Rais Samia: Vita ya Urusi, Tanzania hatutanusurika, bidhaa zote zitapanda bei

Rais Samia: Vita ya Urusi, Tanzania hatutanusurika, bidhaa zote zitapanda bei

Rais mzima anaropoka bila haya wala aibu eti bidhaa zitapanda bei,anamwambia nani na ili iweje? ni sifa hiyo anaona au kisa yeye hajui kuacgha hela ya matumizi mezani anaona linalokuja tu mdomoni analitoa?

Mi sijui hata nani alishaurigi huyu maza awe makamu wa Rais yani simuoni hata kama anauweza uongozi kwa level ya Mkuu wa Wilaya simuoni kabisaaaa..

Wamkataze kuropoka ropoka maana hajui kipi chakuongea public kipi chakuongea ndani,Kama ni kulambishwa galasa hapa Tanzania tumelambishwa.

Ukisema Kadi 1, unatandikwa na Joker unalamba 5 nyingine....
 
Bei ya mafuta inatengenezwa kwenye soko la dunia, Rais hawezi kufanya lolote labda kama unataka awadanganye kama watoto wadogo ili muweze kupata usingizi usiku. Na bei ya mafuta ikipanda, bei za kusafirisha bidhaa na vyakula zitapanda na kila mtu zitamgusa. Maana meli, ndege, malori, magari, mabasi yote yanatumia mafuta kufanya kazi.

..hii sio mara ya kwanza vita kutokea na kusababisha bei ya mafuta ktk soko la dunia kupanda.

..Na Rais SSH sio mgeni ktk masuala ya uchumi uongozi, na utawala.

..Kwa msingi huo, Raisi na watendaji wake, walitakiwa kuwa wameandaa mpango wa namna ya kuuhami uchumi wetu usiathirike na kupanda kwa bei ya mafuta kutokana na mgogoro wa Urusi vs Ukraine.

..Rais alitakiwa atueleze hatua ambazo serikali yake inachukua, na sio kutulalamikia.
 
..hii sio mara ya kwanza vita kutokea na kusababisha bei ya mafuta ktk soko la dunia kupanda.

..Na Rais SSH sio mgeni ktk masuala ya uchumi uongozi, na utawala.

..Kwa msingi huo, Raisi na watendaji wake, walitakiwa kuwa wameandaa mpango wa namna ya kuuhami uchumi wetu usiathirike na kupanda kwa bei ya mafuta kutokana na mgogoro wa Urusi vs Ukraine.

..Rais alitakiwa atueleze hatua ambazo serikali yake inachukua, na sio kutulalamikia.
Kwani mfumuko wa bei ya mafuta upo Tanzania tuu? Hao Marais wengine mbona nao wameshindwa kuuhami uchumi wao?
 
Rais mzima anaropoka bila haya wala aibu eti bidhaa zitapanda bei,anamwambia nani na ili iweje? ni sifa hiyo anaona au kisa yeye hajui kuacgha hela ya matumizi mezani anaona linalokuja tu mdomoni analitoa?

Mi sijui hata nani alishaurigi huyu maza awe makamu wa Rais yani simuoni hata kama anauweza uongozi kwa level ya Mkuu wa Wilaya simuoni kabisaaaa..

Wamkataze kuropoka ropoka maana hajui kipi chakuongea public kipi chakuongea ndani,Kama ni kulambishwa galasa hapa Tanzania tumelambishwa.

Ukisema Kadi 1, unatandikwa na Joker unalamba 5 nyingine....
Nadhani wewe utakuwa ni mpumbavu wa mwisho, yaani ulitaka usiambiwe ukweli au? Ujue hueleweki.

Hamia Ukraine wala usijali.
 
Taifa ambalo linakubali kuwepo bila Rais kama Tanzania lina laana.

Imagine nchi ina Rais hewa ambae muda wote yupo busy kutafuta chaka la kuficha uzembe,mauchafu pamoja na madhaifu ya Serikali yake.Hangaya is the inept hopeless leader.
Hakuna kitakachobadilika hata ufanyaje mkuu.
 
..anatakiwa aje na mikakati ya kukabiliana na hali hiyo.

..yeye ndio Raisi wetu bila kujali bei ya wese imepanda au imeshuka.

..na mbona kipindi bei ya wese inaposhuka hatutangaziwi NEEMA?
Mikakati ipo Sana tuu ndio maana walifuta tozo ya sh.100 kwenye mafuta.

Pia kuna mikakati kama hii hapa 👇

Screenshot_20220307-090303.png


Screenshot_20220307-191519.png
 
Kwani mfumuko wa bei ya mafuta upo Tanzania tuu? Hao Marais wengine mbona nao wameshindwa kuuhami uchumi wao?


..kuna ubaya gani huo mfumuko wa bei ya mafuta ukaathiri nchi nyingine lakini Tz tukaukabili na kuudhibiti?

..Unafikiri Maraisi wa nchi nyingine hujitetea kwamba wamefeli kuhami chumi za nchi zao kwasababu hata Raisi wa Tz naye ameshindwa?
 
Kuna ukweli na kuna kujidanganya ili kujifariji. Ukweli ikiwa USA mafuta yamepanda kwa 35% sisi ni nani yasipande? Njia rahisi ya kutotaka vitu vipande ni sisi kujitegemea kila kitu ili tujipangie ila kama bado tunaagiza nje tutegemee mengi tu. Vita ya Kagera tu ilipandisha sukari kutoka 5/= hadi 20/= hivyo tuna hiyari ya kutambua vita hiyo ya Ukraine ni funzo kwetu kuhusu kuwa na viwanda vyetu na si nyimbo majukwaani na kwenye pads.
Kujitegemea kila kitu haiwezekani hapa Duniani.
 
Siyo kwa Tanzania tu ni dunia nzima! Wakati wazungu wanaikomesha Russia kwa vikwazo wanaikomesha dunia na wanajikomesha wenyewe.Ambaye atabaki anatamba ni China ambaye naona hana upande wo wote.
 
Rais mzima anaropoka bila haya wala aibu eti bidhaa zitapanda bei,anamwambia nani na ili iweje? ni sifa hiyo anaona au kisa yeye hajui kuacgha hela ya matumizi mezani anaona linalokuja tu mdomoni analitoa?

Mi sijui hata nani alishaurigi huyu maza awe makamu wa Rais yani simuoni hata kama anauweza uongozi kwa level ya Mkuu wa Wilaya simuoni kabisaaaa..

Wamkataze kuropoka ropoka maana hajui kipi chakuongea public kipi chakuongea ndani,Kama ni kulambishwa galasa hapa Tanzania tumelambishwa.

Ukisema Kadi 1, unatandikwa na Joker unalamba 5 nyingine....
Wewe utakuwa ni Zuzu na njaa kali.
 
Back
Top Bottom