Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Kipenzi changu ni mamako.Mlaumu kipenzi chako jiwe, dhamana na matarajio ya ofisi namba moja aliiweka usawa wa sakafu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipenzi changu ni mamako.Mlaumu kipenzi chako jiwe, dhamana na matarajio ya ofisi namba moja aliiweka usawa wa sakafu.
Suala sio kujenga shule zingine bali ningekuwa mimi ningeanza na kuboresha hizi zilizopo. Shule hizi zilizopo nyingi hazina waalimu wa kutosha, hazina madawati, elimu inayotolewa haina msaada kwa watoto wetu, waalimu waliopo wamekata tamaa.Nilishangaa, halafu anasema eti kidogo kidogo tunaenda.
Na hii ya kujenga shule moja ya Bweni ya Wasichana kila mkoa.
SERIOUS!??
Ni kama anafanya 'favour' au anatoa zawadi.
Tunawezaje kupaka rangi tatizo kubwa tena ktk 'level' ya Urais?!
Mambo mengin hata washauri wake waone aibu.
Hiyo ya mashuka 200 haikutakiwa hata kutangazwa in public.
Kipenzi change ni mamako.
Naam! Ninachojua mamako ndo kipenzi changu.Utajua mwenyewe
Binafsi hii nchi aliiweza magufuli peke ake, ili maendeleo yawepo uvunjifu wa mfumo wa kidemokrasia lazima uwepo. hivi viatu alivyovaa mama etu mpendwa ni vigumu na vinahitaji utulivu wa mwili na akili, kwa mwanamke ambaye ameumbwa kuongozwa hawezi kutufikisha popote. unajua hayati hakuwa akimsikiliza kila mtu alifanya vile akili yake ilivyomtuma maana alijua miluzi mingi humpoteza mbwa pia alijua kuwa nchi haijengwi kwa siasa bali kwa jasho na damu na ndo maana alikuwa tayari kupoteza damu yake ili kuleta maendeleo yenye tija, tuache kuwa wabinafsi richa ya kuwa wananchi wengi ni fukara ila hayati alipambana kuijenga nchi kuwaacha wananchi wanaumia ili vizazi vyao vije vifurahie matunda ya jasho za baba zao, ila watanzania wengi hatupo tayari kujitoa kwaajili ya future ya watoto wetu, kila mmoja ana roho ya ubinafsi anaona ni bora aje ateseke mtoto wake ila yeye ale matunda ya nchi. na ndo maana hatukusita kumpinga. Ok turudi kwenye mada, katika kitu cha umuhimu ambacho raisi anatakiwa kukifanya ni kuhakikisha anabadilisha mfumo wa elimu na kuongeza idadi ya technical schools and colleges ili kutengeneza watu wanaoweza kujiajili, pia angewekeza katika kuwapa sapoti local inovators ili kuikuza teknolojia yetu maana hili litapunguza cost burden kwenye foreign importation, huenda maraisi waliopita wangewasapoti local inovators sasa ivi tungekuwa tunatengeneza magari yetu wenyewe, viwanda vingekua, un employment rate ingepungua, kilimo kingebadirika na watu wangevuna mpaka wasingekuwa na mahali pa kuvipeleka vyakula, ila kwa sababu mawazo yao yamefungwa ndo maana akitokea mtu amegundua kitu anasainiwa na mataifa ya kibeberu ili wakawanufaishe wazungu waje watunyonye wakati sisi tunamuona mpuuzi eti hakina quality kitahatarisha maisha ya watu ivii mmesahau kuwa hata britain iliyosumbua kuwa na viwanda vikubwa karne ya 16 walianza na mfumo mdogo (stem engine)?. nchi yetu inahitaji raisi mwenye fikra za kujilisha wenyewe na sio kuombaomba maana hata marekani inapasua vichwa kwa kuwa ba uchumi mkubwa duniani kwa sababu ilipata maraisi wenye akili, wenye kushindana kuiondoa nchi kutoka kwenye umasikini na sio kushindana kwa kiki, tukiendelea kukaza vichwa tutabaki nyumanyuma kama koti la babu msizilo, wazungu wataendelea kututafuna vichwa wakati sisi tukiendelea kuwachekea.
yangu ni hayo tu wakuu.[emoji120][emoji120]
Mtu yeyote anaweza kuwa rais wa nchi, lakini si kila mtu anaweza kuwa rais mzuri.Huyu mama amechemka mapema sn hii kazi ni ngumu haiwezi
mkuu hoja yangu inahitaji utulivu wa mwili na akili ili kuielewa kwa maana kiburi cha madaraka ndo kilimfanya Hitler kuipa status Germany akaikwamua kutoka kwenye umasikini. siku zote raisi mpole haifanyi nchi kuendelea badala yake ni kulimbikiza madeni na kukithirisha unyonyaji wa watu weupe maana hata wakisema mweshimiwaa tukujengee bandari harafu tuchimbe madini kwa miaka 100 atakubali huku anachekacheka. nchi ngumu kama hii inahitaji raisi mwenye kiburi cha madaraka. naomba kabla hujajibu hii hoja kaa ufikirie kwa kina then back to reply[emoji120][emoji120]Kwani Magufuli alikuwa ana akili au alikithiri kwa kutumia mabavu? Ndani ya miaka 5+ aliyokaa madarakani deni la taifa limepaa kwa 30t+. Ukiambiwa uonyeshe hiyo miradi ya 30t wala hutoweza. Usichanganye akili na kiburi cha madaraka.
Hapaka, mpaka Juni 2015 deni la taifa lilikuwa 38.2 Trilioni. Magufuli kaondoka deni likiwa 57 Trilioni. Ni ongezeko la 19 Trilioni.Kwani Magufuli alikuwa ana akili au alikithiri kwa kutumia mabavu? Ndani ya miaka 5+ aliyokaa madarakani deni la taifa limepaa kwa 30t+. Ukiambiwa uonyeshe hiyo miradi ya 30t wala hutoweza. Usichanganye akili na kiburi cha madaraka.
mkuu hoja yangu inahitaji utulivu wa mwili na akili ili kuielewa kwa maana kiburi cha madaraka ndo kilimfanya Hitler kuipa status Germany akaikwamua kutoka kwenye umasikini. siku zote raisi mpole haifanyi nchi kuendelea badala yake ni kulimbikiza madeni na kukithirisha unyonyaji wa watu weupe maana hata wakisema mweshimiwaa tukujengee bandari harafu tuchimbe madini kwa miaka 100 atakubali huku anachekacheka. nchi ngumu kama hii inahitaji raisi mwenye kiburi cha madaraka. naomba kabla hujajibu hii hoja kaa ufikirie kwa kina then back to reply[emoji120][emoji120]
siku moyo wako ukikubali kuupokea uzalendo rudi hapa tuje tuongee lugha inayofanana.[emoji120][emoji120]Inaonyesha hujui hata unaongea nini, kama kiburi cha madaraka na ukatili ndio unaleta maendeleo, basi Afrika ndio ingekuwa na maendeleo sana, maana viongozi wenye viburi vya madaraka ni kibao. Nimekuambia kipindi cha miaka mitano ya Magufuli deni la taifa limepanda kwa 30t, sasa nitajie miradi iliyofanya deni kuwa kubwa kiasi hicho.
Hapaka, mpaka Juni 2015 deni la taifa lilikuwa 38.2 Trilioni. Magufuli kaondoka deni likiwa 57 Trilioni. Ni ongezeko la 19 Trilioni.
Kambuka juzi tu World Bank wamekubali kitukopesha 2.3 Trilioni wakati mama ana miezi 3 tu. Kama tunaangalia ukuaji wa deni, tusibiri miaka 5 tuone.
harafu mimi sikuzungumzia ukatili. go and skim the thread again.Inaonyesha hujui hata unaongea nini, kama kiburi cha madaraka na ukatili ndio unaleta maendeleo, basi Afrika ndio ingekuwa na maendeleo sana, maana viongozi wenye viburi vya madaraka ni kibao. Nimekuambia kipindi cha miaka mitano ya Magufuli deni la taifa limepanda kwa 30t, sasa nitajie miradi iliyofanya deni kuwa kubwa kiasi hicho.
siku moyo wako ukikubali kuupokea uzalendo rudi hapa tuje tuongee lugha inayofanana.[emoji120][emoji120]
harafu mimi sikuzungumzia ukatili. go and skim the thread again.
alikuwa mkatili kwa nataifa ya nje. ila kwa nchi yake alikuwa mzalendo the same kwa hayati, aliwatimua wapiga bingo mjini ili aijenge nchi watu wake waje wafaidi.Kwenye post zako ulimtaja Hitler kama mfano wa aina ya kiongozi anayeweza kuleta maendeleo. Ama hukumbuki mifano yako? Sasa unapomtaja Hitler unatengaje kauli zako na kuabudu ukatili?