Kwani amekuambia hana solution?
Punguza nongwa bwashee!
..kwani amekwambia ana solution?
..punguza uzuzu na uchawa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani amekuambia hana solution?
Punguza nongwa bwashee!
Imekuwa sasa jinyongeHata wadudu hawaongozwi na jike, hii ni laana na itawatafuna sana.
Ukishagundua tatizo ni nusu ya kulisolve...kwani amekwambia ana solution?
..punguza uzuzu na uchawa!!
Ukishagundua tatizo ni nusu ya kulisolve.
Labda kama hujasoma QM.
TumepigwaHuyu maza bana
Hata EU na USA hawajaeleza chochote kuhusu solution, wanaelezea tatizo tu...hajaeleza chochote kuhusu solution.
Hata EU na USA hawajaeleza chochote kuhusu solution, wanaelezea tatizo tu.
Usimwage mtama kwenye kuku wengi!
kwa huyo kipindi watu tunalalamika kuhusu kupanda kwa bei toka mwaka jana wewe mheshimiwa Hangaya hukuwepo nchini?.Naona umerudi kipindi cha vita ya urusi na ukraini.Tafadhali usihamasishe wafanya biashara kupandisha bei kwa raia unaowaongoza,unatakiwa wewe ndio usimame na raia wako kwa upande wa upandaji wa bei.
Wewe taahira hata afanye ujinga huyo bibiako utashangilia! Stupid!Watanzania wanapenda kuambiwa propaganda za uongo kama kipindi kile cha awamu ya tano.
Hawapendi kiongozi anaesema ukweli.
Inasikitisha sanaNa akisemwa anakimbilia kwenye jinsia
Sio kweli USA wametoa mamilioni ya mapipa ya mafuta kutoka oil reserves zilizoko Texas kuziingiza sokoni kupunguza makali ya beiHata EU na USA hawajaeleza chochote kuhusu solution, wanaelezea tatizo tu.
Usimwage mtama kwenye kuku wengi!
Kuna ukweli na kuna kujidanganya ili kujifariji. Ukweli ikiwa USA mafuta yamepanda kwa 35% sisi ni nani yasipande? Njia rahisi ya kutotaka vitu vipande ni sisi kujitegemea kila kitu ili tujipangie ila kama bado tunaagiza nje tutegemee mengi tu. Vita ya Kagera tu ilipandisha sukari kutoka 5/= hadi 20/= hivyo tuna hiyari ya kutambua vita hiyo ya Ukraine ni funzo kwetu kuhusu kuwa na viwanda vyetu na si nyimbo majukwaani na kwenye pads.Anakwepa uwajibikaji wafanyabiashara wamemzidi mbinu ameona adanganye vita ya Urusi
Na Russia amesema anakata gesi kabisa.Sio kweli USA wametoa mamilioni ya mapipa ya mafuta kutoka oil reserves zilizoko Texas kuziingiza sokoni kupunguza makali ya bei
Ulaya wanasema watatoa ruzuku kwenye gesi kupunguza makali ya bei kwa watumiaji wa gesi