Ndo hivyo imemkaa akilini kwamba lolote analofanya anakosea kwasababu tu ya uanamke wake..
Watu kama hawa inakuwa hawajawahi kuona lolote la maana kutoka kwa mwanamke wa karibu nae kuanzia mama yake hata ndugu zake wengine.
Acha uboya wewe. Huu uchawa wa aina yako ndo unawakimbiza wazalendo kama sie kusapoti upinzani.Mengine yapi? Mfano mwingine ni Rais gani aliyenunua CT scans Hospital za Mikoa yote Tanzania,MRI Hospital zote za Kanda Tanzania Toka ipate uhuru?
Kidumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo!Mimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?
Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.
Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Tanzania bado sana.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Ondoa neno "dr" hapoMimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?
Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.
Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Tanzania bado sana.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Wewe tunakujua ni chawa, bora kukaa kimyaHakuna hata mmja anaweza kufikia Samia Kwa utekelezaji Kwa lolote.
Sana sana wengi wao walituharibia maisha.
Unaona Sasa imeshaanza kutukana hovyo,huna hoja.Acha uboya wewe. Huu uchawa wa aina yako ndo unawakimbiza wazalendo kama sie kusapoti upinzani.
Wewe hama. Nenda CHAUMA kwa Mzee Hashim Rungwe au Chadema kwa Lissu. Sisi CCM tunaenda na Mama Samia!!Mimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?
Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.
Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Tanzania bado sana.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Hata muungane hamuwezi shidana na Mimi Kwa takwimu na data.Wewe tunakujua ni chawa, bora kukaa kimya
Huna hoja wewe nyumbuWewe tunakujua ni chawa, bora kukaa kimya
Wanaume na wanawake wenye akili kwa Pamoja hatutaki kuongozwa na mwanamkeWewe ni mpumbavu sana. Ningekuunga mkono kama ungetaja mapungufu ya mama samia ambayo yapo wazi lakini si kumpinga kwasababu ya uanamke wake. Punguani mkubwa wewe...
Hilo linawezekana tu kwenye mifumo ya kubebana. Sidhani kama wanaccm wangempigia kura kama angekuwa anashindana na wenzake!"Wakati niko shule mtoto wa rais awamu ya kwanza Wasira tayari alikuwa mkuu wa mkoa, nikamaliza shule nikaenda Kagera kupigana vita nilivyorudi nikamkuta Wasira yupo, akamuaga Nyerere wakati anastaafu baada ya miaka 24 Wasira bado yupo, Ikaja awamu ya pili ya Mzee Mwinyi, Wasira bado yupo, Mwinyi akamaliza awamu yake ya miaka 10 Wasira yupo, Ikaja wamu ya tatu miaka 10 ya Mkapa, Wasira bado yupo, Mkapa akastaafu Wasira akamuaga yeye bado yupo, ikafika awamu ya Kikwete miaka 10, Wasira bado yupo, baada ya kikwete ikafika awamu ya 5 miaka 5 na robo, Wasira bado yupo, Ikafika wamu hii ya sasa Wasira bado yupo....
Kuwa mwanamke tu inatosha kukosa sifa ya kukalia kiti kikubwa.Wewe ni mpumbavu sana. Ningekuunga mkono kama ungetaja mapungufu ya mama samia ambayo yapo wazi lakini si kumpinga kwasababu ya uanamke wake. Punguani mkubwa wewe...
Hata wapumbavu Huwa wanaojiita Wazalendo na ndio maana mnakimbia facts.Acha uboya wewe. Huu uchawa wa aina yako ndo unawakimbiza wazalendo kama sie kusapoti upinzani.
Hizi Kauli ndio zitawaponzaKuwa mwanamke tu inatosha kukosa sifa ya kukalia kiti kikubwa.
Chawa hata kama ungeleta data za ikulu nani utamwambia akuelewe... Chawa!!!Hata muungane hamuwezi shidana na Mimi Kwa takwimu na data.
Narudia hakuna Rais wa kumshinda Samia kwenye delivery Kwa chochote ikiwemo Ajira ambazo yule mtu wenu alishindwa.,Hakuna.
Wenye akili wanaelewa ila mapunguani mlioshikiwa akili na ambao mnadhani mkiwa na mboro ndio kuleta maendeleo hamtaelewa.Chawa hata kama ungeleta data za ikulu nani utamwambia akuelewe... Chawa!!!
Ebu jielekeze vizuri. Jinsia ya Rais kama kiongozi mwingine haimfanyi wala kumuongozea sifa za kuwa kiongozi bora!Mimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?
Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.
Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Tanzania bado sana.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Demi , wanawake mnafanya mengi tu ya maana.Ndo hivyo imemkaa akilini kwamba lolote analofanya anakosea kwasababu tu ya uanamke wake..
Watu kama hawa inakuwa hawajawahi kuona lolote la maana kutoka kwa mwanamke wa karibu nae kuanzia mama yake hata ndugu zake wengine.