua zuiizochukuliwa dhidi ya wahusika. Ni udhaifu mkubwa sana kwake kukiri jambo la namna hii bila soni

By the way ni kwamba Wanajuana na wanalindana. Wacha mie nikakande ngano yangu ya kesho.
 
Nadhani kauli yake hiyo, inatuma ujumbe kwa wahusika wa kudhibiti wizi huo wa Kodi wafanye kazi. Nadhani ndilo lengo la ujumbe wake huo. Ulitaka afute mtu kazi hadharani wakati Yeye alishasema si Rais wa namna hiyo? Haki yake mpeni, Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan.
Nyie vilaza mnamchango mdogo sana kwa taifa hili
 
Kuna mambo yanasikitisha kwenye Taifa la TZ Na bila katiba mpya hatutotoboa.

Katiba ya mchongo imekupa power ya kufanya chochote yet unasimama mbele za watu na kutuambia kinachokusanywa kinaingia kwenye mifuko ya watu , wengine hawalipi kodi ; wewe kama Rais unalalamika, je wananchi wakusaidiaje ?

Tukusaidie majukumu yako?

Mshahara wa mil 100 na ushee kwa mwezi na perdiem ya 10 M with benefits unazokula, malipo yote hayo ni kwa ajili ya kutupa info au kuchukua action penye madhaifu?

I expected rais uje na action words , Nimefanya moja mbili tatu baada ya kubaini asilimia kubwa ya kinachokusanywa kinaingia mifukoni kwa watu . Badala yake Rais nae anageuka kuwa Millard Ayo , just info with no action.

Juzi nilimsikia Majaliwa nae akitoa info kuhusu maafisa waliopiga hela , just info with no action . Jamaa wanakula national keki kweli kweli but kazi yao kubwa wanayofanya haina tofauti na Millard ayo.

Utaona action zao pale watu wanapotaka kuandamana , Ila kulinda mali za nchi aaah !

2025 watanzania msizingue, MOST of CCM akiwemo yeye hawalipi kodi lakini wanawabana nyie mlipe. CCM wakitaka kutoa mizigo yao bandarini ni wanapiga simu tu tena hata watoto wa viongozi wa juu ikiwemo wanae ndio kabisa hawalipi kodi.

Pesa zote za kodi zinazolipwa na raia mnaenda nunua mashangingi, safari za nje za Rais zinakula billions of money , watu wanalipa kodi but ukiangalia miradi ya barabara hapo hapo Dar mjini tangu 2020 haijawahi kukamilika.vikilomita vichache tu vinachukua miaka 4 na hakuna anaefuatilia utekelezaji, kuna ufisadi mkubwa sana sana kwenye ujenzi wa hizo barabara za mwendokasi zinazojengwa mji mzima na zisizokamilika mwaka wa 4 sasa.

TAKUKURU ni kama pambio kwenye nchi , muafrica wa Africa hajawahi kuwa mtu makini. For as long as matumbo yao na familia zao wanakula benefit zote and thinking they are better than others, kwao inatosha.

Black people have no legecy, kazi yao kubwa ni kuiba fedha, kuoa wanawake wengi, na kufanya shopping za nje . That is all they have. Shame

#Katibampya # mandatory #CCM Out #UkomboziwaTaifa #2025#Samia hana uwezo wa Usimamizi wa mali za nchi, # Maamuzi ni 2025. # Taifa limeyumba na kupoteza dira
Hatuna Rais lzm tukubali hilo.
 
Kuna mambo yanasikitisha kwenye Taifa la TZ Na bila katiba mpya hatutotoboa.

Katiba ya mchongo imekupa power ya kufanya chochote yet unasimama mbele za watu na kutuambia kinachokusanywa kinaingia kwenye mifuko ya watu , wengine hawalipi kodi ; wewe kama Rais unalalamika, je wananchi wakusaidiaje ?

Tukusaidie majukumu yako?

Mshahara wa mil 100 na ushee kwa mwezi na perdiem ya 10 M with benefits unazokula, malipo yote hayo ni kwa ajili ya kutupa info au kuchukua action penye madhaifu?

I expected rais uje na action words , Nimefanya moja mbili tatu baada ya kubaini asilimia kubwa ya kinachokusanywa kinaingia mifukoni kwa watu . Badala yake Rais nae anageuka kuwa Millard Ayo , just info with no action.

Juzi nilimsikia Majaliwa nae akitoa info kuhusu maafisa waliopiga hela , just info with no action . Jamaa wanakula national keki kweli kweli but kazi yao kubwa wanayofanya haina tofauti na Millard ayo.

Utaona action zao pale watu wanapotaka kuandamana , Ila kulinda mali za nchi aaah !

2025 watanzania msizingue, MOST of CCM akiwemo yeye hawalipi kodi lakini wanawabana nyie mlipe. CCM wakitaka kutoa mizigo yao bandarini ni wanapiga simu tu tena hata watoto wa viongozi wa juu ikiwemo wanae ndio kabisa hawalipi kodi.

Pesa zote za kodi zinazolipwa na raia mnaenda nunua mashangingi, safari za nje za Rais zinakula billions of money , watu wanalipa kodi but ukiangalia miradi ya barabara hapo hapo Dar mjini tangu 2020 haijawahi kukamilika.vikilomita vichache tu vinachukua miaka 4 na hakuna anaefuatilia utekelezaji, kuna ufisadi mkubwa sana sana kwenye ujenzi wa hizo barabara za mwendokasi zinazojengwa mji mzima na zisizokamilika mwaka wa 4 sasa.

TAKUKURU ni kama pambio kwenye nchi , muafrica wa Africa hajawahi kuwa mtu makini. For as long as matumbo yao na familia zao wanakula benefit zote and thinking they are better than others, kwao inatosha.

Black people have no legecy, kazi yao kubwa ni kuiba fedha, kuoa wanawake wengi, na kufanya shopping za nje . That is all they have. Shame

#Katibampya # mandatory #CCM Out #UkomboziwaTaifa #2025#Samia hana uwezo wa Usimamizi wa mali za nchi, # Maamuzi ni 2025. # Taifa limeyumba na kupoteza dira
Wee jiulize waziri mkuu kila ofisi anayeenda kukagua innuozo na hakuna hatua inayo chukuliwa na anaishia kulalamikatuu
 
Back
Top Bottom