ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Porojo za kujifariji.CCM haiendi kuuza ngonjera Bali kuonesha kazi kama hizi π πCCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu ,pigo lililonyooka, pigo takatifu
Bado haiwezi kuondoa madhaifu ya mwanamke.Una matatizo mahali. Hao wanaume waliopita wamefanya maajabu gani kuliko huyu mama?
Basi hao wanaume waliopita wana umana ndani yao maana waliboronga kwa mengi tuBado haiwezi kuondoa madhaifu ya mwanamke.
Ni wadhaifu hasa katika kufanya maamuzi magumu. Kama nafasi aliyopo huyo mama.
Hakuna Cha chama ni punguani tuu wachache.Sidhani kama hoja ya jinsia ina mashiko, labda kama shida ipo ndani ya chama au mifumo ya nchi, tunaweza kujadili.
Yapi hayo?Bado haiwezi kuondoa madhaifu ya mwanamke.
Ni wadhaifu hasa katika kufanya maamuzi magumu. Kama nafasi aliyopo huyo mama.
Dawa itawaingia polepole πππMimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?
Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.
Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Tanzania bado sana.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Una kijiwe cha nini wewe?Ulaya karibu mataifa yote makubwa pale yanaongozwa na Wanawake analeta upumbavu wake.
Kuna mahala mwanamke amewahi shindwa Kuongoza au aseme hapa wenye masuruali wamemzidi nini Samia?
Mbona Mimi kijiweni kwangu wapo watu wengi tena wanaume wanamkubali Samia vizuri Sana Kutokana na delivery yake.
Cha kahawaUna kijiwe cha nini wewe?
Sisi ccm sio vichaa hatuwezi ruhusu mwanamke apigiwe kura dhidi ya mwanamme !!!labda kama tumeamua nchi iende upinzani!Mimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?
Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.
Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Tanzania bado sana.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Kama ni hivyo sishangai.Cha kahawa
Na akisimama na kichaa Lissu ataomba mma! Lisu na Trump akili zao wanazijua wenyewe...na huyo kishoia alompendekeza kwenye umakamu ni bora angebaki tu mpango na ngonjera zake za mabadiliko ya tabia nchi.Mimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?
Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.
Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Tanzania bado sana.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Mama D mambo gani tena , nakubaliana na wewe kipindi cha embryology, mwazo kabisa huwezi tofautisha maumbile, ila kadri mda unavyoenda ,maumbile yanatofautiana na badae kupata mtoto wa kike au wa kiume, mambo ya uumbaji.
Hoja ya mleta mada ni kwamba sasa wewe mwanamke je jamii yote ipo tiyari kukupa kura kwa uongozi, unaleta mambo magum ya kisayansi kwenye mambo ya siasa .
Iyo shule ya embryology yenyewe ni balaa tupu unaweza isoma miaka 3 na bado isikae leo ndo unaleta apa.
Alafu mama D wewe kwa nini katika siasa kila upande ukiungaga mkono mambo huaribika?
Mwenda zake - kiko wapi
FAM - kikowapi .
Wewe ulitaka ushangae nini? Na juzi tuu hapo tena Mataifa 2 zaidi ya Ulaya yamechagua kina Mama bila kusahau Namibia.Kama ni hivyo sishangai.
Hoja zako zinahusinaje na mwanamke mbona kama hueleweki?Siwezi mpigia kura mwanamke, labda mfumo wa uendeshaji wa nchi ubadilike. Hii nchi ambayo Rais hawezi kushtakiwa alafu nimpigie kura Samia? Sitaweza na mwambieni kabisa kanda ya ziwa asiihesabie.
Sijakutishia nimekueleza ukweliCCM labda muuwe na muibe kura sivyo hamtoboi 2025 huo ndo ukweli. Kwanza mpaka hapo ushamtoshia maisha huyu jamaa et "utafika mwisho kabla ya mwisho wa CCM" akili huna