Rais Samia, usijenge Bandari ya Bagamoyo utaiua nchi kabisa

Rais Samia, usijenge Bandari ya Bagamoyo utaiua nchi kabisa

Hv ni lin na wap mmeusoma huu mkataba????
Hivi hakuna namna tukaandamana kuupinga huu mkataba wa hii bandari ya bagamoyo.
Maana impacts zake zipo waziwazi kabisa na mkataba unaonekana ni sampla ya zile BOGUS TREATS enzi za carl paters na mtaalamu mangungo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji8][emoji1241]
 
Kwa nini mnazidi kuweweseka kwani bandari itajengwa DRC?, kama ni hapa nchini hayo ndo maendeleo. Labda kuna ten percent huko Dar ikifa utafilisika, itapendeza zaidi kazi ya ujenzi ikianza Bagamoyo. Kazi iendelee
 
Nitauona vipi na hujawahi kuwa public published?
Sasa umejuaje kama upo? Na umejuaje content zake? Msijadili vitu ambavyo havipo. Mambo mengine hayahitaji akili kubwa sana kujua kwamba kama mkataba ungekuwepo kitendo cha kuuvunja lazma party moja ingeenda mahakamani. Achaneni na maneno ya mitaani yanayotolewa na wasioitakia mema nchi. Nchi siyo mtu mmoja. Hili lieleweke vizuri.
 
Ni wachache sana msiotaka isijengwe. Samia piga kazi, kosoakosoa tushawazoea
 
Sasa umejuaje kama upo? Na umejuaje content zake? Msijadili vitu ambavyo havipo. Mambo mengine hayahitaji akili kubwa sana kujua kwamba kama mkataba ungekuwepo kitendo cha kuuvunja lazma party moja ingeenda mahakamani. Achaneni na maneno ya mitaani yanayotolewa na wasioitakia mema nchi. Nchi siyo mtu mmoja. Hili lieleweke vizuri.
Kwa nini unasema haupo mkataba wakati bandari inataka kujengwa? Itajengwa vipi pasipo makubaliano /mkataba
 
Nipende kumuomba CDF amshauri Rais asijenge Bandari ya Bagamoyo kwani kwa kufanya hivyo ni sawa na kuliua Taifa Kabisa.

Nimemuomba CDF kwani yeye ndiye mkuu wa majeshi ya Ulinzi, na ulinzi ni pamoja na kuangalia uhai wa Taifa, sio kwa mtutu wa Bunduki tu na mizinga bali hata kwa ushauri wenye lengo la kuliponya Taifa.

Ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar es Salaam, inahudumia zaidi ya asilimia tisini ya biashara za kimataifa kwa taifa letu.

Bandari hiyo hiyo ya Dar inahudumia nchi nyingine sita ambazo zimelizunguka taifa letu ikiwa ni pamoja na Rwanda, Burundi, DRC, Malawi, Zambia na Uganda.

China ni moja wapo ya Nchi zilizoweka nia ya kujenga bandari ya kisasa pale bagamoyo.

Bandari hii itakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa na itakuwa na vifaa vya kisasa kabisa hivyo kuifanya Bandari hii kuwa ya kipekee katika ukanda huu.

Nchi yetu inategemea sana mapato yatokanayo na bidhaa zinazopitia katika bandari yetu.

Kwa mwaka 2018 pekee, China na Tanzania zilifanya biashara ya kiasi cha dola za kimarekani 1.8 Bilioni sawa na Shilingi za kitanzania Trilioni Mbili.

China hiyo hiyo inafanya bishara ya Mabilioni ya Dola kwa nchi zinazozunguka Tanzania na kuitegemea Bandari yetu.

Inasemekana kwamba China watatoa fedha za mkopo ili kujenga bandari hiyo kiasi cha Dola Bilioni 10 za Kimarekani na ili kurejesha mkopo huo Bandari hiyo itakuwa chini ya uangalizi wao kwa miaka 100.

Kama hilo likitokea inamaana kwamba asilimia kubwa ya mapato yatayopatikana na Bandari hiyo yatakwenda kwao ili kulipa deni.

Kwakua China ni mdau mkubwa wa biashara na Tanzania, Kila bidhaa itayoagizwa toka china kuja Tanzania lazima itapitia Bagamoyo.

Automatically ile Biashara ya Dola Bilioni 1.8 inahamia Bagamoyo toka Bandari ya Dar. Na mapato toka nchi za DRC, Zambia , Malawi, Uganda, Burundi na Rwanda.

sitaki kuamini kwamba China atakua mwaminifu sana katika kuweka mapato ya Bandari ya Bagamoyo na kwakua historia ni shahidi tumekuwa na watu ambao sio waaminifu wanaoshirikiana na wageni katika kulitia hasara Taifa, hivyo hakuna namna tutaubiwa tu.

Kwakua bandari ya Dar itakuwa ndogo, yenye vifaa dhaifu na vya zamani hakuna atayepeleka mizigo pale, wote watahamia Bagamoyo.

Na kwakua hatutakua tunaingiza mapato, hivyo hatutaweza kulipa deni na ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa wakati, jambo litakalowafanya wachina waextend muda wa kuendelea kuishikilia bandari ili walipe deni lao, jambo hili litaendelea milele.

Hivyo tutakuwa tumepoteza bandari na mapato na bado tunadaiwa.

Mkuu, CDF, Nakuomba sana wewe pamoja na makamanda wengine, mumshauri vyema Rais ili bandari hii isijengwe kwani ni hatari kwa uhai wa Taifa.

Ni hayo tu.
Huo mkataba umeuona ? mambo ya inasemekana achana nayo
 
Nipende kumuomba CDF amshauri Rais asijenge Bandari ya Bagamoyo kwani kwa kufanya hivyo ni sawa na kuliua Taifa Kabisa.

Nimemuomba CDF kwani yeye ndiye mkuu wa majeshi ya Ulinzi, na ulinzi ni pamoja na kuangalia uhai wa Taifa, sio kwa mtutu wa Bunduki tu na mizinga bali hata kwa ushauri wenye lengo la kuliponya Taifa.

Ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar es Salaam, inahudumia zaidi ya asilimia tisini ya biashara za kimataifa kwa taifa letu.

Bandari hiyo hiyo ya Dar inahudumia nchi nyingine sita ambazo zimelizunguka taifa letu ikiwa ni pamoja na Rwanda, Burundi, DRC, Malawi, Zambia na Uganda.

China ni moja wapo ya Nchi zilizoweka nia ya kujenga bandari ya kisasa pale bagamoyo.

Bandari hii itakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa na itakuwa na vifaa vya kisasa kabisa hivyo kuifanya Bandari hii kuwa ya kipekee katika ukanda huu.

Nchi yetu inategemea sana mapato yatokanayo na bidhaa zinazopitia katika bandari yetu.

Kwa mwaka 2018 pekee, China na Tanzania zilifanya biashara ya kiasi cha dola za kimarekani 1.8 Bilioni sawa na Shilingi za kitanzania Trilioni Mbili.

China hiyo hiyo inafanya bishara ya Mabilioni ya Dola kwa nchi zinazozunguka Tanzania na kuitegemea Bandari yetu.

Inasemekana kwamba China watatoa fedha za mkopo ili kujenga bandari hiyo kiasi cha Dola Bilioni 10 za Kimarekani na ili kurejesha mkopo huo Bandari hiyo itakuwa chini ya uangalizi wao kwa miaka 100.

Kama hilo likitokea inamaana kwamba asilimia kubwa ya mapato yatayopatikana na Bandari hiyo yatakwenda kwao ili kulipa deni.

Kwakua China ni mdau mkubwa wa biashara na Tanzania, Kila bidhaa itayoagizwa toka china kuja Tanzania lazima itapitia Bagamoyo.

Automatically ile Biashara ya Dola Bilioni 1.8 inahamia Bagamoyo toka Bandari ya Dar. Na mapato toka nchi za DRC, Zambia , Malawi, Uganda, Burundi na Rwanda.

sitaki kuamini kwamba China atakua mwaminifu sana katika kuweka mapato ya Bandari ya Bagamoyo na kwakua historia ni shahidi tumekuwa na watu ambao sio waaminifu wanaoshirikiana na wageni katika kulitia hasara Taifa, hivyo hakuna namna tutaubiwa tu.

Kwakua bandari ya Dar itakuwa ndogo, yenye vifaa dhaifu na vya zamani hakuna atayepeleka mizigo pale, wote watahamia Bagamoyo.

Na kwakua hatutakua tunaingiza mapato, hivyo hatutaweza kulipa deni na ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa wakati, jambo litakalowafanya wachina waextend muda wa kuendelea kuishikilia bandari ili walipe deni lao, jambo hili litaendelea milele.

Hivyo tutakuwa tumepoteza bandari na mapato na bado tunadaiwa.

Mkuu, CDF, Nakuomba sana wewe pamoja na makamanda wengine, mumshauri vyema Rais ili bandari hii isijengwe kwani ni hatari kwa uhai wa Taifa.

Ni hayo tu.
Rais siku hizi anashauriwa na makamanda?
 
Back
Top Bottom