Rais Samia upole ukizidi watataka wakae juu ya mabega yako, kuwa mkali kidogo.

Rais Samia upole ukizidi watataka wakae juu ya mabega yako, kuwa mkali kidogo.

Mkuu unasema Magufuli alifanikiwa kuzuia fake news?
Pengine kipindi cha Magufuli ndio fake news zilishamiri na watu wakawa wanaziamini zaidi kuliko kipindi cha Samia
Alikuwa akikamata watu lakini haikufua dafu, kule Twitter kulikuwa na utitiri wa akaunti zilizokuwa zikisambaza uwongo kipindi cha JPM na ndio hadi Kigogo akapata umaarufu sana

Youtube alijaribu kuidhibiti lakini wapi, account zisizosajiliwa zilikuwepo na kupost tu habari fake

Samia aje na mkakati wake tu, ila kuiga ya JPM ataonekana vibaya zaidi,

[emoji16] mambo ya faida ATC kuvunja record, Burigi ikazipiku Mikumi na Serengeti, tukaingia uchumi wa kati mambo ni kweli tulidanganywa leo ukweli umejitenga.
Nakumbuka TWAWEZA walikuja na research yao [emoji16] bwana yule hana ushawishi kilichomkuta mkuruzenzi sijui kama passport alirudishiwa. [emoji16] awamu ya 5 acha tu nijinywee bia zangu hapa grocery
 
Ngoja tuone... Hakuna siasa zilizo rahisi...
 
Rais samia sio mpole kama Kikwete au Mwinyi

Huyu Ligi anaziweza na ameziishi…ila ukijishusha kinafki mambo yako yatakunyookea sana

Kwa waliowahi kufanya kazi chini ya Maboss lady watakuwa wamenielewa
Ligi anaziweza na ana ile nongwa ya kike. Alimshikia bango Ndugai mpaka mgogo akaamua kujiuzulu.
 
Mkuu unasema Magufuli alifanikiwa kuzuia fake news?
Pengine kipindi cha Magufuli ndio fake news zilishamiri na watu wakawa wanaziamini zaidi kuliko kipindi cha Samia
Alikuwa akikamata watu lakini haikufua dafu, kule Twitter kulikuwa na utitiri wa akaunti zilizokuwa zikisambaza uwongo kipindi cha JPM na ndio hadi Kigogo akapata umaarufu sana

Youtube alijaribu kuidhibiti lakini wapi, account zisizosajiliwa zilikuwepo na kupost tu habari fake

Samia aje na mkakati wake tu, ila kuiga ya JPM ataonekana vibaya zaidi,
Kigogo ni mtu wa awamu ya sasa ndio maana akawa anaupiga vijembe utawala wa JPM. Fitina za kisiasa zilimtengeneza kigogo.

SSH apige kazi kwani kigogo yupo upande wake so far.
 
Kigogo ni mtu wa awamu ya sasa ndio maana akawa anaupiga vijembe utawala wa JPM. Fitina za kisiasa zilimtengeneza kigogo.

SSH apige kazi kwani kigogo yupo upande wake so far.
Pointi yangu ni kuwa fake news hazidhibitiki, hata kwa force

Njia ya kusaidia kiasi ni kuelimisha wananchi wazijue kuwa wakiona habari flani kabla ya kuiamini wakaithibitishe kwenye vyanzo vingine ambavyo vinaaminika au mamlaka kutoa habari mbadala ya kweli inapobidi

Serikali inayoendeshwa kwa propaganda na usiri ndio hufanya fake news kuaminika na mainstream media kama Magazeti na Tv hudharaulika kama vyombo vya propaganda za serikalini

Hii ndio ilijitokeza kipindi cha JPM na kufanya akina Mange na Kigogo kupata umaarufu sana
 
Hapana sio watu wote ! Bali ni hawa waliomo humu kwenye mitandao ambao nadhani hawafiki hata asilimia tano ya watanzania wote !! Lakini wanabeba mawazo ya watanzania wengi sana !! Maana hata kwenye tafiti nyingi za kupata mawazo ya watu huwa wanaulizwa watu wasiozidi 2000 nchi nzima !! Watu wa kutoka kada mbali mbali ili kupata jumla ya maoni ya watu wote !!
Bongo kila mtu ni mtaalam,mchambuzi na Mshauri
 
Pointi yangu ni kuwa fake news hazidhibitiki, hata kwa force

Njia ya kusaidia kiasi ni kuelimisha wananchi wazijue kuwa wakiona habari flani kabla ya kuiamini wakaithibitishe kwenye vyanzo vingine ambavyo vinaaminika au mamlaka kutoa habari mbadala ya kweli inapobidi

Serikali inayoendeshwa kwa propaganda na usiri ndio hufanya fake news kuaminika na mainstream media kama Magazeti na Tv hudharaulika kama vyombo vya propaganda za serikalini

Hii ndio ilijitokeza kipindi cha JPM na kufanya akina Mange na Kigogo kupata umaarufu sana
Watawaelimishaje wananchi ili wajue kuwa baadhi ya habari huwa ni fake news ilhali wao huwa ni wanufaika wakubwa wa hizo fake news hasa wanapotaka kumshambulia mpinzani wao wanapomuona kuwa hoja zake anazozitoa zina mashiko ?! Utawasikia kwa mfano wanamtangaza kwa nguvu zote mpinzani wao kwamba Fulani ni shoga ilhali wanajua fika kwamba hizo ni fake news !! Watu wanaojiona wananufaika na fake news hawana uwezo wa kuzizuia !!
 
Watawaelimishaje wananchi ili wajue kuwa baadhi ya habari huwa ni fake news ilhali wao huwa ni wanufaika wakubwa wa hizo fake news hasa wanapotaka kumshambulia mpinzani wao wanapomuona kuwa hoja zake anazozitoa zina mashiko ?! Utawasikia kwa mfano wanamtangaza kwa nguvu zote mpinzani wao kwamba Fulani ni shoga ilhali wanajua fika kwamba hizo ni fake news !! Watu wanaojiona wananufaika na fake news hawana uwezo wa kuzizuia !!
Kama Magufuli na Musiba, Maalim Seif na Zitto walitolewa kwenye gazeti wakiwa wakiwa kitandani
Hii nchi tulipita pagumu sana
 
Back
Top Bottom