Rais Samia usikubali kunasa kwenye mtego wa TFF

Rais Samia usikubali kunasa kwenye mtego wa TFF

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Rais Samia wewe ni Rais wetu sote.
Mara ya kwanza ulitukwaza wanayanga ulivomaliza suala la Feitoto katika kutoa maagizo.
Na ukijua maagizo yako kama Rais hakuna raia wa nchi hii anaweza kuyapinga, Kwa heshima yako wanayanga tulikubali kulimaliza suala hili mezani japo tulishinda kwenye sheria

TFF na bodi ya ligi baada ya kuharibu na kushindwa kusimamia kanuni, Sasa kimbilio ni wewe Rais Samia kukutumia kubariki uvunjifu wa kanuni ati usuluhishe na mambo yaishie kwenye meza

TFF wamepanga kukualika kuwa mgeni rasmi wa mechi itakayopangwa upya, huku wakijua wakikutumia ww viongozi wa Yanga watakosa nguvu ya kukataa na kutetea haki ya Yanga,
Yanga hatutaki hili litokee

Rais Samia tunakuomba acha masuala ya football yaendeshwe Kwa kanuni sio kukutumia Rais kiongozi wa siasa kuingilia football

Simba aadhibiwe Kwa kanuni zilizo wazi, sio kutumia Rais wa serikali kuikandamiza Yanga

Rais akijiingiza kwenye hili suala sio sawa na oktoba atatugawa wapiga kura wake
Ni heri asionyeshe upande wowote, kanuni zisimame
Vyombo vya usuluhushi wa michezo vitumike na timu zipate haki huko CAS
 
Alivyo wakaribisha futari pale ikulu baada ya kuvishwa shanga shingoni (medali) ya CAFCC, mbna hukusema asijihusishe na mambo ya football?

Kila kitu kitakua sawa km kilivyo pangwa, hakuna wa kuzuia.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Sawa mrembo
 
Kama hulioni kosa lenu,tff watawasaidia kuliona.

yanga waliwahujumu Simba sc wasifanye mazoezi.

Halafu mnakuja na propaganda uchwara eti kulikuwa na basi limejaa wazee wafupi na mbuzi wanalia mee mee.
Yanga wahujumu vip Simba wasifanye mazoezi kwenye uwanja unaomilikiwa na kulindwa na Serikali?
Yaani watu wa Yanga wazuie msafara wa Simba uliosindikizwa na police?
Simba kwanini hawaku report hii jinai police ili wawakamate hao unaosema ni Yanga
 
Kama hulioni kosa lenu,tff watawasaidia kuliona.

yanga waliwahujumu Simba sc wasifanye mazoezi.

Halafu mnakuja na propaganda uchwara eti kulikuwa na basi limejaa wazee wafupi na mbuzi wanalia mee mee.
Walihujumu vipi ?
 
Yanga wahujumu vip Simba wasifanye mazoezi kwenye uwanja unaomilikiwa na kulindwa na Serikali?
Yaani watu wa Yanga wazuie msafara wa Simba uliosindikizwa na police?
Simba kwanini hawaku report hii jinai police ili wawakamate hao unaosema ni Yanga
Hawa watu ukienda kisheria unawashinda, eti makomandoo wa yanga, hawa makomandoo wa yanga wanatambulika kisheria ? Makomandoo wa yanga ndio walinzi na washika funguo za uwanja ? Mbona SIELEWI? Aliewazuia Simba ni nani sababu Yanga hawez kumzuia Simba kuingia uwanjani...
 
Hawa watu ukienda kisheria unawashinda, eti makomandoo wa yanga, hawa makomandoo wa yanga wanatambulika kisheria ? Makomandoo wa yanga ndio walinzi na washika funguo za uwanja ? Mbona SIELEWI? Aliewazuia Simba ni nani sababu Yanga hawez kumzuia Simba kuingia uwanjani...
Hawa wakubali wazi walikimnia mechi sababu ya majeruhi Kwa wachezaji wao wenye unafuu
 
hapo utopoloni wenye akili ni 3 tu.
kikwete na manara na haji manara
 
Rais Samia wewe ni Rais wetu site.
Mara ya kwanza ulitukwaza wanayanga ulivomaliza suala la Feitoto katika kutoa maagizo.
Na ukijua maagizo yako kama Rais hakuna raia wa nchi hii anaweza kuyapinga, Kwa heshima yako wanayanga tulikubali kulimaliza suala hili mezani japo tulishinda kwenye sheria

TFF na bodi ya ligi baada ya kuharibu na kushindwa kusimamia kanuni, Sasa kimbilio ni wewe Rais Samia kukutumia kubariki uvunjifu wa kanuni ati usuluhishe na mambo yaishie kwenye meza

TFF wamepanga kukualika kuwa mgeni rasmi wa mechi itakayopangwa upya, huku wakijua wakikutumia ww viongozi wa Yanga watakosa nguvu ya kukataa na kutetea haki ya Yanga,
Yanga hatutaki hili litokee

Rais Samia tunakuomba acha masuala ya football yaendeshwe Kwa kanuni sio kukutumia Rais kiongozi wa siasa kuingilia football

Simba aadhibiwe Kwa kanuni zilizo wazi, sio kutumia Rais wa serikali kuikandamiza Yanga

Rais akijiingiza kwenye hili suala sio sawa na oktoba atatugawa wapiga kura wake
Ni heri asionyeshe upande wowote, kanuni zisimame
Vyombo vya usuluhushi wa michezo vitumike na timu zipate haki huko CAS
Point
 
Back
Top Bottom