Rais Samia usipende kila mara 'Kuingizwa Chaka' hivi bali shtuka mapema kwani unaniangusha sana tu

 
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Mi najiuliza kwanini wanaongelea Dar tu?

Lakini tatizo lipo mikoa mingi sana yaani hata mikoa inayotegemea ziwa Victoria tatizo la maji lipo na limekua endelevu toka msimu wa mvua mwaka jana.

Sasa hii mikoa inayozunguka ziwa Victoria tatizo ni nini?
 
Yooote tisa nipo nasubiria bill ya mwezi November maana October pia nililipa na maji sikuyaona hata siku moja
 
That's a totally unacceptable gesture and behaviour !! (If he was at all lying). Unless proven otherwise, such an act deserves a severe punishment (It's a mockery to all.....and inclusive).
You must be a certified and damn Fool.
 
Dar es salaam ndiyo Tanzania na ndiyo Ubongo wa Tanzania nzima na Watanzania wote tu Kifikra, Kimaamuzi na Kimihemko.
 
Jana wametumia Bajeti ya
Tsh million 500 kuandaa uzinduzi wa maji kigamboni wakati hiyo Bajeti ingetosha kuchimba visima 100 uswahilini kwetu huku
Hi inji ni failed state
Aiseeee!
😴😴😴😴😴
Halafu Rais Kagame mwaka 2013 alipomwambia Mtu Mmoja mkutanoni nchini Ethiopia kuwa anaongoza Maiti hakueleweka wakati wenye Akili Kubwa kama Yeye tulimwelewa na Kumuunga mkono.
 
Kwa nilivyoelewa hiyo taarifa ni kwamba kwa sasa Dar 94% wanapata maji, hii maana yake ni kwamba mifumo ya maji imeshawafikia kwa asilimia hizo. Mfano, umeme vijijini kufika umefika lkn sio kila nyumba itakuwa na umeme au kila siku utawaka.

Hapo wanamaanisha kama Dawasa watakuwa at its maxima level ya uzalishaji basi 94% watapata maji kwa wakati mmoja.

Hajasema kuwa wakati huu maji yanatoka na watu wanapata kwa asilimia hizo.

Kabla ya kupost chochote kaa chini uelewe hoja ni nini.

Si umeona amesama vyanzo vya maji vimepungua?

Hivyo wanaposema 94% wanapata huduma ya maji maana yake wanauwezo wa kupata maji kama DAWASA watafungulia maji at par.

Naomba kuwasilisha wanabodi.
 
Halafu Rais Kagame mwaka 2013 alipomwambia Mtu Mmoja mkutanoni nchini Ethiopia kuwa anaongoza Maiti hakueleweka wakati wenye Akili Kubwa kama Yeye tulimwelewa na Kumuunga mkono.
Mizukule ya kitanganyika inashangaza sana yaani,
Kuna taarifa mwaka juzi nilikua naangalia wakazi wa ukerewe wanashukuru wazungu flani kukamilisha mradi wa maji
Aibu niliona Mimi yaani miaka yote wamezungukwa na maji safi ziwani ila hawana mabomba aisee
Sasa Wagogo wa Idodomya watakuaje?
 
Kwa lile Tumbo lake kubwa kama Tenki la Maji Goba ulitegemea kabisa Akili zitajihifadhi Mwilini mwake?

Unamaana anatumbo kubwa kama simtank? Maana wenye matumbo makubwa wao wanawaza kujamba na kula muda wote, hasa mkiwa na kiongozi mwenye kitambi mjue kipaumbele chake sio kutatua shida zenu mjue anawaza kula na kujamba ndio shughuli zao, hata yule wa mawasiliano unadhani kwa tumbo lile atawaza bando za wananchi thubutu,
 
Tunachotaka ni quality na siyo quantity. Alichosema CEO pamoja na Comrade waziri inaweza kuwa kweli kuwa wameweka infrastructure ya kuwafikia 94% ya wakazi wa Dar es Salaam lakini in reality they can only provide/supply water to less than 30% ya wakazi wa Dar. Its better to not say anything than to seek political mileage. The CEO na Comrade Waziri should face the consequence.
 
Naunga hoja mkono, hali ni mbaya kwa dobi nguo kwa sasa naambiwa elfu moja kufulia maji baridi na miatano kwa nguo kufulia maji chumvi hali sio nzuri kabisa
Mkuu kwani kabla ya hii hali, nguo moja kwa dobi hspo Dar ilikuwa inafuliwa kwa bei gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…