Rais Samia: Vita ya Urusi, Tanzania hatutanusurika, bidhaa zote zitapanda bei

Rais Samia: Vita ya Urusi, Tanzania hatutanusurika, bidhaa zote zitapanda bei

Marais wengine nao ni hopeless pia maana nao nchi zao zinaathirika na kupanda bei ya mafuta baada ya vita ya Urusi. Joe Biden mmoja wao pia.
Biden,ameisha toa akiba ya mafuta kuweka kwenye mzunguko, Ili kupunguza makali na mfumuko wa bei, sasa Huyu wa kwetu ana solution Yeye ni kupuyanga tu, baada ya kusovu matatizo ya wananchi wake, kesho kutwa kutwa utasikia anafanya ziara India hopeless kabisa
 
Serikali inatakiwa kutafakari namna ya kupunguza madhara yanayotegemewa.

Lakini sina imani kama serikalini kuna thinktanks wanaoweza kuja na mikakati ya nchi kukabiliana na hali inayotarajiwa.
 
Kule zanzibar jamaa anazungusha mabati tu kila kona ujenz hauonekani na miripuko ya bei haisemeki
 
Kuna kitu kinaitwa global au international
political economy. Inaeleza ni namna gani siasa za dunia kwa wakati husika zinaweza kuendesha uchumi wa dunia au ni namna gani uchumi wa dunia unaweza kuendesha siasa za dunia. Ni muhimu kuelewa mantiki ya alichokisema Mhe. Rais. Kuhusu bei angalizo ni la msingi na wala halimaanishi hakuna udhibiti.

Mfano, ni petrol na dizeli kama ingepaswa kupanda kama bei ktk soko la dunia ilivyo basi isingekuwa kama hivi kwetu . Ila Serikali iliondoa tozo kupunguza makali ya bei ya mafuta. Hapa ni kwa GTs , tumuelewe Mhe. Rais na watu watumie lugha ya staha kujadili. Hakusema kama hakutakuwa na udhibiti; ila ni FACT BEI ZA BIDHAA NYINGI ZENYE MNYORORO WA KIMATAIFA ZITAPANDA KWA KINACHOENDELEA KATI YA URUSI NA UKRAINE. Swali ni kiasi gani ndipo Serikali inapocheza vema kupunguzia wananchi makali.🙏🙏🙏
 
Kuna kitu kinaitwa global au international
political economy. Inaeleza ni namna gani siasa za dunia kwa wakati husika zinaweza kuendesha uchumi wa dunia au ni namna gani uchumi wa dunia unaweza kuendesha siasa za dunia. Ni muhimu kuelewa mantiki ya alichokisema Mhe. Rais. Kuhusu bei angalizo ni la msingi na wala halimaanishi hakuna udhibiti.

Mfano, ni petrol na dizeli kama ingepaswa kupanda kama bei ktk soko la dunia ilivyo basi isingekuwa kama hivi kwetu . Ila Serikali iliondoa tozo kupunguza makali ya bei ya mafuta. Hapa ni kwa GTs , tumuelewe Mhe. Rais na watu watumie lugha ya staha kujadili. Hakusema kama hakutakuwa na udhibiti; ila ni FACT BEI ZA BIDHAA NYINGI ZENYE MNYORORO WA KIMATAIFA ZITAPANDA KWA KINACHOENDELEA KATI YA URUSI NA UKRAINE. Swali ni kiasi gani ndipo Serikali inapocheza vema kupunguzia wananchi makali.[emoji120][emoji120][emoji120]
Umetumwa kuja kumtetea..kiufupi hakuna mikakati wanalialia tu..nchi imewashinda..wamewekeza kwenye propaganda za kusifu na kuabudu..na kuacha misingi za kujenga mifumo imara ya kiuchumi...hii nchi viongozi wake wamelaaniwa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameelezea kupanda kwa bei ya mafuta kwa kiasi inasababishwa na mgogoro unaoendelea kati ya Urusi na Ukraine.

“Mabadiliko ya kupanda kwa bei ya mafuta kiasi kidogo yamesababishwa na vita ya Ukraine na Urusi, yanapanda bei mno. Tanzania hatutanusurika, bidhaa zote zitapanda bei, nauli zitapanda bei kila kitu kitapanda, thamani ya kila kitu itapanda juu.

“Tumesikia minong’ono kuwa maisha yanakuwa magumu, ‘kila kitu kinapanda bei, wanasema ni hao viongozi wetu tulionao hawana baraka’.

"Si baraka ya kiongozi ni hali ya ulimwengu inavyokwenda,” amesema Rais Samia katika maadhimisho ya 'Siku ya Wanawake Duniani', Zanzibar, leo Machi 8, 2022.

Tanzania sio nchi peke yake itakayoathirika na kupanda kwa bei ya Mafuta Duniani lakini kila nchi itaathirika kivyake kutokana na Jinsi nchi zitakavyotekeleza sera za kujihami na janga hilo. Samia anatakiwa awaelekeze watu wake waitishe kongamano la wataalam wa taaluma mbali mali wakiwemo wachumi , wanasheria , wahasibu etc bila ubaguzi ili wakutane na kujadili Jinsi gani tunaweza kujizatiti dhidi ya hali itakayotukabili na kuishauri serikali ipasavyo. Washauri wa Rais serikalini peke yao hawawezi kuja na ushauri makini!!

Katika vita hii nchi mbali mbali zitaweza kuibua fursa na kufaidika na vita vinavyoendelea. Je Tanzania haioni kuwa kuna fursa ambazo zitapatikana na mapigano hayo? Kama zipo basi kuna umuhimi wa serikali kuweka sera zitakazosaidia nchi kufaidika na fursa hizo upesi iwezekanavyo kabla mambo hayajabadilika! Nchi ina fursa nyingi lakini watu wanakula mshahara tu bila kuufanyia kazi!!
 
Taifa ambalo linakubali kuwepo bila Rais kama Tanzania lina laana.

Imagine nchi ina Rais hewa ambae muda wote yupo busy kutafuta chaka la kuficha uzembe,mauchafu pamoja na madhaifu ya Serikali yake.Hangaya is the inept hopeless leader.
Tuliwaambia toka mwaka jana mkasema anaupiga mwingi, haya ndio matokeo yake.

Subirini, na bado.
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameelezea kupanda kwa bei ya mafuta kwa kiasi inasababishwa na mgogoro unaoendelea kati ya Urusi na Ukraine.

“Mabadiliko ya kupanda kwa bei ya mafuta kiasi kidogo yamesababishwa na vita ya Ukraine na Urusi, yanapanda bei mno. Tanzania hatutanusurika, bidhaa zote zitapanda bei, nauli zitapanda bei kila kitu kitapanda, thamani ya kila kitu itapanda juu.

“Tumesikia minong’ono kuwa maisha yanakuwa magumu, ‘kila kitu kinapanda bei, wanasema ni hao viongozi wetu tulionao hawana baraka’.

"Si baraka ya kiongozi ni hali ya ulimwengu inavyokwenda,” amesema Rais Samia katika maadhimisho ya 'Siku ya Wanawake Duniani', Zanzibar, leo Machi 8, 2022.
Hili nalo linapendaga kuropoka sana! Linafikri kila kitu ni cha kuzungumza hadharani? Sasa si ndio wanatoa baraka kwa wafanyabiashara kufanya yao?
 
Tungekua nae tangu Corona inaanza hii nchi isingekua inakalika kwa sasa, tungekua na maisha magumu sana zaidi ya haya.
 
Weeee kijana tulia hivo hivo, Kenya saa hii kwenye social medius kuna trending hashtag ya #lowerfoodprices, vitu Kenya vimepanda sana bei asikwambie mtu, ila tofauti ya kenya na TZ ni sasa unaona wakenya wameanza kuchukua reaction ya kugomea bidhaa flani wanarudi kwenye masoko ya mtaani hali inayosababisha bidhaa flani hasa za food zisipande sana bei, na soon watu wataanza ku organise maandamano na wanawachana viongozi live, sasa hivi gas ya 6kg ni 1550 ksh, na before ilikua 850, ikapanda January to 1300, now ni 1550 na hapo hii ndio ya bei ndogo, zingine zimefika hadi 1700 per 6kg hali ni mbaya, mafuta yamepanda, bidhaa zote zimepanda bei hadi mayai, soon mtaskia jambo manake wakenya hawana mchezo, umeme tu kukatika bila maelezo yakutosha sku hiyo viongozi watakula matusi hadi wasiingie online. Kenya gharama ya maisha imepanda sana hasa kwa wanachi wa hali ya chini.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Tz ni balaa mara 3
 
Rais kuongea haya ni kutoa baraka kwa watu kupandisha bei za bidhaa na bahati mbaya zaidi nao watajua pakujifichia!

Bidhaa ni lazima zipande na wafanyabiashara lazima wapandishe bei ya kila kitu maana wamepewa baraka zote....

Rais hakutakiwa kutamka haya mambo ya kupanda bei za vitu labda kama angelikuwa na suluhu ya tatizo husika bali kinyume chake ni kuhalalisha upandishaji wa bei kiholela.

Bidhaa nyingi zimepanda bei toka mwezi wa tatu mwaka jana sasa sijui vita ilisha anza au lah?
Maanake wameruhusiwa kupandisha vitu live
 
Putin mnamsingizia, bado supply ya gesi na mafuta kutoka urusi kwenda ulaya ipo palepale na hakuna alternative sources zozote ambazo nchi tajiri zimeweza kuzi exploit zikasababisha energy crisis kwa nchi nyingine.........labda kama anaota kwamba linaweza kutokea huko mbeleni. Nilichoona ni kwamba marekani jana wameweka ban mafuta na gesi kutoka urusi, lakini bado marekani siyo mtumiaji mkubwa wa mafuta na gesi ya kutoka urusi ukilinganisha na nchi za ulaya, anatumia kama asilimia 3 pekee...
 
Rais anawaambia ukweli. Huu sio wakati wa kudanganywa kwamba sisi ni nchi tajiri. Hawa Warusi na Ukraine walijiandaa muda mrefu nyie mkiwa mmelala huku bei zikiendelea kupanda. Pia hatuna export yoyote ya maana. Viwanda 3000 vya yule waziri na mwendazake havijawahi kuwepo. Tumezoea kudanganywa. Tuupokee ukweli live.
Chuki zako ni bure... Mzazi mwenye akili hawezi kusema leo sina hela kwa hiyo tutashinda njaa, mzazi mwenye akili atasema subiria kidogo naenda kuwatafutia chakula... Bora uongo unaojenga kuliko ukweli unaobomoa...

Sasa kwa akili zako wewe unahisi Tanzania ni maskini, umaskini unaletwa na uongozi... Hata kwenye familia yenu mnaweza kuwa ni matajiri ila akikosekana mtu wa kuiongoza familia vizuri basi tegemea umaskini. JPM uwezi kumlinganisha na huyu mama, yule alijua kila kona ya serikali, sio huyu mama anapangwa tu kama mafungu ya nyanya nae anakubali tu
 
Back
Top Bottom