Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Bila kusahau supu ya pweza ya kizanzibar...haya yote ameyaishi🤣🤣🤣Samia mtoto wa mjini,sio kama yule mshamba wa kijijini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kusahau supu ya pweza ya kizanzibar...haya yote ameyaishi🤣🤣🤣Samia mtoto wa mjini,sio kama yule mshamba wa kijijini.
Lazima mambo ya kawaida kaona tofauti ya Vijana wa Msumbiji na haya Mazezeta ya Dar.ndomaana anaelewa kazi ya mundende...lazima mvua imesha mnyea aseee
Alkasusu yenyewe si haba.Bila kusahau supu ya pweza ya kizanzibar...haya yote ameyaishi🤣🤣🤣
Waswahili wana mengi bro🤣Alkasusu yenyewe si haba.
Mkuu kwani mkuu wa nchi apitiagi mitandano? Hiv nikikuuliza wewe umejuaje wakinadada wanafanywa nyuma utasemaje?
Halafu Arusha wana Mkongoraa kwahiyo tusiwaseme Wanaume wa Dar peke yao hata wa ArushaChezea mkongo wewe?🤣🤣🤣🤣🤣
I dont think kuwa mkongoraa una maajabu ni uzushi tu.Halafu Arusha wana Mkongoraa kwahiyo tusiwaseme Wanaume wa Dar peke yao hata wa Arusha
Sijui huko Mwanza kama na wao ni Wazee wa kuboost😁