Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
March hiihii... Na nauli zitapanda
April tutegemee mafuta kupanda bei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
April tutegemee mafuta kupanda bei
Na Putin ameonesha hatua atazojibu hizo mnazoita solution!..wameeleza hatua watakazochukua.
..viongozi wa Tz wameishia kulalamika tu.
Na Putin ameonesha hatua atazojibu hizo mnazoita solution!
Kabla urusi hajasema ujerumani walishafunga bomba la gesi kubwa kutoka Russia linaloenda Europe kupitia kwao .Waziri wa mambo ya nje wa ujerumani akasema wataagiza gesi nje ya Urusi na ongezeko la bei itayotokana na hatua hiyo wamekubaliana na wengine kuwa Serikali zita subsidizeNa Russia amesema anakata gesi kabisa.
Binafsi naona hizo mnazoita solution ni provisional tu, bora huyu ansyetuandaa kisaikolojia!
Bora wakati wako ufike tu Mkuu, uwe RaisSasa watapandisha bei maksudi kisa Rais katamka vita imepandisha bei! Bora hata asingesema angekaa kimya tu!!
Mi sio shabiki wa mama Ila kwa hili amesema ukweli. Bei ya mafuta imepanda sana sio tu kwa Tz.Wewe taahira hata afanye ujinga huyo bibiako utashangilia! Stupid!
Sawa lakini bado bei ya gallon moja imefika $ 4 wakati kabla ya vita ilikua $3.32.Sio kweli USA wametoa mamilioni ya mapipa ya mafuta kutoka oil reserves zilizoko Texas kuziingiza sokoni kupunguza makali ya bei
Ulaya wanasema watatoa ruzuku kwenye gesi kupunguza makali ya bei kwa watumiaji wa gesi
Ulichoelezwa ndio ukweli wenyewe!..Tz hatujachagua upande ktk vita hii.
..kwa hiyo tunatakiwa kuwa watu wa mwisho kulalamika.
..viongozi wanajua hawana uwezo wa kutatua shida za wananchi ndio maana wanakuwa wepesi kutoa visingizio.
Ulichoelezwa ndio ukweli wenyewe!
Majibu ndio hayo uliyopewa!..Yap!
..kwamba viongozi wa serikali hawana majibu ya matatizo ya nchi yetu.
Hauna uelewa wowote naww mkuu. Sasa kama unajua bei ya mafuta itapanda inatakiwa ufanyaje ili isipande??? Kama kweli wewe ni mwanauchumi jibu hili swali.You must be ignorant on economic issues you better shut your mouth. Hii sio siasa hapa ni hali ya kiuchumi inayosababishwa na vita, wewe hata hutazami TV au Redio (CNN, BBC nk.) unashangaza sana. Rais kasema uongo wapi huna maana kabisa.
Hakuna binadamu asiye na mapungufu.Taifa ambalo linakubali kuwepo bila Rais kama Tanzania lina laana.
Imagine nchi ina Rais hewa ambae muda wote yupo busy kutafuta chaka la kuficha uzembe,mauchafu pamoja na madhaifu ya Serikali yake.Hangaya is the inept hopeless leader.
Bei ya mafuta inatengenezwa kwenye soko la dunia, Rais hawezi kufanya lolote labda kama unataka awadanganye kama watoto wadogo ili muweze kupata usingizi usiku. Na bei ya mafuta ikipanda, bei za kusafirisha bidhaa na vyakula zitapanda na kila mtu zitamgusa. Maana meli, ndege, malori, magari, mabasi yote yanatumia mafuta kufanya kazi.Ila huyu maza jamani hana washauri walau wawe wanamchagulia ni kipi cha kuongea.
Mtu mnaetegemea awape faraja ndo anawadidimiza zaidi na zaid na kujificha kwenye visingizio vya ajabu ajabu.
Na huyo ndio mkuu wa nchi huyo!! Ajabu sana sana. Kulikua na haja gani ya kuruhusu bei kupanda kiholela, hapo kama hajui ni karuhusu wafanyabiara kupandisha bei kiholela.
Kwa kukwepa lawama anajifanya kujitetea kabla hali haijawa mbaya zaidi.