Rais Samia usipende kila mara 'Kuingizwa Chaka' hivi bali shtuka mapema kwani unaniangusha sana tu

Rais Samia usipende kila mara 'Kuingizwa Chaka' hivi bali shtuka mapema kwani unaniangusha sana tu

Kwa nilivyoelewa hiyo taarifa ni kwamba kwa sasa Dar 94% wanapata maji, hii maana yake ni kwamba mifumo ya maji imeshawafikia kwa asilimia hizo. Mfano, umeme vijijini kufika umefika lkn sio kila nyumba itakuwa na umeme au kila siku utawaka.

Hapo wanamaanisha kama Dawasa watakuwa at its maxima level ya uzalishaji basi 94% watapata maji kwa wakati mmoja.

Hajasema kuwa wakati huu maji yanatoka na watu wanapata kwa asilimia hizo.

Kabla ya kupost chochote kaa chini uelewe hoja ni nini.

Si umeona amesama vyanzo vya maji vimepungua?

Hivyo wanaposema 94% wanapata huduma ya maji maana yake wanauwezo wa kupata maji kama DAWASA watafungulia maji at par.

Naomba kuwasilisha wanabodi.
Nilidhani umeanza kuwa na Akili kidogo kumbe bado uko vile vile kama nilivyokujua huko awali?
 
Hebu njoo huku,kila dem tukikutana nao wananuka vikwapa
Vp hali ya maji jijini unasemaje
Lucas mwashambwa

Ova
Hali ya maji inaendelea kuimarishwa na kushughulikia na serikali hii ya mama Samia kwa nguvu zote licha ya Hali ya ukame inayoendelea, Nafikiri umeona mh Rais amezindua na kutoa magari yatakayochimba visima virefu vitakavyomaliza tatizo Hilo la maji linalowasumbia wananchi, Tuwe na Imani na serikali yetu na Tumwamini Rais wetu kwa kuwa ameonyesha dhamira njema na uzalendo mkubwa katika kuijenga nchi yetu
 
Sio waongo ni mafedhuri naona maza kuna issue nyingi anadanganywa tu halafu wajanja wanamkeep busy na ratiba nyingi akikaa ndani ya nchi siku tatu utaona siku ya tano anakua nje hiyo yote mafisadi wapate upenyo wa kupiga pesa kiulaini

Alooo.. Atapata tabu sana the coming election
 
Back
Top Bottom