Hii hii taasisi, imekosa ya kuzungumza hadi...............
Kwanini wasingeongea wasaidizi wake kwenye wizara ya afya
Raisi Yuko sahihi
Ukiona kitu kaongea Raisi ujue kiko serious beyond watu wa chini
Sasa hivi mitoto mingi inazaliwa akili Haina sababu wazazi hawali vyakula vya kueleweka wanakula vi chips mayai !! ambavyo havijengi nguvu mwilini ikiwemo Sperms za kuzalisha watoto wa kiume za X zinazozalisha Watoto wa kiume Sperms weak za wanazalisha tu Sperms za Y zinayozalisha watoto wa kike tu!! Ndio maana sasa hivi population ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume!! Shauri ya kula vyakula legelege kama chips mayai nk
Zamani wanaume mfano wa upareni na makabila mengine wanakula kande tena sio za kukoboa na dona na nyama choma kilimanjaro nk na ugali wa mahindi,mtama au ngano nk mikoa kibao ilikuwa sio rahisi kukuta mwanamke au mwanaume asiyezaa au asiye na nguvu kitandani kwenye mapenzi
Sasa hivi Tatizo la kukosa nguvu za kike na kiume kubwa kwenye nguvu za mapenzi kitandani kubwa kwa vijana wa kike na kiume tofauti na wa zamani ambao walikuwa hawaendkezi Lula chips mayai!! Na kudharau ugali wa dona,ugali wa mtama,nyama Chona ,kande nk za mababu zetu
Simba ana nguvu sababu mojawapo hula nyama!!
Makabila yanayokula nyama,ugali wa mahindi ,au mtama au ngano yana akili Sana na nguvu kama simba mla nyama kwenye Mapenzi wawe wachaga ,wamasai nk wana nguvu mno kuliko wasusia hivyo kwa kisingizio sijui cha cholesterol nk vitandani wakienda nguvu hawana wako kama kuku joto la mdondo!!
Na makabila mala ugali sana na ngano wawe wasukuma nk wana uzazi mkubwa mno
Sperms zao ziko very strong na wanatoa mitoto strong na yenye akili
Mikoa hiyo Haina Tatizo kubwa la uzazi sababu vyakula vya kuleta nguvu mwilini kikiwa chakula kimojawapo wanathamini sana!!