Rais Samia usilalamike, unachokisikia ndio kinasemwa nchi nzima, kubali tu yaishe!

Huijui Siasa ya nchi hii.

Karata ya nchii hii imeshukiliwa na Kanda ya Ziwa na ndiko kwenye sukuma gani..lakini Imani hii imesambaa nchi nzima wanaimba sukuma gang.
 
Magufuli hakuwahi kuwa Dikteta sahihisha hapo. Samia atavuna anachopanda inaonekana moyoni hakuwa mwema na hakuwa na utiifu wa dhati kwa Magufuli.

Kama ni ushauri anapewa sana, kwanini wakati wake mambo yawe hivi? Kwanini ashindwe jukumu la kuwa kiranja mkuu?

Kwa nini hana anachojua kwa uhakika na kutolea majibu kwa haraka?
 
Sukuma gang mnadhani mnaweza kumzuia Samia kuwa Rais 2025-2030?

Acha nicheke kwa dharau 🤣🤣🤣


Rudini tu mkachunge ng’ombe sahauni hii nchi kuongozwa tena kikabila na kikanda wapuuzi nyie
 
Huijui Siasa ya nchi hii.

Karata ya nchii hii imeshukiliwa na Kanda ya Ziwa na ndiko kwenye sukuma gani..lakini Imani hii imesambaa nchi nzima wanaimba sukuma gang.
Mpumbavu wewe! Karata gani?
 
Acha kuongea upuuzi jaribio la kutaka kumuua Tundu Lissu ni nini kama sio udikteta?
 
Kama hujui Hili kundi Lina kura zaidi ya asilimia 60 anzia Mwanza, Mara, Geita, Simiyu, Tabora , Dodoma, Shinyanga,Katavi, kigoma, Morogoro, Kagera unafikili hizo kura ni Chache?
Mpuuzi wewe kwa iyo Kagera, Mara, Dodoma na Morogoro kumejaa wasukuma??😂😂😂

Kweli nyie jamaaa ni washamba na wajinga sana!!

Na kwa ukabila wenu huo sahauni tena kushika madaraka ya hii nchi wajinga nyie
 
Acha kuongea upuuzi jaribio la kutaka kumuua Tundu Lissu ni nini kama sio udikteta?
Nani kasema kuhusu Tundu Lissu?huo ni mtazamo na fikra zako na sio tafsiri ya Udikteta kwenye hilo, Hao vibaka waliomdhuru Tundu watafuteni acheni uzushi kuhusu Magufuli, Mwambie Samia awaibue wabaya wa Lissu.

Upanzi katika mtazamo sio poa, Daudi Mwangosi, Ulimboka?Kubanda? Vifo vya kusini kuhusu bomba la gesi, Bomu la kindezi kule Arusha mmesahau et eeeh?
 
no 5 itowe maana awam iliyopta ndo ilifanya vzur na yy akiwemo ko anafanya yy anavyotaka no maana watu hawamuelewi
 
Ulivyo mpuuzi sasa! Hujui waliohusika na mauaji ya Daud Mwangosi walichukuliwa hatua? Hujui mabomu ya Arusha watu walichukuliwa hatua? Au hujui kesi za ugaidi Arusha?

Utakuwa mburundi wewe ambae unabisha Magufuli hakuwa dikteta! Utakuwa huna kumbukumbu kuwa aliongea wazi kuhusu kushughulikia watu wanaopingana nae kwenye suala la Barric na kesho yake Tundu Lissu akapigwa risasi
 
no 5 itowe maana awam iliyopta ndo ilifanya vzur na yy akiwemo ko anafanya yy anavyotaka no maana watu hawamuelewi
Watu gani hawamuelewi zaidi ya nyie wapuuzi mliojaa ukabila?

Mbona sie tunamuelewa?
 
Neno mpuuzi ni mhemko wako katika kufikiri au ni kionjo cha akiri yako? Huwezi kushinda kwa kupiga mawe maoni, Tukio la Mwangosi hujui vizuri nimekupa rejea tu kuwa hakuna serikali Utopolo ukizingua inakuzingua kwa maangamizi.
 
Neno mpuuzi ni mhemko wako katika kufikiri au ni kionjo cha akiri yako? Huwezi kushinda kwa kupiga mawe maoni, Tukio la Mwangosi hujui vizuri nimekupa rejea tu kuwa hakuna serikali Utopolo ukizingua inakuzingua kwa maangamizi.
Sijui vizuri nini tukio la Mwangosi wakati aliyehusika alishahukumiwa na Mahakama??

Nikikuita mpuuzi sio tusi iyo ni sifa yako kwa Jinsi unavyotoa hoja za kipuuzi humu!
 
Sijui vizuri nini tukio la Mwangosi wakati aliyehusika alishahukumiwa na Mahakama??

Nikikuita mpuuzi sio tusi iyo ni sifa yako kwa Jinsi unavyotoa hoja za kipuuzi humu!
Kesi ya Lissu iko mikononi mwa Police, Magufuli anahusika vipi kwenye Udikteta? Kumbe unanyege na mimi katika kutumia neno mpuuzi?!!! Sema unatakaje? Lissu ndio vile alishachakaa tafuteni wabaya wake mmepata Rais mdemokrasia awape majibu
 
Kesi ya Lissu iko mikononi mwa Police, Magufuli anahusika vipi kwenye Udikteta? Kumbe unanyege na mimi katika kutumia neno mpuuzi?!!! Sema unatakaje? Lissu ndio vile alishachakaa tafuteni wabaya wake mmepata Rais mdemokrasia awape majibu
Na kama ulihusika jiandae tu! Mama Samia lazima afukue hili kabuli! Mtatafutana na kutajana wenyewe mliompiga risasi Lissu
 
Mama anapwaya sana kilo ya nyama imefika tsh 10000/= bei ya mafta ya kula juu mafta ya nishati juu machinga kila mwezi tsh 20000/= haijalishi unauza mchicha au unashona viatu! Vifaa vya ujenzi baadhi ya mikoa kigoma kagera mara mwanza shinyanga na geita bei juuuuuuu zaidi katika hali hiyo hakuna wa kumpenda
 
Speed yake ipi??
 
Ushauri kuntu akina makamba ambao amewaamini kuwa ndo mhimu hawaaminiki tena kwa wanachi .kww hiyo hata hapa mtaani watu wameshaampuuzia sana mama kuwa anarudish yale mambo ya ajabu ajbau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…