Kuna baadhi ya nchi za kiarabu tena zenye nguvu ya pesa ambazo ziko kimya kabisa kwenye huu mzozo WA Israel na Palestine ,tena zingine zinataka kufanya Aman na israel afu Sisi Tujitie kimbelembele WAla tusijaribu,WAla tusiwaze tena tujiepushe mbali kabisa na huu mzozo