Rais Samia; Urais wa nchi ni mambo makubwa


Ww ni bendera fuata upepo ndio maana unataja miradi mingi huku hujui hata thamani yake. Wingi wa miradi haimaanishi inafikia hiyo thamani ya 30t. Kwa taarifa yako hospitali zote, vituo vya afya nk miradi hiyo haijafikia 500b, madaraka yote yaliyojengwa na yaliyokuwa kwenye hatua ya ujenzi hayajavuka 2.5t. hizo mali zote na vivuko kwa ujumla wake havivuki 1t. Kwa haraka haraka hiyo ni chini ya 5t. Reli na Bwawa mpaka sasa hazijatoka zaidi ya 12t. Je ni kipi linapandisha hiyo figure kuwa 30t, huku akikusanya kodi zaidi ya 1.3t@ month, na akiwa hajaajiri wala kupandisha mishahara?
 
Tindo, mwombe Mwenyeji Mungu sana akusaidie kujijua jinsi ulivyo mjinga na roho mbaya, yaani kiufupi ujitambue

Nina roho mbaya kweli, na nilijifunza kutoka kwa dhalimu. kujitambua ni kukubali propaganda mfu.
 
Mimi huwa naamini ili tuendelee si lazima sana kuwa na Rais wa haja ya mioyo yetu au mchapakazi sana n.k.

Ili waafrika tuendelee tunahitaji
1. Kubadili fikra zetu kutoka kuwa tegemezi na kuwa na fikra vumbuzi/tatuzi...

2. Kutunza rasilimali tulizonazo, na kuhakikisha zinatufaidisha, hili lilipaswa kuwa ni jukumu la kila mwenye dhamana...kama madini tuliyonayo yangelikuwa managed vizuri pengine leo hii tusingekuwa hivi tulivyo...
 
umesemea matatizo ya watanzania kwa lugha nyepesi sana sasa kwa kuwa mama huwa anapitia mitandaoni ataona na huu ushauri na kuufanyia kazi
 
Hilo la watu wa manispaa umenifanya nisikie uchungu ka mwendazake alivyokuwa anasikia uchungu mpaka kujaribu kuwapa idea zake ( vitambulisho vya mmachinga),

hawa watu ni ziro kabisa hawana ubunifu wowote, wapo pale kwa maslahi yao tu na kutoa vibari, hawana jipya (angalia walivyomshambulia mkuregenzi wa kinondoni Spora Liana)

hawa watu hata kuwa na ubunifu wa kujenga vituo vya kupumzikia (bustani nzuri hawana)

nchi nyingine wamachinga hawahawa kwa maeneo ambayo wapo wangweza kutengenezewa vibanda safi vya kiubunifu na wenyewe kukusanya kodi hawana,

halafu utegemee siku moja miji yetu itakuwa mizuri kwa watu kama hawa!!!!!
 
au Rais wa nchi ananunua mapapai na kuwagaia wananchi,tuko serious kweli nchi hii?
Wewe ndio haupo serious na mambo madogo kama hayo,
Hivi wewe unaweza kumnunulia mtoto biscuit au pipi ukitoka kazini kweli???

watu wengine bwana, kama huna cha kuongea kaa kimya na chuki zako
 
Brother ukifanya kazi serikalini hasa Halmashauri unakuta mtu ana MAs lakini hawezi kujisogeza wala kujigusa
 
Nielewe tena, 30tr, iulizie imetumika vipi miaka 10au 15 ijayo sio leo ndugu!!

hizo figure ulizotaja za miradi hiyo mbona miaka na miaka hatukuona hiyo miradi ikijengwa mpaka alipokuja mwendazake?

au wenyewe walikuwa hawakusanyi kodi?
 
Nielewe tena, 30tr, iulizie imetumika vipi miaka 10au 15 ijayo sio leo ndugu!!

hizo figure ulizotaja za miradi hiyo mbona miaka na miaka hatukuona hiyo miradi ikijengwa mpaka alipokuja mwendazake?

au wenyewe walikuwa hawakusanyi kodi?
Hiyo Miaka 10 au 15 ni ya marejesho. Inaonekana umezaliwa miaka ya 2,000. Hivyo vyote vilikuwa enzi za Nyerere, ila vilikosa mwendelezo. Bomba la mafuta la Zambia, Reli ya Tazara, ndege nyingi, viwanda vya kutosha vilikuwepo enzi za Nyerere. Mabwawa ya umeme pia yalikuwepo na bado deni halikupanda kwa hivi. Umepigwa propaganda juzi ukaona ndio hivyo, hata uwezo wa kujiuliza uwiano wa deni na miradi huna, umebakia kunitajia miradi kwa wingi, lakini hata thamani yake hujui.
 
Brother ukifanya kazi serikalini hasa Halmashauri unakuta mtu ana MAs lakini hawezi kujisogeza wala kujigusa
Mimi huwa najiuliza, kwani huko serikalini wafanyakazi huwa hawapimwi kwa kitu walichofanya au kugundua kila mwisho wa mwaka?
Maana kwa aina hii ya utendaji hata aje Rais wa namna gani hatutafika popote!
Rais anahitaji watu wa kumsaidia kufanya kazi yake iwe rahisi,

mimi siku zote huwa naamini kwa hali tuliyofikia na viwango vya Elimu iliyofikiwa kwa sasa hatuna haja ya kulialia kuhusu elimu tena, ni kwamba uwezo wa ufahamu wetu ndio umeshagota hapo,

tunatakiwa kujitoa muhanga sasa kuomba msaada kwa manalozi wa nchi nyingine zilizopiga hatua ya kimaendeleo watuletee watu wa management ili sisi tuwe pembeni tuone wenyewe wanafanyaje kazi na sisi angalau tuige.
Au la , basi tuwe na mkakati mkubwa sana wa kupeleka watu wetu kwenda kufanya kazi huko kwa muda (intern) hata kwa mwaka 1 na sisi kama nchi tuwalipe huko,

maana kwa hali iliyopo ni kwamba tumedumaa hasa!!!
 
Baada ya Nyerere wamepita marais wangapi,
Nampenda sana Nyerere, lakini Nyerere ndio alijenga reli ya kati, hiyo TAZARA inaprogress vipi mpaka leo,
Unajua hayo mabwawa ya Nyerere yanatoa MEGAWATTS ngapi kuendana na populations ya leo ( hazifiki hata 600), compare na Mwendazake,
Hizo ndege zipo wapi sasa hivi!

hivi unakumbuka kama Taifa tulifikia kukodisha ndege kama national carrier ALLIANCE AIR) na tukaishia kupigwa tu,

leo taifa lina ndege zake unaishia kubeza,,!!

MSWAHILI BWANA ni shida tu,
 
Naumia sana nchi yetu ni nzuri sana, lakini kila mara tunaonekana kama tumepata Rais nusu, yani naumia sana.
Kufa Kama maumivu yamedhidi,,ili umfuate Rais kamili uko alipo kuzimu,uyu si Rais nusu
 
Ukiamua kuwapima waajiriwa wa serikalini kwa KPI utajikuta unamfukuza hata huyo Mkurugenzi mwenyewe.

Sema hilo ni tatizo la Dunia nzima Government official wanakua Hawaii vizuri sana katika utendaji Kazi
 
Huyu raisi unaye mtaka alikuja toka ubeligiji, akatuletea sera ya mpango wa bima ya afya kwa wote, Cha kushangaza mkamuibia kura, mkamtishia kumuua akaondoshwa na wasamaria wema
 
Tumpe muda gani zaidi? Tangu March Hadi Sasa hajamaliza kuteua . Bado madc,maded wa halmashauri,,makatibu tawala. Speed yake ni ndogo sana sana. Songwe na kigoma atafika lini?
Hama nchi Kama unaona anakuchelewesha,,jizi wewe
 
Sawa Kama hii nchi tangu ipate uhuru aliiweza msukuma mwenzenu magfuli, nendeni na gwaji boy mkampe pumzi aje amalizie ingwe,
 
Siku hizi mtu huwezi hata kutoa constructive criticism humu bila ya kuambiwa unamchukia Samia!

SMH
Sio tu unamchukia Bali utaambiwa wewe Ni sukumagang mnufaika wa marehemu Magufuli muombolezaji usieamini jamaa yako kafa....
Dunia Ina Mambo hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…