Mtapangiwa hadi namna ya kutambika, mmezidi sana kujikomba na kujipendekeza"Niwaombe sana ndugu zangu wa Kilimanjaro, tupunguze kidogo matayarisho ya Mbege na vinywaji vingine kwa kutumia nafaka, tujue kwamba mwezi wa 10 hatukupanda, tutapanda Machi na kutakuwa na upungufu kidogo wa chakula,,"-Samia Source-Nipashe Tanzania.
Hii nchi ngumu sana 🤣 🤣 🤣Mtapangiwa hadi namna ya kutambika, mmezidi sana kujikomba na kujipendekeza
Kina Nani hao wanajikomba, Wachaga wanajikomba kwa NaniMtapangiwa hadi namna ya kutambika, mmezidi sana kujikomba na kujipendekeza
Na wewe punguza kimpumu!Mtapangiwa hadi namna ya kutambika, mmezidi sana kujikomba na kujipendekeza
Hii milio kutoka kwa Rais naona kama inaleta shida mno, au nchi ndo imeshaanza kukumbwa na baa la njaa na serikali inakimbia wajibu wake?Nadhani hawahitaji ushauri..., wanahitaji kipindi cha mazao mengi kuwe na soko la kutosha mazao yakipungua chakula kiletwe na kuuzwa kutoka ghala la taifa...
Kwani hatuna akiba kama taifa ? (Na kama hatuna ni uzembe wa nani) ?
Umeona mbali sana kaka, pengine naona anataka kupata kodi kupitia ulanzi, mbege, chimpumu nk. kwa kisingizio cha uhaba wa nafaka 🤣 🤣 🤣Hapo watatokea watu wataunda by laws za kuumizana.
Hangaya hajui kuwa mbele ni chakula.
Unapokuwa mbele ya kadamnasi maneno mengine hutoka bila control."Niwaombe sana ndugu zangu wa Kilimanjaro, tupunguze kidogo matayarisho ya Mbege na vinywaji vingine kwa kutumia nafaka, tujue kwamba mwezi wa 10 hatukupanda, tutapanda Machi na kutakuwa na upungufu kidogo wa chakula,,"-Samia Source-Nipashe Tanzania.
Mbege iko kichagga zaidi!Kawaambia wanakilimanjaro au Wachagga tu?
Wachagga mkianzisha mada huwa mnasahau kuwa KLM inabeba pia Wapare na Wagweno wa Upareni.
Kichwa cha habari unasema Wachaga, ila ndani unazungumzia KLM yote.