johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kweli, Mbele nu chakula cha usiku!Hangaya hajui kuwa mbele ni chakula.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli, Mbele nu chakula cha usiku!Hangaya hajui kuwa mbele ni chakula.
🤣 🤣 🤣Unapokuwa mbele ya kadamnasi maneno mengine hutoka bila control.
Ulanzi ni mvinyo!Umeona mbali sana kaka, pengine naona anataka kupata kodi kupitia ulanzi,mbege,chimpumu nk. kwa kisingizio cha uhaba wa nafaka 🤣 🤣 🤣
Naambiwa kabla ya kuunywa huu mvinyo ni lazima ufunge suruali na kamba kwa chini 🤣 🤣Ulanzi ni mvinyo!
Hiyo ni dengerua ya Wapare!Naambiwa kabla ya kuunywa huu mvinyo ni lazima ufunge suruali na kamba kwa chini 🤣 🤣
Hapo amezungumzia mbege tu kumbe? Hivyo vinywaji vingine navyo ni aina ya mbege au ni vya wachagga tu?Mbege iko kichagga zaidi!
Huu ndiyo ukweli aseeMtapangiwa hadi namna ya kutambika, mmezidi sana kujikomba na kujipendekeza
Aache kutupangia cha kufanya"Niwaombe sana ndugu zangu wa Kilimanjaro, tupunguze kidogo matayarisho ya Mbege na vinywaji vingine kwa kutumia nafaka, tujue kwamba mwezi wa 10 hatukupanda, tutapanda Machi na kutakuwa na upungufu kidogo wa chakula,,"-Samia Source-Nipashe Tanzania.
Usitupangie!"Niwaombe sana ndugu zangu wa Kilimanjaro, tupunguze kidogo matayarisho ya Mbege na vinywaji vingine kwa kutumia nafaka, tujue kwamba mwezi wa 10 hatukupanda, tutapanda Machi na kutakuwa na upungufu kidogo wa chakula,,"-Samia Source-Nipashe Tanzania.
Mama naona yupo kwenye full drive ya kuelekea vichakani sasa, kikubwa atufikishe salama tu 🤣Aache kutupangia cha kufanya
Unategemea akiba ya taifa wakati unapikia chakula pombe?Nadhani hawahitaji ushauri..., wanahitaji kipindi cha mazao mengi kuwe na soko la kutosha mazao yakipungua chakula kiletwe na kuuzwa kutoka ghala la taifa...
Kwani hatuna akiba kama taifa ? (Na kama hatuna ni uzembe wa nani) ?
"Niwaombe sana ndugu zangu wa Kilimanjaro, tupunguze kidogo matayarisho ya Mbege na vinywaji vingine kwa kutumia nafaka, tujue kwamba mwezi wa 10 hatukupanda, tutapanda Machi na kutakuwa na upungufu kidogo wa chakula,,"-Samia Source-Nipashe Tanzania.
Mnakula kila siku mjini na kuomba pesa za biaHakuna mchaga aliyewahi kulia njaa
WE HUWAJUI WACHAGA WALIVYO NA KIHEREHERE? SISI TUSHAWAZOEA.Kawaambia wanakilimanjaro au Wachagga tu?
Wachagga mkianzisha mada huwa mnasahau kuwa KLM inabeba pia Wapare na Wagweno wa Upareni.
Kichwa cha habari unasema Wachaga, ila ndani unazungumzia KLM yote.
[emoji28][emoji28][emoji28], apunguze kwanza matumizi ya wanja....alisikika mzre mushi akisemaMtapangiwa hadi namna ya kutambika, mmezidi sana kujikomba na kujipendekeza
Thread closedHakuna mchaga aliyewahi kulia njaa
HahahaWE HUWAJUI WACHAGA WALIVYO NA KIHEREHERE? SISI TUSHAWAZOEA.
Hajui hata anafanya nini?Mama naona yupo kwenye full drive ya kuelekea vichakani sasa, kikubwa atufikishe salama tu 🤣
Hahahaha[emoji23]Mtapangiwa hadi namna ya kutambika, mmezidi sana kujikomba na kujipendekeza