Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 384
- 970
Itakuwa kama wakati uleee, mwaka 2015 enzi za Lowassa, Nape Nauye nadhani alikwenda Uwanja wa Mkapa, watu wakaanza taratibu kuimba 'Mabadiliko' huku wakizungusha mikono, kisha ikaambukiza uwanja mzima. Hikujalisha jukwaa gani.Hao watu watakaa jukwaa gani hapo uwanjani?
Wivu tu unakusumbua. Nyinyi si mlikula ubwabwa Ikulu?Nimesikia kuwa Rais Samia atakuwa mgeni Rasmi kwenye kilele cha siku ya Simba Day.
Namshauri asiende, anaweza kuaibika kwa kuwa kuna kakikundi ka watu nimesikia wanasema wamepanga kumuimbia wimbo wa kumkera; "Tunataka bandari zetu'.
Mtakuja kuniambia.
Pia soma:
Nimesikia kuwa Rais Samia atakuwa mgeni Rasmi kwenye kilele cha siku ya Simba Day.
Namshauri asiende, anaweza kuaibika kwa kuwa kuna kakikundi ka watu nimesikia wanasema wamepanga kumuimbia wimbo wa kumkera; "Tunataka bandari zetu'.
Mtakuja kuniambia.
Pia soma:
Sisi akina nani?Wivu tu unakusumbua. Nyinyi si mlikula ubwabwa Ikulu?
Nyie mnaojiona wajanja.Sisi akina nani?
Unafikiri kila mtu ameshikwa akili na Mbowe kama wewe?Makolo yaitumie hiyo chance kudai bandari zetu
Kwahiyo hiyo ndo gear mlo amua kuitumie nyie "vyura" kwa kudhani mtaidunisha shughuli ya "Mnyama"?Nimesikia kuwa Rais Samia atakuwa mgeni Rasmi kwenye kilele cha siku ya Simba Day.
Namshauri asiende, anaweza kuaibika kwa kuwa kuna kakikundi ka watu nimesikia wanasema wamepanga kumuimbia wimbo wa kumkera; "Tunataka bandari zetu'.
Mtakuja kuniambia.
Pia soma:
Wewe hata tiketi huna, unajifanya kuandika utumbo wako🤣🤣Binafsi nitakuwa mwimbishaji
Tukutane kesho simba dayWewe hata tiketi huna, unajifanya kuandika utumbo wako🤣🤣
Huna lolote lile🤣🤣Tukutane kesho simba day
🤣🤣Huna lolote lile🤣🤣
Mbona unabwatuka hovyo?Nyie madalali ya samia aliyehongwa na warabu mtanyooka tu na ujinga wenu mlioambukizwa na wasira aliyewadangaya eti lissu atazomewa chato shenzi kabisa, lissu alipoenda chato alishangiliwa zaidi ya mfalme na nyie wapumbavu mlioshikiwa akili na hao warabu koko kina dewji endeleeni khimba ujinga.
Unajifanya mjanja, nyie utopolo hamna kitu. Hakuna cha bezi wala nini🤣🤣🤣🤣
Ukiusikia wimbo wa tunataka,,, bandari zetu, sauti yenye bezi itakuwa ndo mimi mwenyewe nsanzagee