Rais Samia usikubali CDF General Mabeyo astaafu kwani bado anahitajika na sijaona wa kumrithi kwa sasa

Yaani kwa Uandishi huu unajiona una akili sana mzee.....sasa mi nakwambia ukweli, we jamaa ni empty sana humo kichwani. Kuandika tu kunakupa shida, sasa utaweza kweli kuwaza vitu vya kiakili?
 
Mkiruhusu astaafu mtapigwa na M23 na Rwanda kama Kuku. Watanzania andamaneni CDF Mabeyo asistaafu sasa kwani nawaonea Huruma.
Toka lini rwanda inaweza kupiga mabeberu kwani ujui tz kwa sasa tupo mikononi mwa mabeberu
 
Sasa wewe mtumwa wa waarabu una akili gani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hiki ni kituko cha mwaka
 
Hizi ni akili za Magufuli.
Akili za kijima.
Hakuna mtu special, hata wewe mtoa post ukifa au ukiikimbia nafasi yako kazini, katika familia au popote pale atapatikana mwingine na atafanya vizuri kuliko wewe
Leo hii tungekuwa tunatawaliwa na Magufuli ambaye alidanganywa kuwa hakuna mbadala wake mambo mengi mazuri tusingeyaona.
 
E
Ri alisimamia mabadiliko ya Urais kwa mujibu wa katiba! Hivi ujinga wabongo mtaacha lini?
 
Imeandika ushuzi kabisa 2025 una uhakika atashinda uchaguzi? Au mihemko tu! Oga ulale acha kujimwambafai.
 
Mkiruhusu astaafu mtapigwa na M23 na Rwanda kama Kuku. Watanzania andamaneni CDF Mabeyo asistaafu sasa kwani nawaonea Huruma.
Kuna Mkuu wa Mkoa fulani nadhani amekuwa akiandaliwa kwa kazi hii ila sijui protoko zimekaaje.
 
Hivi huu ujinga unatoka wapi kwa kasi hivi?

Nyie ndio mnamjua Mabeyo zaidi ya Mh. Rais aliyekubali kustaafu kwake?

Unatumia mahaba yako na kifo cha Magu na ukanda wa ziwa ku justify hata hili? Hebu acheni wenge nyinyi
Jamaa huyo ndio mana wanamuitaga popoma, anajiona ana hadhi fulani kubwa hadi asikilizwe na Mkuu wa nchi kwenye swala nyeti la ki usalama
 
Mthhhhenge wewe,

We si kutwa unamtukana Samia humu,leo unataka heti amuache huyo kisa msukuma mwenzenu na mkristo,

Mmmbwa wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…