Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Kaa kimya kuficha ujinga.Hakuna kitu ambacho huwa kinabakia kama kilivyo milele.Hakuna kitakachobadilika hata ufanyaje mkuu.
Universe yenyewe inabadilika kila siku achilia mbali dunia ambayo mwisho wake wala haupo mbali kutokana na nishati inayozalisha nguvu za jua kuisha kwa kasi kubwa, sembuse Binadamu?Kaa kimya kuficha ujinga!