GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Mkuu yaani nimecheka mpaka basi!!!Wana kozi kabisa ya Public Cheating Management (PCM)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu yaani nimecheka mpaka basi!!!Wana kozi kabisa ya Public Cheating Management (PCM)
GENTAMYCIME Rais Samia hakika amefanya kazi nzuri ya kuenzi kazi za watangulizi wake. Tatizo linalomsumbua ni mfumo dume. Yaani kuna vijeba vimejipanga kuhakikisha Rais Samia vinampatia info au data za uongo na akiziongea unakuwa ushahidi. Chukua tu mfano wa status ya uchumi wa Tanzania. Waziri wake wa fedha kasema tupo uchumi wa kati. Yeye wakamuandalia hotuba ya kusema eti tumeshashushwa na yeye kakiri kwa kinywa chake. Madhara yake nini? Ni kuwa ikija 2025 watasema hivi Rais Samia hafai kabisa kuongoza nchi kwa sababu tulikuwa uchumi wa kati na uongozi wake mbovu ulipelekea tukashushwa mpaka uchumi wa kati. Hata kama Mwigulu ni Muongo ila Rais Samia anadhani watanzania eti wapo naye, hapana. Rais Samia mpaka sasa hana mashabiki kabisa kila kona anatukanwa na kudhauriwa kwa kukosa uthubutu. In short Rais Samia anaonekana hafai kabisa na watanzania walio wengi wanamchukia kwa sababu wanaona ni msaliti wa maendeleo yaliyoasisiwa na Dkt Magufuli. Mi msimamo wangu ni kuwa Rais Samia ni kiongozi mzuri sana ila kazungukwa ma watu ambao inaoekana wanautamani urais wak
Mfumo dume tuliopewa na Mungu umehudhunika kwa sasa ndivyo wasemavyo wazee vijiweni
Cha kushangaa yanapinga huku yakiwa kwenye foleni ya maji ya KISIMA msikitiniUmeandika Kitu kizuri na cha Ukweli kabisa, ila suburia sasa Praise Team yake inayoongozwa na Majuha ( Fools ) watakavyokuja Kukupinga na hata Kukushambulia.
🤔🤔🤔🤔"Mtendaji Mkuu wa DAWASA ameniambia ukiacha hii hali ya ukame tunayopitia Dar es salaam upatikanaji wa maji upo asilimia 94. hii ina maana kwamba tupo karibu sana au tumeshafikia ile asilimia tuliyoelekezwa na CCM ya asilimia 95" - Rais
Chanzo: EATV
Mimi GENTAMYCINE siyo Mathematician kama Mkurugenzi wa NEC Poti wangu wa Kizanaki Dk. Mahera au Marehemu Profesa Ngowi ila kwa hii hii Hesabu yangu ya hapa na pale ( ya Kubahatisha ) ukisema 94% Maji yanapatikana hapa unamaanisha Jiji lote la Dar es Salaam sasa lina Maji, hatunuki tena Vikwapa na kwamba labda sehemu isiyo na Maji ndogo mno kama kusema Msasani Maandazi Road kuja mpaka usawa wa Namanga au Ada Estate.
Mama ( Rais ) una uhakika kuwa Mkoa wako huu wa Dar es Salaam sasa hivi upatikanaji wa Huduma ya Maji ni hiyo 94% uliyoitaja baada ya Kudanganywa ( Kuingizwa Chaka ) na hao ( hawa ) Dawasa?
Mama ( Rais ) una habari kuwa sasa unaenda Mwezi wa Pili huu Watu wa Ushuani ( Oysterbay ulikokuwa Unaishi ) na Masaki yote hadi kule anakoishi Mzee Wetu na Mwanadiplomasia Nguli ( Ngwena ) Salim Ahmed Salim na kwa Hayati Rais Mstaafu Mkapa hawana Maji?
Halafu Mama ( Rais ) upatikanaji wa Maji kwa Mkoa wa Dar es Salaam unahusiana nini na CCM yako? Kwahiyo wana CCM pekee ndiyo Wanaooga na wenye Shida ya Maji ila Wapinzani na Sisi Watu Neutral akina GENTAMYCINE ndiyo hatupaswi kuyapata na hatuyahitaji hayo Maji?
Binafsi huwa sipendi kabisa Kukusema kwani ukiachilia mbali kuwa Wewe ni Rais wangu ila pia ni kama Mama yangu vile hivyo ukiwa Unavapa ( Unakosea ) kila mara na Kuingizwa Chaka na Watendaji au Wasaidizi wako huwa najisikia vibaya sana tu.
Hali ya Maji Dar ni mbaya sana Rais!!!
Cc: bolivia
Njoo kwanguNiajiri Mkuu,nakufulia bure kabisa
Sawa mkuuNjoo kwangu
Nakuja pembeniSawa mkuu
You must be a certified and damn Fool.That's a totally unacceptable gesture and behaviour !! (If he was at all lying). Unless proven otherwise, such an act deserves a severe punishment (It's a mockery to all.....and inclusive).
Dar es salaam ndiyo Tanzania na ndiyo Ubongo wa Tanzania nzima na Watanzania wote tu Kifikra, Kimaamuzi na Kimihemko.Mi najiuliza kwanini wanaongelea Dar tu?
Lakini tatizo lipo mikoa mingi sana yaani hata mikoa inayotegemea ziwa Victoria tatizo la maji lipo na limekua endelevu toka msimu wa mvua mwaka jana.
Sasa hii mikoa inayozunguka ziwa Victoria tatizo ni nini?
Halafu Rais Kagame mwaka 2013 alipomwambia Mtu Mmoja mkutanoni nchini Ethiopia kuwa anaongoza Maiti hakueleweka wakati wenye Akili Kubwa kama Yeye tulimwelewa na Kumuunga mkono.Jana wametumia Bajeti ya
Tsh million 500 kuandaa uzinduzi wa maji kigamboni wakati hiyo Bajeti ingetosha kuchimba visima 100 uswahilini kwetu huku
Hi inji ni failed state
Aiseeee!
😴😴😴😴😴
Mizukule ya kitanganyika inashangaza sana yaani,Halafu Rais Kagame mwaka 2013 alipomwambia Mtu Mmoja mkutanoni nchini Ethiopia kuwa anaongoza Maiti hakueleweka wakati wenye Akili Kubwa kama Yeye tulimwelewa na Kumuunga mkono.
Kwa lile Tumbo lake kubwa kama Tenki la Maji Goba ulitegemea kabisa Akili zitajihifadhi Mwilini mwake?
Mkuu kwani kabla ya hii hali, nguo moja kwa dobi hspo Dar ilikuwa inafuliwa kwa bei gani?Naunga hoja mkono, hali ni mbaya kwa dobi nguo kwa sasa naambiwa elfu moja kufulia maji baridi na miatano kwa nguo kufulia maji chumvi hali sio nzuri kabisa