PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Naye ni binadamu yakhe hisia anazoInaonekana mzee ameir ashawah mpakia mkongo mama yetu
Ye kajuaje?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Aisifuye mvua imemnyea...mkongo kaujuaje?🤣
Mimi wa kiume hata siujui
Acha kujichetua, kwa 100% vijana wanaoishabikia hicho "chama chako" ndio waathirika wa mavitu haya kwani wao kazi za kueleweka hakuna! ujanja wa kutafuta pesa sifuri! Kujituma ndio kabisa hawana hiyo akili!Ni Kweli kabisa
Kizazi cha Ufipa Energy na Mo Energy
Kwa msisitizo huo wa maza huenda hayo yanafanyika kwa ukaribu akiona🤣Wewe hajawahi kusikia habari za mkongo na pweza!? Hata Mimi siujui ila nimeusikia
Anafahamu haya maswara kweri-kweri
Kabisa vijana wengi wa kiume kwa sasa bila booster ya kuongezea nguvu vitandani wako hoiNi Kweli kabisa
Kizazi cha Ufipa Energy na Mo Energy
@Mshana Jr hizi picha huwa unazitoa wapi? Huu ni ulozi uliokidhiri,