Rais Samia unatupa wakati mgumu wanachama wa CCM

wewe unaishi dunia ipi? nani alikwambia kuwa kwa hii dunia ya sasa kuna hayo mawazo?
 
Ni mbaya sana kuwa na ubaguzi wa kijinsia.
Ingetosha tu kuandika kuwa hana uwezo, ungeeleweka vyema sana badala ya kuweka unafiki wa KiCCM.
 
Utafika mwisho kabla ya mwisho wa hiyo CCM
CCM labda muuwe na muibe kura sivyo hamtoboi 2025 huo ndo ukweli. Kwanza mpaka hapo ushamtoshia maisha huyu jamaa et "utafika mwisho kabla ya mwisho wa CCM" akili huna
 
Una matatizo mahali. Hao wanaume waliopita wamefanya maajabu gani kuliko huyu mama?
 
binafsi nawapongeza ccm kwa kumteua samia agombee akapambane na wapinzani ili anguko la ccm litokee, huwezi kuyazuia mafuriko yawezekana ndo hatima ya ccm kushika dola
 
Chama Cha fomu moja...
 
Wewe ni mshenzi tu, kwahiyo kwakuwa anavaa ushungi/muislam ndio hafai, je angekuwa anavaa kimini na kuweka nyele za marehemu kichwani kwake ungekenua tu sio
Hoja sio mavazi. Hoja ni nature tu kwamba waafrika tumekuzwa ktk mfumo dume. Kuongozwa na ke haileti hamasa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…