Rais Samia: Vumbi la Mkongo na Supu ya pweza ni matokeo ya lishe duni

Rais Samia: Vumbi la Mkongo na Supu ya pweza ni matokeo ya lishe duni

... ndio tunaelekea kwenye genetically modified foods au?
Fortify= Kuongeza virutubisho adimu kwenye vyakula au vitu vya vyakula. Chumvi imeongezwa iodine na tatizo la utaahira unaotokana na ukosefu wa Iodine limetokomezwa!
Vile vile Mafuta/siagi imeongezwa vitamin A na D.
Siyo jambo baya! Ni tofauti na GMOs!
 
Supu ya pweza ni real.Mama hawezi tu.
 
Mimi huyu mwanamama sijamuelewa anaposema, wanapata shida wakifika kipindi cha kuongeza jamii hadi watumie supu ya pweza!


Supu ya pweza inasababisha mimba kwa mwenye tatizo la kuto kutia mimba?

Nilikua nikijua supu inawasaidia wenye shida ya kusimamisha mashine...!


Waziri hana taarifa, rais hana taarifa ....kama nchi tupo tupo tu
Acha utoto supu ya pweza inaongeza uzito wa manii sio kusimamisha dushulele..
 
Yaani alipelekewa moto Sana baada ya kupakiwa mkongo sio!?

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba MPYA"
 
Duh wanaume wa Dar mnapiga pweza mpk bi. Mkubwa amesikia taarifa zenu.

Mheshimiwa Rais, kuna tatizo zaidi ya lishe duni
 
Chips yai inayokaangwa na mafuta ya Transfoma ukiila sana lazima iue shafti.

Samia amenifurahisha sana bado Katiba mpya tu😂😆
 
Ndio raha ya kuwa na Raisi Mwanamke anatupa ukweli.

Hapa tu Temeke ukipita chocho unakuta maganda ya Erecto 100 yamezagaa kila mahala, Mungu alisaidie hili Taifa.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa changamoto inayowapata vijana wanapotaka kuongeza jamii inatonakana na uwepo wa lishe duni.

Ametolea mfano wa matumizi makubwa ya vumbi la mkongo na supu ya pweza kwa vijana wa kiume, pamoja na matumizi makubwa ya chips mtaani.

Ameshauri utafiti makini uweze kufanyika ili kubaini chanzo halisi cha tatizo hili pamoja na kuongeza kasi ya kufanyia fortification mazao na vyakula hadi ngazi za chini kabisa nchini ili watu wapate lishe bora.

Ameyasema hayo wakati akishiriki hafla utiaji saini Mkataba wa Usimamiaji wa Shughuli za Lishe leo tarehe 30 Septemba, katika Jengo la Kitega Uchumi jijini Dodoma
Of course ni sahihi.
 
Back
Top Bottom